Transcription
Bwana sifo Bwana Bwana mama Bwana eh tuteze kwa Bwana. Twende haya, mnaweza kushtua? Shtua shtua shtua. Jiandae kushtua. Twende. [Muziki] Washtuaji mko wapi jamani? Al let's. Haleluya. Vijana siwaoni, mnashtua hapa. One two, let's go. [Muziki] [Shangwe] [Muziki] Nashangilia. [Muziki] Piga kelele kwa Bwana. Makofi mengi. Sisikii unapiga kelele. Piga kelele. Piga kelele. [Muziki] Haleluya. Glory be to the Lord Jesus. Utukufu kwa Bwana Yesu. Thank you worship team. God bless you. Asante kuabudu. Mungu awabariki. Hallelujah. Hallelujah. Take your seats. Naomba mkae.
In any army, kwenye kila jeshi, before they go to battle, kabla hajaingia vitani, there's something they do. Kuna kitu huwa wanafanya. They make sure the fighters are disciplined. Wanahakikisha kwamba wapiganaji wao wana nidhamu. That is number one. Hiyo ni namba moja. Number two. Namba mbili. They make sure that the fighters wanahakikisha kwamba wapiganaji know their enemies. Wanajua maadui zao. They don't just take guns. Hawachukue tu bunduki. Say we are going to battle. Anasema tunaingia vitani. And whoever they meet on the way, pupu na watu wanakutana naye njiani pupu. No, hapana. They know. Wanajua. I'm going to fight so and so. Naenda kupigana na yule na yule. Number three. Namba tatu. They know why they are going to fight. Wanajua ni kwa nini wanaenda kupigana.
That's why, ndio maana, the army is always under training for discipline. Jeshi muda wote lipo kwenye mafunzo kwa ajili ya nidhamu na ule uimara wake. And the leaders of the army, na viongozi wa jeshi, detect a potential enemy. Wakigundua kwamba kuna adui hatari, they begin to study that enemy. Wanaanza kujifunza habari huyo adui, his strength, nguvu zake, the number of his soldiers, idadi ya wanajeshi wake, and so forth and so on, na vitu vingine vingi vingi, so that when the day of fighting comes, ili kwamba siku ya mapigano ikapokuja, they know how to fight, wanajua namna gani ya kupigana. At the beginning of this month, mwanzo wa mwezi huu, I said, nilisema, identify areas, tambua maeneo, in which you need to fight, ambayo kwao inabidi upigane, and prepare the verses, na uandae mistari ya Biblia. People didn't take it serious, wala hawakuchukulia serious. How many of you remember that call I did? Wangapi mnakumbuka maelekezo ambayo niliwapa? I have two or three, then you should know these people remember. Kama uko na watu wawili watatu, lazima ujue kwamba hao watu wanakumbuka. You can't fight an enemy that you don't know. Huwezi kupigana na adui ambaye haumjui. You need to know your enemy. Inakupaswa umjue adui yako, and where he is hiding, na alipojificha, and what is planning against you, na anapanga nini kinyume nawe.
Before I proceed, kabla sijaendelea, let me encourage, ngoja nikutie moyo, to be disciplined. Uwe na nidhamu. Every time you come in church, kila wakati unapokuja kanisani, people don't understand the secret. Watu hawaelewi siri. God is very sensitive. Mungu yuko makini sana. When we come in his house, naapokuja katika nyumba yake, He is very sensitive. Yuko makini sana. He wants to know whether these people know that they are in my presence or they think they are in a circus meeting. Anataka wajue kwamba hivi watu hao wanajua wapo katika uwepo wangu au wanajua wapo katika mkutano kama mkutano mwingine tu. Long time I saw someone in church, muda mrefu uliopita nilimuona mtu mmoja kanisani, in a Sunday service, kwenye ibada ya Jumapili, chewing gums, anatafuna bubishi, and then popping them. I don't know how to do that, but there is a way they do on the tongue, and then, na kisha anapuliza hivi, in a church, kanisani. Several times we found bubble gums under the seats. Mara nyingi sana tumeona, tumeona zile bubishi ambazo zimetafunwa chini ya kiti.
If you come to church and you want God to attend to your needs, kama unakuja na unataka Mungu na mahitaji yako, not deceive each other. Tusidanganyane. I want to tell you the truth. Nataka nikuambie hilo ukweli. If you lack discipline, ukikosa nidhamu, you also lack answers. Utakosa pia majibu. It is as simple as that. Ni rahisi tu hivyo. Try as much as possible, jaribu kadiri uweza, to remember, kukumbuka, I am in a church. Nipo kanisani. And I've come to worship my God, na nimekuja kumwabudu Mungu, not si mchungaji wako, God, Mungu wako, therefore respect him, kwa hiyo mheshimu. Am I speaking to someone? Je, unaongea na mtu? This month, mwezi huu, of June, wa sita, I encourage you, nakutia moyo, win the battle of delaying to come to church, shinda vita ya kuchelewa kuja kanisani, win that battle, shinda hiyo vita. You have only two Sundays, ni Jumapili mbili zimebaki. Win that battle, shinda hiyo vita. Never delay in church again. Kamwe usichelewe kanisani tena. God is sensitive. Mungu yuko makini sana. Those of you adjusted, congratulations. Nyinyi ambao mmeshajirekebisha, hongereni. You can clap for yourself if. Unaweza ukajipigia makofi kama umekuja kwa wakati. Somebody shout hallelujah. Mtu apige kelele sema haleluya. It means a lot in the spiritual realm. Inamaanisha sana kwenye ulimwengu wa roho. Usiige tu, hatuna Ukristo wa mazoezi. Don't imitate others. You have your Christianity that you used to. Usimzoee Mungu, usimzoee kabisa. Don't get used to God at all. Ni Mungu. He is God. Ukija hapa unakuja kwa Mungu, sio kwa pastor. You come to God, not to pastor. So come in time, so njoo kwa wakati. Fanya kadiri unavyoweza, prepare yourself. Jiandae mwenyewe. Make sure you come to church in time. Hakikisha unakuja kanisani kwa wakati. It means a lot for your future. Inamaanisha sana kwa ajili ya ubadaye wako. It means a lot for your encounter with God. Inamaanisha sana kwa ajili ya kukutana na Mungu tofauti. Am I speaking to someone here? Naongea na mtu hapa? The more you begin to obey and adjust, kadiri unavyozidi kutii na kujirekebisha, the more you hear testimonies coming in this place, ndivyo ambavyo unazidi kusikia zaidi shuhuda zikija mahali hapa. Are we together on that? Tuko pamoja kwenye hili? Somebody shout hallelujah. Mtu apige kelele sema haleluya.
For those of you have good memories, kwa ninyi ambao mna kumbukumbu nzuri, there's a day I stood here and I said, kuna siku nilisimama hapa na nikasema, so much, why is our church not advancing with speed? Nilikuwa namuuliza sana Mungu kwa nini kanisa letu haliendi mbele kwa kasi? And God told me several things. Na Mungu aliniambia vitu kadha wa kadha. The first one, cha kwanza, is what I wanted us to win over that battle. Ndicho ambacho nilitaka tushinde juu ya hiyo vita. People delay to come to church; they are not disciplined. Watu wanachelewa kuja kanisani; hawana nidhamu. So don't think I'm telling you out of the blue. Kwa hiyo usifikiri tu nakuambia-ambia tu kitu ambacho hakipo. This is an instruction from God. Haya ni maelekezo kutoka kwa Mungu. If people want to see my presence, kama watu wanataka waone uwepo wangu, let them come early and respect me. Waje mapema kabisa na waniheshimu. The second thing He said, jambo la pili alilosema, we will be dealing with that in the month of July. Tutakuwa tunashughulika nalo hilo katika mwezi wa saba. I want to carry out every instruction God is giving. Nataka nitekeleze kila maelekezo ambayo Mungu amenipatia. This church, kanisa hili, people are not preaching the gospel. Watu hawahubiri injili. And in July, na mwezi wa saba, there will be fire. Kutakuwa kuna moto. From day number one, kuanzia tarehe moja, I declare 30 days of gospel preaching. Natangaza siku 30 za kuhubiri injili. 30 days of gospel preaching. Siku 30 za kuhubiri injili. Every member of this church, kila mshiriki wa kanisa hili, has to preach to someone. Lazima amhubirie mtu, daily basis, kila siku, on daily basis, hiyo ni kila siku, for 30 days, kwa siku 30. Get someone, tell them about Jesus, mtafute mtu, mwambie habari za Yesu, invite them on a serious note to come to church, mwakaribishe kwa kumaanisha sana waje kanisani. We prepare flyers for you to be using, tutandaa vipeperushi kwa ajili yenu kwa ajili ya kuvitumia. Those who want to be in teams, wale ambao mnataka kuwepo kwenye timu mbalimbali, organize yourselves in small teams, tutawapangilia kwenye timu ndogo ndogo. If you miss ukikosa one day, siku moja, the next day you have to talk to two people, siku inayofuata itakupaswa uongee na watu wawili. If you miss three days, ukikosa siku tatu, next day you have to talk to three people, siku inayofuata inabidi uongee na watu watatu. But in every week, lakini kwenye kila wiki, you have to talk to seven people, lazima uongee na watu saba, every week, kila wiki. [Muziki] From pastors, kutoka kwa wachungaji, elders, wazee wa kanisa, ushers, wahudumu, worship team, watu wa timu ya kuabudu, everyone, kila mtu, the month of July, mwezi wa saba, fire, moto. It is Jesus everywhere campaign, ni kampeni ya Yesu kila mahali. Jesus everywhere campaign, kampeni ya Yesu kila mahali. Praise the name of the Lord, jina la Bwana lisifiwe. Follow me in these things I'm giving you instruction on. Nifuate kwenye haya mambo nayokupa maelekezo. I've skipped one thing, but that I don't want to, you know, to you know, nimeruka jambo moja, sitaki, unless I am allowed, labda kama nikiruhusiwa. Am I allowed? Somebody shout hallelujah. Mtu apige kelele sema haleluya. Somebody shout hallelujah. Piga kelele sema haleluya. So on what is the last Sunday? Will be 29th. Ya mwisho, the last Sunday of this month itakuwa ni tarehe 29 ya mwezi huu. The last Sunday of this month, Jumapili ya mwisho ya mwezi huu, I dedicate it, nitaitoa kwa ajili ya kukufundisha wewe, out namna gani unaweza ukatoka kwenda kuhubiri, and bring people to Christ, na ukawaleta watu kwa Kristo. So if there is anybody out there interested to know how you can bring people to Christ, kwa hiyo kama kuna mtu uko nje anatamani kujua namna gani ya kuwaleta watu kwa Yesu, don't miss next Sunday. Uskose Jumapili ya mwisho ya tarehe 29. Wa shout hallelujah, sema haleluya. Let me hear loud hallelujah. Haleluya nguvu. Glory be to the Lord Jesus Christ. Utukufu kwa Bwana Yesu Kristo. Now let's get into business. Sasa tuendelee na kazi. Reader, read Ephesians chapter 6 from verse 10. Soma Waefeso 6 mstari wa 10. Ephesians 6 from 10. Mhm.
Finally, my brethren, be strong in the Lord and in the power of His might. Mwishowe, ndugu zangu, mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake. Put on the whole armor of God that you may be able to stand against the wiles of the devil. Vaeni silaha zote za Mungu mpate kuweza kuzipinga hila za shetani. For we do not wrestle against flesh and blood but against principalities, against powers, against rulers of the darkness of this age, against spiritual host of wickedness in the heavenly places. Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. Repeat that verse. For we do not wrestle against flesh and blood, but against principalities, against powers, against rulers of the darkness of this age, against spiritual host, host of wickedness in the heavenly places. Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. Do you, are you reading electronic or electronic? Can you go to another version? Okay, that same verse, the last one you read, please pay attention to that verse. Tafadhali zingatia huo mstari. I'm reading from Amplified Classic. Ehe uh, verse 10, ehe, no verse 12. For we are not wrestling with flesh and blood, in brackets, only with physical opponents, but against despotism, against the powers, against, in brackets, the master spirits who are the world rulers of this present darkness, against the spirit forces of wickedness in the heavenly spiritual real sphere. Now, sasa, repeat portion by portion while he's translating. Okay, please pay attention. Tafadhali uwe makini, zingatia huo mstari. For we are not wrestling with flesh and blood. Kwa maana hatushindani dhidi ya damu na nyama. Contenting only with physical opponents. Tukipigana tu na upinzani wa kimwili. But against despotism. Lakini kinyume na hila, against the powers, kinyume na nguvu, against the master spirits, kinyume na zile roho zenye nguvu, who are the world rulers of this present darkness. Ambazo zinatawala ulimwengu katika ulimwengu huu wa giza. Against the forces of wickedness in the heavenly spiritual sphere. Kinyume na nguvu za uovu katika ulimwengu wa roho. Yes. Our struggle, kupigana kwetu au kupambana kwetu. Our fighting, mapigano yetu. The difficulties we encounter in life. Ugumu tunaokutana nao kwenye maisha. The challenges you see in your body. Changamoto unazoziona kwenye mwili wako. In your business, kwenye biashara yako. In your family, kwenye familia yako. In your investments, kwenye uwekaji wako. Everything that you don't like, kila kitu ambacho hukipendi, ambacho kinakusababisha kuendelea kwako mbele ukawa ni kwa ugumu sana, ambako unakuvuta kurudi nyuma, that is threatening to die early, ambako kunakutishia kufa mapema. Every one of those things, kila kati ya hivyo vitu, their nature is not in the flesh, asili yake si katika mwili, not in the physical realm, si katika ulimwengu wa mwili, not the things you see with your eyes, si kwenye vile vitu unavyoona kwa macho yako ya nyama, originates in the spiritual world. Chanzo chake ni kwenye ulimwengu wa roho.
Hear me, children of God. Nisikizeni, wana wa Mungu. For some of you, baadhi yenu, this will be the first time you're hearing this. Hii itakuwa ni mara ya kwanza mnasikia hii. Especially those of you who gave your life to Christ recently. Kimaalum kabisa kwa ninyi ambao mmetoa maisha yenu kwa Yesu hivi karibuni. There are two worlds. Kuna ulimwengu wa aina mbili. There is a spiritual world. Kuna ulimwengu wa roho. It is real. Ni ulimwengu halisi kabisa, upo. It has beings, una viumbe. It has creatures. Ina viumbe huko. But those creatures are invisible. Lakini hivyo viumbe havionekani. You can't see them with your eyes. Huwezi kuziona kwa macho ya nyama. It is a world of its own. Ni ulimwengu umekamilika kabisa. Rulers, huo ulimwengu una watawala, watu wenye mamlaka, on how to operate in that world. Kwenye namna gani ya kufanya kazi kwenye ulimwengu. That world is real. Huo ulimwengu ni halisi sana, lakini huwezi kuona kwa macho yako. Bible, hiki ndicho ambacho Biblia inasema, our struggle, kupigana kwetu, originates from another world. Si kwenye ulimwengu unaoona kwa macho yako ya nyama. It is easy to understand this world. Ni rahisi kuelewa ulimwengu huu. Ni rahisi kuelewa kwa sababu unauona, unaniona mimi nimesimama mbele yake. Unaweza ukatazama huku unamuona jirani yako amekaa karibu na wewe. Kwenye ulimwengu wa roho, you could be walking with a demon here. Unaweza ukawa unatembea na pepo hapa, and you don't see it. Na huulioni. And you don't know it. Na hata hujui. In the spiritual realm, kwenye ulimwengu wa roho, there could be a problem happening. Inawezekana kuna tatizo linatokea, isa problem. Kuna mtu anakusababishia tatizo, that na unamuona huyo mtu, lakini kile kitu ambacho hujui, that person is being used, huyo mtu anatumiwa, by another power, na nguvu nyingine, that you can't see with your eyes, ambazo huwezi kuziona kwa macho yako. Keep blaming that person, utaendelea kumlaumu huyu mtu huyu, but lakini nyuma ya huyo mtu, he is pushed by another power, anasukumwa na nguvu nyingine. Are you hearing me, children of God? Nisikilizeni, wana wa Mungu. This is what I want you to understand. Hiki ndicho ambacho nataka muelewe. If you don't understand this, kama huelewi hii, be shouting in the name of Jesus. Unapigana katika jina la Yesu. If you don't know whom you're fighting, hujui unapigana na nani, the spiritual realm is real. Ulimwengu wa roho ni halisi. Everybody knows about that. Kila mtu analijua hilo. When witches bewitch someone, wachawi wanapomroga mtu, they, they don't have power. Hawana nguvu. There is a power behind them. Kuna nguvu nyuma yao. That power is in the spiritual realm. Hiyo nguvu iko katika ulimwengu wa roho, power of demons. Nguvu ya mapepo, so that gives them power. Kwa hiyo inawapatia nguvu. When they look at, wakikutazama, wewe, they speak evil words, wanatamka maneno maovu. Hao maneno maovu, they begin to function against your life. Yanaanza kufanya kazi kinyume na maisha yako. It's not them. Sio wao. But there is something inside them. Lakini kuna kitu ndani yao, something that is using them. Kitu ambacho kinawatumia wao. It is so real. Ni halisi sana. It is so real. It is everywhere. Ni halisi sana, na iko kila mahali. Don't think there are few demons. Usifikiri kuna mapepo machache. One third of the population of heavens, theluthi moja ya idadi ya mbinguni, was swept here on earth. Ilitupwa hapa duniani. I salute you, sir. Nakusalimu bwana mkubwa. Be here. Patikana. Are you hearing me, young man? Unanisikia, kijana? Patikana hapa. Because today is your day. Kwa sababu leo ni siku yako. Be here. Patikana hapa. Somebody shout hallelujah. Tumepiga kelele, sema haleluya. Somebody shout hallelujah. Piga kelele, sema haleluya. Now let me tell you something. Sasa ngoja nikuambie kitu. As I speak to you these words, na ninapoongea na maneno haya, the battle has begun. Vita imeshaanza. And there are demons that will be leaving and ceremonially from people here. Na kutakuwa na mapepo yanakimbia kimya kimya kutoka kwa watu hapa. Because I got myself ready for this day. Kwa sababu nishajipanga mwenyewe kwa ajili ya siku hii. Are demons that will be evacuating. Kuna mapepo yanakuwa yanatoka, before we even issue notice. Kabla hajatoa hata notisi, they will be leaving. Yatakuwa yanaondoka. Some of you, kwa baadhi yenu, you'll be, what do you call that in English? Um, when someone has eaten something, maybe Coca-Cola or what, and then they do, mtu akiwa ana coca, bloating, glutting, bloating, bloating, eh, bloating. There are people who will be bloating. Kuna watu watakuwa wanacheua. There are people who feel like you want to go to the toilet. Kuna watu mtaskia kama mnataka kwenda chooni. People watakuwa wanapiga miayo ya ajabu ajabu. Signs of exit. Hizo ni ishara kwamba vitu vinatoka. Demons from this moment, na naamuru mapepo yaanze kutoka kuanzia wakati huu, in the name of Jesus Christ, katika jina la Yesu Kristo, in the name of Jesus Christ, katika jina la Yesu Kristo. No evil spirit will survive today. Hakuna pepo ambalo litasalia leo. Hear me very well. Nisikilizeni vizuri. It's a world, upo ulimwengu, that is the world that is disturbing you, ambao ndio ulimwengu ambao unakusumbua, not the one you see, si ule ambao unauona. Sometimes, muda fulani, someone will become a problem in your life, mtu atakuwa ni shida au tatizo kwenye maisha yako, he is disturbing you, anakusumbua, he is causing problems, anakusababishia matatizo, at work, katika ofisi kwako, kwenye mahusiano yako, becomes a problem, na huyo mtu anakuwa ni shida. Do you know why you've been praying against that person and nothing is happening? Unajua kwa nini umekuwa ukiomba kinyume na huyo mtu na hakuna kinachotokea? Kwa sababu hujui Uweza to look beyond the physical, kutazama zaidi ya ulimwengu wa mwili. You are looking at that person. Unamuona huyo mtu. What you don't know? Kitu ambacho hujui, a spirit, kuna roho, operating through that person. Inafanya kazi kupitia huyo mtu. Unless you discover a spirit, uweze kugundua kwamba ni roho, begin to deal with that spirit. Na uanze kushughulika na hiyo roho. This person will continue to become a problem in your life. La sivyo, huyu mtu atazidi kuendelea kuwa tatizo kwenye maisha yako. Because you're praying against a person, kwa sababu unaomba kinyume na mtu, instead of praying against a spirit, badala ya kuomba kinyume na roho. Am I speaking to someone here? Je, naongea na mtu hapa? Do you understand what I'm teaching here? Unaelewa ninachokufundisha? Our struggle, kupigana kwetu, is not against flesh and blood, si juu ya damu na nyama, it's against evil spirits, ni juu ya roho chafu. There is another world, kuna ulimwengu mwingine, with rulers, ambao unawatawala, demons that are ruling in that world, mapepo yanayotawala kwenye ulimwengu, they dictate what should happen, ndio yanaamua nini kitokee, they send people to go do something. Wanautuma watu kwenda kufanya kitu. Was it yesterday or before yesterday? Ilikuwa ni jana ama juzi? I bumped into a video on YouTube. Nilikutana na video YouTube. And a young lady was testifying. Na binti alikuwa anashuhudia, how they used to go to church. Namna gani walikuwa wanaenda kanisani, and destroy that church. Na kuliharibu hilo kanisa. When she was still practicing witchcraft, wakati bado alikuwa kwenye masuala ya uchawi ama ushirikina, she said, alisema, they would go in a church, wangeenda kanisani, and go to the key people, na wakaenda kwa wale watu ambao ni muhimu, and make sure they befriend them, na wanahakikisha kwamba wanakuwa ni marafiki zao, and they begin to influence them, na wanaanza kuwashawishi, using forces of powers, kwa kutumia nguvu za giza, and when they speak, na wanapoongea, their words matter to this person, maneno yanakuwa yana uzito sana kwa huyu mtu, and the person will begin to believe them, na huyo mtu ataanza kuwaamini. They'll be looking especially for those who want to support their pastor, wanakuwa wanatafuta hasa kwa wale ambao wanataka wamsaidie mchungaji wao, and pastor's children, na watoto wachungaji, and they will begin to use them, na wataanza kuwatumia, they befriend them, wanakuwa ni marafiki zao, and then when they begin to talk to them, na wakianza kuongea nao, and they are closer to them, na wapo karibu nao, in the night, usiku, in their worship, whatever, witchcraft, katika ibada zao za kichawi, they begin to speak evil words, wanaanza kutamka maneno mabaya, sending spirits, wanatuma roho, to go and influence these people, kwenda kuwashawishi watu hawa, and all of the sudden, na mara tu, these people begin to change, watu wanaanza kubadilika. That will no longer happen here. Hiyo haitatokea hapa tena, katika jina la Yesu. Every evil spirit, kila pepo, with your agents, na mawakala wako, that you presented yourself in Capson Fellowship, ama umejileta hapa Capson Fellowship, I stand here as a servant of God, ninasimama kama mtumishi wa Mungu mahali hapa, evacuate, ninaamuru, toka sasa, in the name of Jesus, kwa jina la Yesu Kristo, in the name of Jesus Christ, katika jina la Yesu Kristo. Every evil spirit, kila pepo, commission, ambao umetumwa, pull back the members of this church, kuja kurudisha nyuma. Hamwezi kushindana na moto leo, katika jina la
La Yesu Kristo. Somebody shout, "Hallelujah!" Somebody shout, "Piga kelele sema Yesu!" It shall not happen; haitatokea, because I've determined, kwa sababu nimedhamiria, to see members of our church, kuona washika wa kanisa letu, going forward, wanaendelea mbele, breaking through, wanapenya, breaking grounds, wanapenya, taking over new territories, wanapata utawala mpya, overcoming every weakness, wanashinda kila udhaifu, and breaking every barrier, na wanavunja kile kizuizi, katika jina kuu la Yesu. Revelation chapter 12:7, ufunuo 12:7; Revelation 12:7, kitabu cha ufunuo 12:7, says, "In break out in heaven, Michael and his angels fought with the dragon, and the dragon angels fought." Kulikuwa na vita mbinguni. Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka. Yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake. But they did not prevail. Nor was a place found for them in heaven any longer. Nao hawakushinda wala mahali pa kuonekana tena mbinguni. So the dragon was cast out, that serpent of old, called the devil and Satan, who deceived the whole world, who was cast to the earth, and his angels were cast out with him. Yule joka akatupwa, yule mkubwa nyoka wa zamani, aitwaye ibilisi na shetani, audanganyaye ulimwengu wote, akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye.
Verse 10, "Then I heard a loud voice saying in heaven, 'Now salvation and strength, the kingdom of our God and the power of His Christ have come, for the accuser of our brethren, who accused them before our God day and night, has been cast down.'" Nikasikia sauti kuu mbinguni ikisema, "Sasa kumekuwa wokovu na nguvu na ufalme wa Mungu wetu na mamlaka ya Kristo wake, kwa maana ametupwa chini mshtaki wa ndugu zetu, yeye awashtakiaye mbele za Mungu wetu mchana na usiku."
Verse 11, "And they overcame him by the blood of the Lamb and by the word of their testimony; they did not love their lives to death, because they did not love their lives to death." Mstari wa 11, Nao wakamshinda kwa damu ya mwanakondoo na kwa neno la ushuhuda wao, ambao hawakupenda maisha yao, hata kufa.
Verse 12, "Therefore rejoice, O heavens, and you who dwell in them. Woe to the inhabitants of the earth and the sea! For the devil has come down to you, having great wrath, because he knows that he has a short time." Kwa hiyo shangilieni, enye mbingu, nanyi mkaao humo; ole wa nchi na bahari! Kwa maana yule ibilisi ameshuka kwenu, mwenye ghadhabu nyingi, akijua ya kuwa ana wakati mchache tu.
Listen. Sikiliza. The Bible says, Bibilia inasema, "In heaven," mbinguni, not in Manzese, sio Manzese, not in New York, sio New York, not in Dar es Salaam, sio Dar es Salaam. In heaven, mbinguni. War broke out, vita ilipuka, in heaven, mbinguni. I've always told people, wakati wote nimewaambia watu, "Can you wake up," huwezi kushtuka, "if the devil tried to fight in heaven," kama shetani alijaribu kupigana mbinguni, "and you think he cannot try to fight you here," na unafikiri kwamba akakupinga hapa? That is the highest form of self-deception, hicho ni kiwango cha juu kabisa cha kujidanganya mwenyewe. War broke out in heaven, vita ilipuka mbinguni. The devil, shetani, serpent with the demons, shetani, joka na mapepo yake. Before they were demons, they were angels in heaven, kabla ya kuwa mapepo, walikuwa ni malaika kule mbinguni, worshipping God, wakimwabudu Mungu. And then one day, na kisha siku moja, the devil thought, "Aha," shetani akafikiri, "ah," I am better than God, nafikiri mimi ni bora zaidi kuliko Mungu, I can lead heaven well, ninaweza nikaiongoza mbingu vizuri, I am the best singer, mimi ni mwimbaji bora. So he managed to convince one third of the angels in heaven, kwa aliweza kuwashawishi theluthi ya malaika mbinguni, 1/3 of the angels in heaven, moja ya tatu ya malaika mbinguni. If there are 300 million angels in heaven, kama kuna milioni 300 ya malaika mbinguni, 100 million, milioni 100, they agreed with him, walikubaliana naye, and they said, "Let's fight God," na akasema, "Ngoja tupigane Mungu," we can beat him up, tunaweza tukampiga, and then we be ruling, na kisha tutakuwa tunatawala. So war broke out in heaven, vita ikalipuka mbinguni. In heaven, mbinguni. Somebody say, "In heaven," mtu mmoja aseme, "mbinguni." In heaven, mbinguni. Not Kigamboni, sio Kigamboni. In heaven, mbinguni. Not in London, sio London. In heaven, mbinguni, was war, kulikuwa na vita. And people think, na watu wanafikiri, "I'm okay here," ah, mi niko salama hapa, there's no problem, hakuna shida. War is already happening, vita tayari inatokea. The only reason you don't see it happening, kwa sababu pekee kwa nini huioni inatokea? It is because you accepted to be captured, ni kwa sababu umekubali kutekwa. People surrender, watu waliojikabidhi, they don't fight, hawapigani, they are taken somewhere, wamechukuliwa, wako mahali, they've surrendered, wamekubali. But those who refuse to surrender, lakini wale wanaokataa kukubali, is going on, vita inaendelea, whether you like it or not, upende ama usipende, you have to fight, lazima upigane. This is what people don't understand, hiki ndicho ambacho watu hawaelewi. We are so complacent these days, tumeridhika sana siku hizi; negligence is everywhere, kupuuza mambo kupo kila mahali; we are just expecting, by grace, everything to happen, tunatarajia tu, ah, kwa neema kila kitu kitatokea. Grace is there, neema ipo; the mercies of God are there, rehema za Mungu zipo. But the problem is, lakini tatizo ni kwamba, the devil is not gracious, shetani hana neema, and he doesn't have mercies, na sio mwenye rehema. That's the problem, hiyo ndio tatizo. He dared God himself, alimjaribu Mungu mwenyewe, and after he lost the battle in heaven, na baada ya kwamba amepoteza vita mbinguni, Bibilia inatangaza, "Unto you inhabitants," kwenye wakaaji wa nchi, "where are you living now?" wewe unaishi wapi? You are here on this earth, uko hapa kwenye ulimwengu huu; "woe to you," ole wako wewe. The only way you ever succeed in this life is a Christian, namna pekee ya kufanikiwa kwenye maisha kama Mkristo, is to decide to be a warrior, ni kuamua kuwa mpiganaji, a fighter, mpambanaji; no retreat, no surrender, hakuna kurudi nyuma, hakuna kusurrender; if you don't understand, go and listen to the song by Rose Mwando, kama hujaelewa nenda kasikilize wimbo uliimbwa na Rose Mwando; no retreat, no surrender, kama defender. This is life, my friend, haya ni maisha, rafiki yangu. You cannot succeed just by saying, "Hallelujah," huwezi kufanikiwa kusema tu, "Haleluya," siku moja, siku moja. No, God wants you to succeed, hapana, Mungu anataka ufanikiwe; God wants you to prosper, Mungu anataka ustawi; it will, ni mapenzi ya Mungu; it is God who says, lakini Mungu anayesema, "Begin to possess the land," anza kumiliki nchi, by engaging the enemy in battle, kwa kumhusisha adui katika vita. The promise is there, ahadi iko pale, but possession, lakini kumiliki, will come by fighting, utakuja kwa kupigana. Na sasa navosema hivi, I know what is happening in the minds of many people, najua nini kinaendelea kwenye akili za walio wengi, many people, watu wengi. My friends, Maasai don't have a problem in fighting, marafiki zangu wa Maasai hawana shida kwenye kupigana; when I speak like this, lakini nikiongea hivi, his mind is like, akili yake ni kama, "Hamna mtu kuiba ng'ombe yangu," nobody can take my car, that is a Maasai, huyo ni Maasai, but for some of you, lakini kwa baadhi yenu, "Shetani," devil, ndio adui yangu, "is my enemy," that is true, hiyo ni kweli; so if I say right now, kwa hiyo nikisema sasa, "Let's go in prayer," tuingie kwenye maombi, "kila mtu kwa jina la Yesu, pepo mbaya!" Which pepo? Which one? Which spirit? Roho gani? Which one? Pepo lipi? Be specific, wewe kimaalum, ni pepo lipi? Unajua? Which one is giving you trouble? Pepo lipi linakupa shida? You don't just say, "Pepo mchafu," mapepo yote ni machafu. Oh, hakuna pepo msafi; there's no any clean spirit from the devil. Which one are you talking about? Lipi unaizungumzia? Which one is giving you trouble? Lipi linakupa shida? Identify that spirit, gundua hiyo roho; identify that weakness, gundua huo udhaifu; wage war against it, amsha vita kinyume chake; spirit of lust of the flesh, mapepo ya tamaa ya mwili, "Unanisabisha mimi nipige," katika jina la Yesu, ninawavunja katika jina la Yesu. Identify your enemy, mtambue adui yako, which one? Yupi? Some people, baadhi ya watu, wachawi wote wa dunia nzima, ninawafunga kwa jina la Yesu Kristo. Jesus said, "Be wise," Yesu mwenye hekima, be wise, wewe mwenye hekima; fight your enemy, pigana na adui yako; don't go and fight somebody else's enemy while you have your own, usipigane na adui ya mtu mwingine wakati wewe una adui yako unamwacha; finish first your enemy, malizana kwanza na adui yako; you can go and help someone else, kisha ndio unaweza kwenda kumsaidia mtu mwingine. Who is your enemy? Adui yako ni nani? Am I speaking to someone here? Naongea na mtu hapa? Somebody shout, "Hallelujah!" Tumepiga kelele sema, "Haleluya!" Adui yako ni nani? What problem do you have? Una tatizo gani? What weakness pulls you back? Ni udhaifu gani unakurudisha nyuma? Who is bewitching you? Nani anakuroga? Why is it the enemy can enter your house? Ni kwa nini kwamba adui anaweza akaingia kwa nyumba yako? Which door is open? Mlango gani uko wazi? In every battle, kwenye kila vita, you don't just attack, au shambulia, shambulia tu; there's also defense, lakini pia kuna kujilinda. If you keep attacking and not defending yourself, ukiendelea tu kushambulia na haujilindi, you can't win that battle, huwezi kushinda hiyo vita. [Muziki] That's why in Tanzania, ndio maana Tanzania, our army is not called Tanzania attacking army, jeshi letu halijaitwa jeshi la Tanzania la kushambulia; oh, Tanzania abduction army? Ama why are you not speaking it? Utekaji? Jeshi la utekaji? Wala sio jeshi la utekaji. No, our army is not called Tanzania abduction army, jeshi letu halijaitwa jeshi la Tanzania la utekaji; it is called Tanzania People's Defence Force, inaitwa jeshi la Tanzania la kujilinda. Before you attack your enemy, kabla hujamshambulia adui yako, defend yourself, jitetee mwenyewe, jilinde mwenyewe. How do you defend yourself? Namna gani unaweza ukaji? Close the doors, funga milango; close the doors, funga milango. You can't win a battle, huwezi kushinda vita, you go and fight thieves, unaenda kupigana na wezi, and then you come back and you sleep without closing your door, na kisha baada ya kufukuzana nao unakuja kulala hujafunga mlango. There are many of them, wapo wengi; others will come and enter, wengine watakuja na kuingia, and take your belongings, na kuchukua mali zako. Am I speaking to someone here? Je, naongea na mtu hapa? Someone shout, "Hallelujah!" Mtu mmoja amepiga kelele sema, "Haleluya!" The reason why many people are suffering, sababu kwa nini watu wengi wanateseka? It is because they are not willing to fight, ni kwa sababu hawako tayari kupigana, and when they fight, na wanapopigana, they don't know how to fight, hawajui namna gani ya kupigana; they fight the wrong enemy, wanapigana na adui ambaye hayuko sahihi; maybe they don't know their enemy, yamkini hata hawamjui adui yao. It's not hard; you don't need, you don't need prophecy to know your enemy, hata sio ngumu; hauhitaji unabii wewe kujua adui yako; look around yourself, jitazame tu mwenyewe; the challenges you are facing, changamoto unazokabiliana nazo, tell you which enemy you should attack, hizo zitakuonyesha tu ni adui gani wa kumshambulia; so you don't need a prophet to come and tell you, kwa hiyo hauhitaji nabii kuja kukuambia, "Haleluya! Namna ninavyokuona wewe, una tatizo la tamaa ya mwili." You know when you have the lust of the flesh, unajua unapokuwa na tamaa ya mwili, unajua, and you know that is a door, na unajua huo ni mlango, it can allow the enemy to come and attack your money, unaweza ukamruhusu adui kuja kushambulia pesa zako kupitia huo mlango; adui anaweza akashambulia nyumba yako kupitia mlango huo huo; close it, funge kwanza. Somebody shout, "Hallelujah!" Mtu mmoja amepiga kelele, sema, "Haleluya!" [Muziki] You know sometimes, unajua muda fulani, sometimes all the time, wakati wote, when I'm teaching or preaching, nikiwa nafundisha ama nahubiri, I'm very sensitive, nakuwa niko makini sana; I observe you people, nawatazama ninyi watu; so please don't provoke me, kwa hiyo tafadhali msinichokoze; siamini kwamba you'll be listening to me carefully, kwamba mnanisikiliza kwa makini, if you are sitting like this, kama mnakwa namna hii, and I am preaching, and you are like this, na mimi nahubiri, mnakwa hivi; you are looking for trouble, hapo mnataka shida, because I come where you are exactly, kwa sababu nitakufuata hapo hapo ulipo; and you know we are online, na unajua tuko mubashara; and then the next day, kisha siku inayofuata, you are crying because of problems, unalia kwa sababu ya matatizo, when I was teaching you, nilipokuwa nafundisha, you are just like that, ulikuwa umekaa tu hivi. I told you, niliwaambia, before you go to war, kabla hujaingia vitani, the first thing you need to do, jambo la kwanza unapaswa kufanya, je, sijawaambia? Did I not tell you? Sijawaambia? Now be very careful, sasa uwe makini sana, because we mean business here, kwa sababu tuko hapa tunamaanisha tunachokifanya. I told you this, niliwaambia hivi, I don't believe in resultless Christianity, siamini kwenye Ukristo ambao hauna matokeo; I believe in Christianity where someone will show the fruits of his faith, naamini kwenye Ukristo ambao mtu ataonyesha matunda ya imani yake, and the devil is against that, na shetani anapinga hiyo; he wants to fight you, anataka akupinge, so that years after years after years, kwamba miaka na miaka na miaka, you have nothing to show, usiwe na chochote cha kuonyesha. We must put an end to that trend, lazima tufike mwisho; tufikishe mwisho wa hiyo hali; we must put an abrupt end to that trend, lazima tuifikishe mwisho wa ghafla hiyo hali. Somebody shout, "Hallelujah!" Tumepiga kelele sema, "Haleluya!" Somebody shout, "Hallelujah!" Piga kelele sema, "Haleluya!" When I was talking about identifying your enemy, nilipokuwa nazungumzia baada ya kumtambua adui yako, I believe your mind was going around like this, naamini akili yako ilikuwa inazunguka namna hii, and you must get ready to fight, na lazima uwe tayari kupigana; first and foremost, lakini kwanza awali ya yote, kuna kitu unataka wewe ujue. [Muziki] Jesus said, Yesu alisema, "Upon this rock," juu ya mwamba huu, "I will build My church," nitijenga kanisa langu, "and the gates of hell," na milango ya kuzimu, "shall not prevail," halitalishinda, "against it." We are a church, sisi ni kanisa, and the devil cannot defeat us, na shetani hawezi akatushinda, but we have to rise and do something, na ndiyo sasa tuinuke na tufanye jambo. Whatever God has prepared for Capstonian, chochote ambacho Mungu ameandaa kwa ajili ya Kepstonian, you shall have, unakuwa nacho, katika jina la Yesu; whatever promise God has prepared for you, yote ambayo Mungu ameandaa kwa ajili yako. Follow me, fuatilia tu kwenye hizi njia za vita, kwa sababu siku moja utaipata. I'm telling you what I believe, what I have seen in my own life, nawaambia kile ambacho naamini, nawaambia kile ambacho nimekiona kwenye maisha yangu. One day, probably, siku moja yamkini, you may have an opportunity to see where I come from, utapata fursa ya kuona kule ninakotokea; when you see where I come from, utakapoona ninakotokea, it is when you will understand, ndipo pale utakapoelewa, my teaching, kile ambacho hakika nawafundisha. When my dad passed away, babangu alipofariki, we traveled to go to the funeral with a few members, tulisafiri kwenda msibani na baadhi ya washiriki wachache; one of them, mmoja wao, was Pastor Frederick Mutayoba, alikuwa ni mchungaji Fredrick Mutayoba; he is here in Dar es Salaam pastoring a church, yuko hapa Dar es Salaam anachunga kanisa; if you happen to meet him, ask him, ikitokea umekutana naye, muulize. They were shocked, walishangaa; you know, you see someone standing before you, unajua, unamuona mtu amesimama mbele yako, you don't know what battles they've gone through to reach where they are, hujui vita gani wamepitia mpaka kufika waliko; may not appreciate, unaweza usiapreciate, but when you see where I come from, lakini utakapoona kule ninakotokea, it is when you know this man is a fighter, ndipo pale utakapojua kwamba ah, huyu mtu ni mpiganaji. First and foremost, kwanza kabisa, awali ya yote, at the funeral of my dad, kwenye msiba wa babangu, just the next day after we buried my dad, siku tu iliyofuata baada ya kumzika baba yangu, people are being arrested by the clan family, wale walikuwa wanakamatwa na familia zile za ukoo, and they were being beaten, na wale viongozi wa familia walikuwa wanapigwa, na fimbo kubwa, as punishment, kama adhabu. I just want to tell you which clan I'm coming from, nataka tu nikuonyeshe, not a normal family, si familia ya kawaida; to break out from such a family, kupenya kutoka kwenye hiyo familia, inakupasa mpiganaji kweli kweli. Then came a discussion before people scattered, kisha ikaja majadiliano kabla watu hawajatawanyika; what should we do? Tuafanye nini? Jamani! Kujikwamua kutoka kwenye umasikini, there is absolute poverty, kwa sababu kuna umaskini uliopindukia; umaskini uliopindukia. I resemble them, mimi sifanani nao; up, and some of you here come from such families, na baadhi yenu mnatokea kwenye familia za aina hiyo pia. I woke up, niliamka siku moja, in my mind, kwenye akili yangu, when I heard about one of our grandfathers, niliposikia mmoja kati ya babu zetu, who was passed away now, ambaye ameshafariki sasa; he passed by our compound in the village, alipitia pale kwenye eneo letu pale nyumbani kijini, like this, alikuwa yuko namna hii, "CL" kwa wetu; we give birth to so many people, tunazaa watu wengi, but we don't have money, lakini hatuna pesa; we are poor, ni maskini; we don't die quickly, hatufi kwa haraka. Ah, poverty, lakini umaskini; no education, hakuna elimu; poverty, umaskini. I was listening, nilikuwa nasikiliza; I said, "Oh," nikasema, "oho," so that's why these things are happening, ndio maana haya mambo yanatokea; and I made up my mind that same day, na nikafanya maamuzi siku hiyo hiyo; I said, "I will not be one of them," nikasema, "Kamwe sitakuwa mmoja wao;" I will break out from this, lazima nipenye kutoka; that day, siku ile, it was like a revelation, ilikuwa ni kama ufunuo. To this day, when I meet my relatives, mpaka leo nikikutana na ndugu zangu, "askula," wananiuliza, "Mbona hufanani kama sisi? What happened to you?" Nini kimekutokea? You don't look like you come from this family, haufanani na kwamba umetoka kwenye familia hii; it is true, ni kweli; what they say is true, wanachosema ni kweli; I don't resemble them as if I come from that family, sifanani kama nimetoka kwenye familia hiyo, because I made up my mind, kwa sababu nilifanya maamuzi, to fight, kwamba naenda kupigana, and I fought, na nilipigana. That same day, siku ile ile, discussing, wakaanza kufanya majadiliano, "Now what do we do out of poverty?" Sasa tufanyeje kujikomoa kutoka kwenye umasikini? Let's start a fund, tuanzishe mfuko; every year, kila mwaka, people should contribute, watu wachange, so that other people can take a loan and do business, ni kwamba watu wengine kutoka kwenye mfuko wachukue mkopo, hiyo itatutoa kwenye umasikini. So the real question came, kwa hiyo swali likaja sasa, "How much should they contribute per year?" Shilingi ngapi sasa wachangie kwa mwaka? Si kwa wiki, kwa mwaka; not per month, per year, sio kwa mwezi, kwa mwaka. One of them said, mmoja wapo alisema, "25,000," 25,000. Everyone shouted, kila mtu akapiga kelele, "Who can give that? Who can give that?" Huwezi kutoa! I was so shocked, as if I don't know them, nilishangazwa sana kana kwamba siwajui; 25,000 per year, 25,000 kwa mwaka, everyone shouted, kila mtu akapiga kelele, "Sio dola! Tanzania shillings!" Kila mtu akatoa kama mchango, per year, kwa mwaka. So I told them, kwa hiyo nikawaambia, "Please," tafadhali, "those of you who can't give that money, raise your hands," nyinyi ambao hamwezi kutoa hiyo pesa nyosheni mikono yenu. They raised their hands, wakanyosha mikono yao; and I said, na nikasema, "I pay it for you," nitawalipia. When I said that, niliposema hivi, the other said, "Me too!" Mwingine, na wengine wakasema, "Na mimi! Na mimi!" It was so shocking, nilikuwa nashangaa sana. I had gone with Wickliff, nilikuwa na maana na Wickliff; he was shocked, alishangaa sana; he didn't know his dad comes from such a family, hakujua kwamba babake anatokea kwenye familia ya aina hiyo. He me, children of God, sikilizeni, wana wa Mungu, I am not preaching theory to you, sio nadharia, I have lived this life, nimeishi maisha yangu, I fought the battles, nimepigana vita tofauti tofauti; nimeshinda; I know what I'm talking about, najua ninachokizungumza; you can win, unaweza ukashinda; you can escape, unaweza ukachomoka; decide in your mind, inakupasa uamue kwenye akili yako; any problem, tatizo lolote; let me tell you, ngoja nikuambie, there is no impossible case before God, hakuna jambo lisilowezekana mbele za Mungu; all things are possible, mambo yote yanawezekana, not with God, si tu kwa Mungu; the Bible goes on to say, Bibilia inaendelea kusema, "To him who believes," kwake yeye aaminie, "how many things are possible?" Mangapi yanawezekana? All things are possible, mambo yote yanawezekana, but you have to change your mind, lakini inakupasa ubadili mtazamo. Identify your enemy, tambua adui yako; identify the openings that the enemy is going through to attack you, tambua milango ambayo adui anaipitia kukushambulia. That's how you fight spiritual warfare, hivyo ndivyo unapigana vita ya kiroho; si tu, "Baada ya kupiga pepo wote Dar es Salaam, pepo wote Dar es Salaam, ninawafungia, kuzima! Ninachukua dumu la kiroho, ninawashindilia humo sasa, ninafunga mfuniko!" You can't do that, huwezi kufanya hivyo; many people have done that, watu wengi wamefanya hivyo, and we still see demons disturbing people today, na bado tunaona mapepo yakisumbua watu leo; their time is not yet, muda wao bado; their time is not yet, muda wao bado; they will still be around for so long, bado watakuwepo kwa muda, until the church is taken, mpaka kanisa litakapokwisha, demons will still be around, mapepo bado yatakuwepo. Pray with wisdom, omba kwa hekima; "Ninawafunga pepo wote, ninawatupa baharini!" Throw them in the ocean! Sasa wale wenye mitumbwi huko baharini, those people there in the boats, ndio unataka wafuatoke huko, "Get out from there! Ahah! Ahah!" Hayo ni maombi ya kitoto; those are childish prayers, pepo huwezi kumuondoa hapa duniani, huwezi; you can move a demon from this person, Yesu mwenyewe hakuwaondoa hapa duniani; even Jesus himself did not remove them from this earth. Wakitoka kwa mtu, wanaenda kwa nguruwe, wanakimbia. What does the Bible say? Bibilia inasema nini? When an evil spirit leaves a person, pepo chafu linavyomtoka mtu, they go around in dry places looking for places, mahali paa, kutafuta mahali pa kukaa; and if they don't get it, na wasipopata, they go back to see their former house, wanaenda kucheki nyumba yao ile ya kwanza; if it's clean but empty, ni safi lakini wazi, they don't enter, hawaingii; they go and look for other evil spirits, wanaenda kutafuta mapepo mengine; seven evil spirits, mapepo saba, more evil than themselves, ambao ni waovu zaidi kuliko wao; tell them, "Ah!" Naambia, "Eh!"
I'm putting in my flavor now, naweka vyonjo vyangu. Sasa we were chased from that house. Tulifukuzwa kwenye ile nyumba. We don't want to go there alone. Sitaki kurudi mwenyewe. Can you please come? Let's join, ungana nami. Let's go. Twendeni. They go back to that same person. Wanarudi kwenye mahali pale pale.
And the Bible says, Na Biblia inasema, his final state will be worse than the first one. Hali yake ya mwisho yule mtu itakuwa ni mbaya kuliko ile ya kwanza. This world is so real. Ulimwengu huu ni halisi sana. Spiritually, ulimwengu wa roho ni halisi sana. If you don't look, if you don't wake up, kama hautashtuka, you'll be fighting your husband. Utakuwa unapigana na mume wako. Fighting your wife, utakuwa unapigana na mke wako. Fighting children. Utakuwa unapigana watoto wako. Utakuwa unapigana wazazi wako, without knowing, bila kujua kwamba ipo nguvu nyuma yao.
Some of these people are enslaved. Baadhi ya watu wamefungwa. If you find a slave, ukimkuta mtumwa, told by his master, ameambiwa na bwanake, kula mavi; hivi usipokula na kukata shingo, eat this thing; once you don't eat, I'm going to chop your head, nakutoleanga mfano lakini huu huu hapa sitaki kumtolea mtu, to take anybody. And you see this person eating poop, unamuona huyu mtu anakula mavi, and you begin to blame that person, na unaanza kumlaumu huyo mtu. Other people, watu wengine, look at this one, tazame huyu, look at this one, tazame. Now there are people who think I am exaggerating, sasa kuna watu wanafikiri natia chumvi. This things happen, mambo haya yalitoke. One day I saw an illustration, I mean a true testimony, niliona ushuhuda wa kweli kabisa. Someone went to be prayed for, kuna mtu anaenda kuombewa, at TB Joshua's meeting, katika mkutano wa TB Joshua, before he died, kabla hajafa, and this person had an evil spirit, na huyo mtu alikuwa na mapepo. This evil spirit, pepo hili, was telling him to eat poop, nilikuwa namwambia ale mavi, if he eats food, akila chakula, he has to follow up, you know, kushia lazima ashushie, literally poop, literally eating poop, kabisa mavi yale anakula. And he demonstrated, alionyesha kabisa, he ate, alikula. They went to the toilet, walikuwa wanaenda chooni, with a camera, na camera, with people, na watu, you know. People thought it was a joke, watu walifikiri ni mzaha; his father ate his own feces like he was harvesting chips. Alikula kinyesi chake kama kutavuna chips.
And when you meet him on the way, na ukikutana naye njiani, he is not crazy. Hajanyikiwa. He dressed well, amevaa vizuri kabisa. He doesn't look like a person who eats poop. Haonekani kana kwamba ni mtu anayekula mavi yake. I'm telling a true story. Nawaambia habari ya kweli. How can you blame such a person? Unawezaje kumlaumu mtu? There's a spirit behind that person. Liko pepo nyuma ya huyo mtu, forcing him to do this. There are people who are enslaved, kuna watu waliofungwa, they don't like doing what they are doing, hawapendi kufanya wanachofanya; they are forced by some powers behind, wanalazimishwa na nguvu fulani kutoka nyuma kwao. Today you shall be free in Jesus, leo utekwa uhuru katika jina la Yesu; shall be free in Jesus, leo kwa huru katika jina la Yesu; Jesus, leo huru katika jina la Yesu. When she was prayed for, alipoombewa, she couldn't handle that smell, haweza hata kuvumilia ile harufu; hakuweza mwingine. Every time he finishes a meal, kila wakati akimaliza chakula chake, he couldn't feel good, asingejisikia vizuri, unless he goes in the garbage, mpaka aende kwenye sehemu ambayo unaeko mchafu, and at least take one item of food in the garbage, na angalau achukue kitu kimoja kutoka kwenye huo uchafu, to finish up as a dessert, amalizie kama ndio kitu cha kumalizia chakula chake, from the garbage, kutoka kwenye eneo la uchafu kabisa. No matter how much food you give him, hajalishi utampa chakula cha kiango gani, he cannot eat, hawezi kula, unless he goes in the garbage, mpaka aende kwenye ambako kuna uchafu, of food, achukue chakula pale. Now he would feel satisfied, sasa ndio anajisikia ameridhika. This is a person educated, huyu ni mtu ana elimu yake, has a good job, ana kazi nzuri, goes to office, anaingia ofisini, and nobody knows about that, na hakuna mtu anajua habari ya hiyo. [Muziki] How do you explain those things? Unawezaje kuelezea mambo haya? Those are spiritual attacks, hayo ni mashambulizi ya kiroho. Am I speaking to someone? Je, naongea na mtu hapa? Somebody shout hallelujah, mtu amepiga kelele sema haleluya. So there are things that are happening in our lives, kwa hiyo kuna mambo yanayotokea kwenye maisha yetu, the function of evil forces, ambayo ni matokeo ya mapepo.
Can you please stand up where you are? Tafadhali naomba usimame sehemu ambako upo. Team, where are you? Timu ya kuabudu mpo wapi? [Muziki] As I was speaking to you, nilipokuwa naongea na wewe, there are people who felt strange happenings in their bodies. Kuna watu walisikia vitu vya ajabu ajabu vikitokea kwenye miili yao. That was the sign of deliverance. Hii iko ni ishara ya kufunguliwa kwako. Some of you felt like someone is squeezing the stomach. Baadhi ya mlijihisi kana kwamba kuna mtu anabandanisha tumbo lako. Just as if there's a force trying to squeeze your inside your stomach inward. Kana kwamba kuna nguvu fulani inakuwa inabananisha tumbo lako huko ndani. It was a struggle between light and darkness. Ilikuwa ni mapigano kati ya nuru na giza. When that confrontation comes, na hayo mapigano yanapokuja, always, wakati wote. Somebody say always. Mtu mmoja anasema wakati wote. Say always, sema wakati wote. Always light emerges a winner. Wakati wote nuru inashinda. Darkness cannot comprehend. Giza haiwezi ikashinda. In the mighty name of Jesus, katika jina kuu la Yesu, every evil spirit, kila pepo, commissioned against this church, liyotumwa kinyume na kanisa hili, you shall not prevail, hamtashinda, over any of our members, juu ya msharika wetu yeyote. I command you to evacuate now. Ninaamuru mtoke sasa. In the name of Jesus. Katika jina la Yesu. In the name of Jesus. Katika jina la Yesu. In the name of Jesus. Katika jina la Yesu. Evil spirit of sin, mapepo ya dhambi; spirit of poverty, mapepo ya umasikini; spirit of ignorance, mapepo ya ujinga. In the name of Jesus. Katika jina la Yesu. Listen to me carefully, nisikilize kwa makini. Give me that anointing oil. Nataka nimpake mafuta kila mtu. The anointing of wisdom and revelation, upako wa hekima na ufunuo. Your eyes shall be opened from today, macho yako yatafunguliwa kuanzia leo. Your spiritual eyes, macho yako ya kiroho; the eyes of your mind, macho ya ufahamu wako. Father, in the name of Jesus, Baba katika jina la Yesu, anoint this anointing oil in your hands, Lord. Baba achilia mafuta ya upako mikononi mwako Bwana. Pray that Almighty father, tunaomba eh baba mkuu, in this anointing oil, katika mafuta ya upako, there shall be power, kwao kuna nguvu, for deliverance of mind, kwa ajili ya ukombozi wa fikra; there shall be power, kwao kuna nguvu, for those who are bound with demons, kwa ajili ya wale waliofungwa na mapepo; there shall be power, kwao kuna nguvu, to receive wisdom from above, hekima kutokea juu. Father, in this anointing, baba kwenye mafuta ya upako, there shall be power of healing, kwao kuna nguvu ya uponyaji, upon this anointing oil, juu mafuta ya upako ya Bwana; kwao kuna nguvu ya uhuru, from the spirit of poverty, kutoka kwenye roho ya umasikini. Upon this anointing oil, eh Bwana, I pray, ninaomba, someone's eyes, kwamba macho ya mtu yafunguliwe; someone's eyes, kwamba macho ya mtu yafunguliwe, in the mighty name of Jesus, katika jina kuu la Yesu. Power, baba achilia nguvu zako eze kwenye mafuta ya upako; baba achia mafuta ya upako yasababishe watoto wako, to receive the spirit of a warrior, wapokee roho ya upaganaji; to emerge winners in every battle, waepuke kuwa washindi kwenye kila vita. Father, upon this anointing oil, baba juu ya mafuta haya ya upako, cause people to receive favor, sababisha watu wapokee upendeleo, upendeleo usio wa kawaida; asante Bwana. Magnify and I praise you, nakutukuza wewe; give all praise, zote utukufu na heshima, holy spirit, eh roho mtakatifu; come, Lord, njoo Bwana, uwe ndani ya mafuta haya ya upako, upon each one, upon everyone who will be, who will come in contact with this anointing oil, juu ya kila mtu ambaye atakutana na mafuta haya, cause them to go home with a testimony, wasababishe warudi nyumbani na ushuhuda; cause them to emerge winners, wasababishe waibuke washindi, in the mighty name of Jesus, katika jina kuu la Yesu. We pray, amen. Tunaomba, sema amen. Somebody shout hallelujah, pigia kelele sema haleluya. I begin with the worship team, nianza na timu ya kuabudu, so that they can begin to minister, ili kwamba wao waanze kuhudumu. And then, na kisha, we will begin from this side with our children. Tutaanzia upande huu kwa watoto wetu. As you help me, wahudumu mtanisaidia. As they come, wanavokuja, with one line, na mstari mmoja, they will go back with another line towards their seats. Watarudi na mstari mwingine kwenda walipokaa. And then, na kisha, we will go from this side. Tutaanzia upande huu. You'll come, mtakuja; you go around, mkazunguka; and you return, mnarudi, back to your seats, kurudi sehemu zenu. We move to the middle section, tutakuja hapa katikati, and then we finish this side, na kisha tumamalizia upande wa kule. But when you go back, lakini unaporudi, don't sit there, usikae pale. I am anointing you, nakupaka mafuta, the anointing of a warrior, ukiwa na mafuta ya upiganaji. Begin to fight, anza kupigana; begin to move around fighting, anza kuzungukazunguka kupigana; begin to attack your enemies, anza kushambulia adui zako; chukua muda, feel victory, mpaka mpaka uhisi ndani yako ushindi. Katika ndani yako uhisi ushindi. Haleluya. Haleluya. Utukufu kwa Bwana Yesu Kristo. No. [Muziki] zimeshindwa Bwana Yesu. [Muziki] Kwa jina la Bwana, Bwana Yesu ameshindwa. [Muziki] Kwa jina lako Bwana, Bwana Yesu. Si kwa majeshi, si kwa majeshi eh Bwana, wala si kwa silaha; ni kwa roho, ni kwa roho mtangaza. [Shangwe] Kwa majeshi, kwa majeshi, si kwa majeshi, wala si kwa roho, kwa roho. [Muziki] [Shangwe] Baba, nguvu za giza, nguvu za giza, kwa jina la Bwana Yesu. Nguvu za giza, nguvu za giza nimeshindwa, nimeshindwa. [Muziki] Kwa jina la Bwana Yesu, oh si kwa majeshi, si kwa majeshi, wala si kwa silaha; ni kwa roho, ni kwa roho mtangaza. Oh si kwa majeshi, si kwa majeshi, si kwa majeshi, wala si kwa roho, ni kwa roho, maana nguvu za giza, nguvu za giza zimeshindwa, zimeshindwa, kwa jina la Bwana Yesu. Yesu, nguvu za giza, nguvu za giza. [Muziki] Kwa jina la Bwana, Bwana. Si kwa majeshi, si kwa majeshi, ah si kwa majeshi Bwana, sia; ni kwa roho, ni kwa roho, ni kwa roho. Ah si kwa majeshi, si kwa majeshi, si kwa majeshi, wala si ni kwa roho, ni kwa roho. Nguvu za giza, nguvu za giza, eh Bwana, zimeshindwa, zimeshindwa, kwa jina la Bwana Yesu. Oh nguvu za giza, nguvu za giza zimeshindwa, zimeshindwa, kwa jina langu Bwana, kwa nguvu za giza, nguvu za giza zimeshindwa kwa jina lako.
When you go back, unaporudi, please enter in prayer. Tafadhali anza kuomba. Spiritual warfare prayer, maombi ya vita. Don't just go and sit, usiende tu pale ukatulia. Begin to pray, anza kuomba. Begin to pray, anza kuomba. Begin to attack every evil spirit, anza kushambulia kila pepo; every weakness, kila udhaifu; every challenge, kila changamoto, has been there for years, ambo imekuwepo pale kwa miaka. Today you are putting an end to those challenges, leo tunafikisha mwisho ya hizo changamoto, in Jesus, katika jina la Yesu. [Muziki] [Muziki] Haleluya. [Shangwe] [Muziki] na tunaimba. Haleluya. Listen, ladies, sikiliza. If you want to be anointed, wale ambao, I anoint the forehead, ninapaka kwenye paji la uso; not your hair, sio nywele zako. It will be a responsibility, itakuwa ni wajibu wako, to put aside your plated beautiful hair, weka pembeni nywele zako nzuri, so that I can access your forehead, ili niweze kupata paji lako la uso. If you think it's an embarrassment to do that, kama unafikiri ni unyanyasaji kufanya hivyo, please don't come, tafadhali usije. [Muziki] Haleluya. Watoto na sisi tunaimba. Haleluya. Na sisi tunaimba. Haleluya. Haleluya. Usifiwe Mungu. Nguvu na sisi tunaimba. Sisi tunaimba. Haleluya. Haleluya. Na sisi tunaimba. Haleluya. Haleluya. Sisi tuna haleluya. Usifiwe na sisi tunaimba. [Muziki] Haleluya. Haleluya. Haleluya. [Muziki] Haleluya. Haleluya. Usifiwe eh Bwana na sisi tunaimba. Sisi tunai haleluya na sisi tunai haleluya, haleluya sisi tunai haleluya, haleluya asifiwe Bwana. [Muziki] Yesu. [Muziki] [Muziki] [Shangwe] [Muziki] Resistance go down, resistance go. [Muziki] [Shangwe] [Muziki] [Shangwe] [Muziki] [Shangwe] [Muziki] [Shangwe] [Muziki] [Shangwe] Haleluya. Haleluya. [Muziki] [Shangwe] Na sisi tunaimba. Sisi tunaimba. Haleluya Yesu Kristo na sisi tunaimba. Haleluya. Haleluya. To the thief haleluya. Usifiwe, usifiwe. [Shangwe] Na sisi tunaimba. Haleluya. Sisi tunaimba. Haleluya. [Muziki] Leo. [Muziki] Haleluya, haleluya. [Muziki] Usifiwe. [Muziki] [Muziki] [Shangwe] [Muziki] Every resistance, every resistance, every block today giving away, today giving. [Muziki] [Muziki] Every opposing force, kila nguvu ipingayo, in the name of Jesus, katika jina la Yesu. Go ahead. Go ahead. Pray, pray, pray. Endelea mbele. Endelea mbele. Omba, omba. Don't keep quiet. Usinyamaze. Spirit of poverty, roho ya umasikini, you're not welcome here. Ha! We command you, tunakuamuru, evacuate in the name of Jesus. Kwa jina la Yesu. Evil spirit of pride, ni mapepo ya kiburi. In the name of Jesus. Katika jina la Yesu. Out in Jesus' name. Toka katika jina la Yesu. Out in the name of Jesus. Toka katika jina la Yesu. Out in the name of Jesus. Katika jina la Yesu. Listen, sikiliza, we want to join forces, nataka tuunganishe nguvu, every altar, kila madhabahu, that is being used to attack the members of this church, ambayo inatumika kushambulia washariki wa kanisa hili; every altar, kila madhabahu, that is being used, ambayo inatumiwa, to attack you who are watching us online, kushambulia wewe ambao mnatutazama mubashara; every altar, kila madhabahu, we are going to bring fire down, na nakakuachilia moto; every agent, kila mmoja, of those altars, wa hizo madhabahu, sent against the church, ambazo zimetumwa kinyume na kanisa hili; that are sent against whoever is watching us, ambazo zimetumwa kwa yeyote ambaye anatutazama; every agent, kila wakala, and every, na kila madhabahu, and every sacrifice, na kila kafara, they've given, ambazo zimetolewa, to achieve their goals, ili kuweza kutimiza malengo yao, to attack them now, na nakuchambulia sasa; no weapon shall prosper against us, hakuna silaha itakayofanikiwa kinyume nasi; no weapon shall prosper against us, hakuna sera itakayofanikiwa kinyume nasi; no divination, hakuna uchawi; no witchcraft, hakuna uganga, that will prosper against us, itakayofanikiwa kinyume nasi, in the mighty name of Jesus. Katika jina la Yesu. No arrow sent against you, hakuna mshale uliyotumwa kinyume nawe, ever, will reach you, utakufikia, in the name of Jesus. Tunawashambulia sasa kila madhabahu; every agent, kila wakala, and every evil sacrifice, na kila kafara ya kiovu. Attack now. Shambulia sasa. In the name of Jesus. Katika jina la Yesu. In the name of Jesus. Katika jina la Yesu. Fire, fire, moto, moto, moto, moto, fire in Jesus' name, moto moto katika jina la Yesu; fire in Jesus' name, moto katika jina la Yesu. Every altar, kila madhabahu; kila mtu omba; everyone pray, kila mtu omba; everyone pray, kila mtu omba. I'm tired of teaching you people what to do with those microphones, omba. Jesus, kwa jina la Yesu, kila madhabahu that rises against Capson, ambayo inapigana kinyume na Capson, fall down, anguka; fall down, anguka; fall down, anguka, in Jesus' name, katika jina la Yesu. We bring fire upon you. Tunaachilia moto juu yako. Fire upon you. Moto juu yako. Fire upon you. Moto juu yako. Moto juu yako. Kila madhabahu; group of witches, kila kikundi cha wachawi, we break, tunawaharibu, in the name of Jesus. Katika jina la Yesu. Pray. Omba. Omba. Omba. Every agent, kila mmoja, that is against Capson and against the leaders of this church, now, sasa, be broken, broken, anguka, broken, anguka; we paralyze their power, tunawapunguza nguvu zao, in the name of Jesus, katika jina la Yesu. Kila madhabahu that raised against Capson, kinyume na Capson, broken, anguka; broken, anguka; we paralyze their priests, tunampozesha kuhani wao; paralyze their priests, tunampozesha kuhani wao, in the name of Jesus, katika jina la Yesu; and every sacrifice you've given, and every sacrifice you've given, kila kafara iliyotolewa, we render it powerless, tunaifanya isiwe na nguvu; we render it powerless, tunaifanya isiwe na nguvu, in the name, katika jina la Yesu; Yesu damu itainuka, is rising, imeinuka; Capton is rising, unainuka; you're breaking through, unapenya, in the name of Jesus, kwa jina la Yesu; no witchcraft shall stop you, hakuna uchawi utakuzuia; no witchcraft will stop us, hakuna uchawi utatuzuia, in the name of Jesus, kwa jina la Yesu; in the name of Jesus, katika jina la Yesu. [Shangwe] Hakuna uchawi utakuzuia; no stop, hakuna dhambi itakayokuzuia; Yesu, katika jina la Yesu. Pray, kila mtu omba; omba; children pray, hata watoto ombeni; watoto simameni, omba, omba; watoto, katika jina la Yesu, katika jina la Yesu, nafunga kila mlango; I close every door, nafunga kila mlango; the door of sin, mlango wa dhambi; I close it in Jesus' name, naufunga katika jina la Yesu; of ignorance, mlango wa ujinga; I close it in the name of Jesus, nafunga katika jina la Yesu; katika jina la Yesu. [Shangwe] Heavenly father, heavenly father, baba yetu wa mbinguni, bring down the spirit of holiness, achilia roho ya utakatifu. I didn't say you stop, sijasema waache kuomba; shoot your arrows, endelea kurusha mishale yenu; pigana mahali pamoja; sijakuambia uache kuomba; endelea, katika jina la Yesu; kila pepo, we command you, tunakuamuru, evacuate, toka; evacuate, toka; spirit of pride, roho ya kiburi, evacuate in Jesus' name, toka katika jina la Yesu; spirit of witchcraft, roho ya uchawi, evacuate in Jesus' name, toka katika jina la Yesu; lust of the flesh, tamaa ya mwili, evacuate in Jesus' name, toka katika jina la Yesu; spiritual blindness, upofu wa kiroho, evacuate in Jesus' name, toka katika jina la Yesu; spirit of sicknesses, spirit of sicknesses, roho ya magonjwa, evacuate in Jesus' name, toka katika jina la Yesu; evil spirit of premature death, nyie mapepo ya kifo kabla ya wakati; evil spirit of premature death, mapepo ya kifo kabla ya wakati, I command you, ninawaamuru, in Jesus' name, toka katika jina la Yesu. [Shangwe] Father, we thank you. Baba, asante. Father, we magnify you. Baba, tunakutukuza wewe. Father, we glorify you. Baba, tunakuhimidi wewe. There's no God like you. Hakuna Mungu kama wewe. Thank you, daddy. Asante baba. Thank you, King of kings. Asante mfalme wa wafalme. There's no one like you. Hakuna kama wewe. You are the only one worthy to be praised. Wewe ndio upekee unastahili kusifiwa. Father, Baba, in our midst, katikati yetu, there are those that are bound by particular sins. Kuna wale ambao wamefungwa na dhambi fulani. As your servant, kama mtumishi wako, I stand and break those chains. Nasimama navunja hiyo minyoroo, in the name of Jesus Christ. Katika jina la Yesu Kristo. Every form of sin, kila aina ya dhambi; fornication, zinaa; pride, kiburi; witchcraft, uchawi; theft, wizi; lying, uongo, in Jesus' name, katika jina la Yesu; lust of eyes, tamaa ya macho, in Jesus' name, katika jina la Yesu. Every form of sin, kila aina ya dhambi, we refuse to be under your dominion, tunakataa kuwa chini ya utawala wenu; refuse to be under your dominion, tunakataa kuwa chini ya utawala wenu, in the name of Jesus, katika jina la Yesu Kristo. Father, baba, in our midst, katikati yetu, there are those that were told, kuna wale ambao waliambiwa, that they will die, kwamba watakufa, at a young age, katika umri wao mdogo, before their time, kabla ya wakati wao. I stand at this altar, nasimama kwenye madhabahu hii, as your servant, kama mtumishi wako, I nullify and suspend the spirit of death, nabadilisha na kuondoa hiyo roho ya mauti; every premature death, kila kifo kabla ya wakati, scheduled, ama imepangiliwa na adui, I break it in Jesus' name. Nakifunga katika jina la Yesu. In the name of Jesus. Katika jina la Yesu. Premature death, ewe kifo kabla ya wakati, nakwamuru, evacuate. Toka. In Jesus' name. Katika jina la Yesu. Not taking anybody here. Haumuui mtu yeyote hapa. In Jesus' name. Katika jina la Yesu. Father, baba, in our midst, katikati yetu, there are those that have struggled for many years, kuna wale ambao wameteseka kwa miaka mingi; they work hard, wanafanya kazi kwa bidii; they don't see any results in their hands, lakini hawaoni matokeo yoyote kwenye mikono yao; instead of working hard, badala yake ya kufanya kazi kwa bidii, now they are toiling, sasa wanahenya; it's no longer hard work, si tena kufanya kazi kwa bidii; it has gone to the level of toiling, sasa imepitiliza kiwango, imeenda kwenye kiwango cha kuhenya. Father, baba, all such people, watu wote wa namna hiyo, toiling, ambao wanahenya, and cannot see results in their hands, kuanzia leo, evil spirits, mapepo ya kukosa; evil spirit of lack, mapepo ya kukosa; evil spirit of lack, mapepo ya kukosa, in Jesus' name, katika jina la Yesu; in Jesus' name, katika jina la Yesu; in Jesus' name, katika jina la Yesu; evacuate, toka; evacuate, toka; evacuate, toka; evil spirit of poverty, ni mapepo ya umasikini; spirit of lack, ni mapepo ya kukosa; evacuate, toka; evacuate, toka, in Jesus' name, katika jina la Yesu; in Jesus' name, katika jina la Yesu; in Jesus' name, katika jina la Yesu. Father, baba, in our midst, katika Yesu, there are those that keep, they keep being rejected, kuna wale ambao wanaendelea kukataliwa; everywhere they go, kila mara wanapoenda; everything they want to do, kila kitu wanachotaka kufanya; they encounter rejection, wanakutana na kukataliwa; they lose jobs because of rejection, wanapoteza kazi kwa sababu ya kukataliwa; can't get business tenders because of rejection, hawezi kupata tenda za biashara kwa sababu ya kukataliwa; get married because of rejection, hawezi kuingia kwenye ndoa kwa sababu ya kukataliwa; spirit of rejection, mapepo machafu ya kukataliwa, we command you now, tunaamuru sasa, evacuate in Jesus' name, toka katika jina la Yesu; out in the name of Jesus, toka katika jina la Yesu; out in the name of Jesus, toka katika jina la Yesu; out in the name of Jesus, katika jina la Yesu; in the name of Jesus, katika jina la Yesu. There are those that, in our midst, Lord, wale ambao wapo katikati yetu Bwana, they are crying, wanalia, because every night, kwa sababu kila usiku, they are sleeping with someone they don't know, wanalala na mtu ambaye hawamjui, and it has caused them problems in their minds, imewasababishia matatizo kwenye akili zao, psychological and spiritual problems. Today, leo, every such spirit, kila aina hizo roho, spiritual husband, spiritual wife, mapepo mahaba, I command you, ninawaamuru, out of our members, toka kutoka kwa washirika wetu; out of that person, toka kutoka kwa huyo mtu, in the name of Jesus, katika jina la Yesu; be free, uwe huru; be free, uwe huru, in Jesus' name, katika jina la Yesu. Father, baba, there are those that are in our ministry, kuna wale ambao wapo katikati yetu. Every time they
About to get married. Kila wakati wanapokaribia kuingia kwenye ndoa. Something goes wrong. Kuna kitu kinaharibika. That bad luck spirit, hiyo roho ya bahati mbaya ya mikosi. Kuanzia leo, I command you. Ninakuamuru leave that person. Mwache huyo mtu. Leave that person. Mwache huyo mtu. In the name of Jesus. Katika jina la Yesu. In the name of Jesus. Toka katika jina la Yesu.
Father, baba, there are those that are in our midest. Kuna wale ambao wapo katikati yetu every day, kila siku, they dream evil dreams. Wanaota ndoto mbaya. People chasing them. Watu wakiwafukuza. People watu wakiwakaba. [Muziki] People carrying coffins. Watu wakibeba majeneza; they see images of dead people they know. Wanaona sura za watu waliokufa wanaowajua. Father, in the name of Jesus, Baba katika jina la Yesu, I ask you to deliver those people, nakuomba wafungue watu leo; you evil spirits, nyema mapepo, of nightmares, ya ndoto mbaya, and evil dreams, na ndoto mbaya. I command you, ninawaamuru, from today, kuanzia leo, in Jesus name, katika jina la Yesu, out, in the name of Jesus, toka katika jina la Yesu, out, in the name of Jesus, toka katika jina la Yesu, out, in the name of Jesus, toka katika jina la Yesu, out, in the name of Jesus, toka katika jina la Yesu.
Lady, kuna mwanamke katikati yetu. You feel something moving in your secret parts. Unahisi kuna kitu kinatembea sehemu zako za siri? It will no longer be there. Kama hakitakuwepo tena. As I speak now. Napoongea sasa, I declare an end to that thing. Natangaza mwisho wa hiyo jambo. Because I appro that object. Kwa sababu ninang'oa hicho kitu. That unseen invisible object. Hicho kitu ambacho hakionekani. That is crawling like an insect. Ambacho kinatambaa kana kwamba ni mdudu na kinakusababisha usijisikie vizuri. From today, kuanzia leo, I declare, natangaza, and decree, na kutamka, that it is approed, kwamba kimeng'olewa, in the name of Jesus Christ, katika jina la Yesu Kristo, in the name of Jesus Christ, katika jina la Yesu Kristo; you shall not suffer any longer, hautateseka tena, in the name of Jesus Christ, katika jina la Yesu. Someone has a child, kuna mtu ana mtoto mdogo, and that child keeps seeing people, na huyo mtoto amezidi kuendelea kuona watu, na haelewi that demonic visitation, huo utembeleo wa kipepo. I cancel it from today, naufutilia mbali kuanzia leo, in the name of Jesus, katika jina la Yesu, in the name of Jesus, katika jina la Yesu, in the name of Jesus, katika jina la Yesu. I cancel that demonic visitation, naifuti ile ambalo kote mbele kwa kipepo, name, katika jina la Yesu Kristo. Father, we worship you, baba tunakuabudu wewe. We magnify you, Lord. Tunakutukuza eh Bwana.
Father, baba, just one more thing, na jambo jingine la ziada. There are children of yours here. Kuna watoto wako wako hapa, who were praying well, ambao walikuwa wanaomba vizuri. But they have lost that power of prayer. Lakini wamepoteza hiyo nguvu ya maombi. And they really want to go back there. Na hakika wanataka kurudi kwenye ile hali hao. But they feel there's a force that is tying them. Lakini wanahisi kuna nguvu ambayo imewabananisha, to pray, kila wakati ukitaka kuomba; they can't go on, hawezi wakaendelea; destructions will begin to come, akuondoshe kwenye umakini, kunaanza kuja; they will keep quiet without knowing when they kept quiet, wananyamaza bila hata kujua ni saa ngapi wamenyamaza. I declare freedom, natangaza uhuru, freedom in your prayer life, uhuru kwenye maisha yako ya Mungu, freedom in your prayer life, uhuru kwenye maisha yako ya Mungu, from today, kuanzia leo; you shall pray, utaomba, and go deeper in prayer, na utazama ndani na ndani, kwenye name of Jesus, katika jina. Evil spirit, nyie mapepo, binding people, ambao mnafunga watu, from prayer, wasiombe, I command you, ninawaamuru, evacuate now, toka sasa, in Jesus name, katika jina la Yesu; the children of God shall pray, wana wa Mungu ataomba; children of God shall read the word, wanawana wa Mungu atasoma neno, in Jesus name, katika jina la Yesu. Give the big hand, pigie Bwana makofi makuu makuu; that is not big enough, hayo hayatoshi. You can do better than that. Unaweza ukafanya bora zaidi hapo. [Muziki] In the mighty name of Jesus. In the mighty name of Jesus. What do you declare? Somebody shout hallelujah. Tumapiga kelele sema haleluya. This is the song of victory. Hu ni wimbo wa ushindi. We started by a war cry. Tulianza kwa kupiga kelele za shangwe za vita. Now we are finishing with a victory song. Saa tunamalizia na wimbo wa ushindi. Declare your victory by faith. Tangaza ushindi wako kwa imani. Believe that that problem is gone. Ukiamini kwamba lile tatizo limeondoka. Sickness is gone. Ule ugonjwa umeondoka. In the mighty name of Jesus. Katika jina kuru la Yesu. Sasa sikiliza. Do we have anybody? Tuna mtu yeyote katikati yetu? You've never given your life to Jesus. Hujawahi kutoa maisha yako kwa Yesu. You say, pastor, unasema mchungaji, today, leo, I want to be saved. Nataka kuokoka. I want to repent and Jesus will forgive me. Nataka nitubu na Yesu atanisamehe. If you're there, you need that prayer of of accepting Jesus. Kama uko po unataka haya maombi ya kumpokea Yesu. Kama unataka kuokoka punga mkono wako namna hii ili niweze kujua kwamba kama unataka kutoa maisha yako kwa Yesu. Somebody shout hallelujah. Mtume umepiga kelele sema haleluya. Need to invite people to come to church. Nakupasa wakaribishe watu kuja kanisani. Are you ready to shout your victory? Uko tayari kupiga kelele kwa ajili ya ushindi wako? As you shout your victory. Unapotangaza ushindi wako. As you shout your victory. Unaupiga kelele kwa ajili ya ushindi wako. Hey, this is the last time I be teaching you. Mara mwish nikuwa nafundisha kila wakati nikiona na wanapiga muziki; my sound has, sauti yangu inabidi izike. You lower them. You don't have to stop them. You just lower them there. Sauti zako. Ndio maana hizo mashinda. I speak because I want people to hear me. Naongea kwa sababu nataka watu unisikie. Somebody shout hallelujah. Mtume piga kele sema haleluya. As we are shouting victory. Naapopiga kelele za ushindi. You'll be bringing your offering, dancing here. Unakuwa unaa sadaka zako kuicheza hapa. Put the baskets around this place. Wekeni vikapu hapa mbele. Some of them there. Some of them there. Vitaanyeni vingine hapa. Vingine pale; come to give while they are dancing. Watu hawajaw kutoa wakati wanacheza. Those who are and they can't come, wale ambao umri umeenda na hawawezi wakaja. They will tell you whether they have an offering. Watawaambia kama una sadaka. But the rest of you, lakini nyingine wote, celebrate while you are giving unto the Lord. Sherekea wakati unamtolea Bwana. If you have your offering for the projects Nehemaya, team Nehemaya, kama una sadaka yako kwa ajili ya Tim Nehemia, for the construction and infrastructures of the church, kwa ajili ya ujenzi na miundobinu ya kanisa. Don't forget to put it in a white envelope. Usisahau kuweka kwenye nyeupe. Number two, don't forget to write your full name. Namba mbili, usisahau kuandika jina lako kamili. Not your nickname. Ah si jina lako jingine lolote. The name you wrote in your plages. Lile jina uliyoandika wakati unatoa hadi zako. Number three, don't forget to write there your phone number if you have. Namb tatu, usisahau kuandika namba yako ya simu kama; rest of the offerings. Sadaka nyingine zote, in brown envelopes. Kwenye za kati. I want to encourage every member of this church. Nakaka nimtie moyo kila mshariki wa kanisani, come, tour, unapokuja kanisani, take the the envelopes and park your offering ready. Chukua bahasha zako kule na weka sadaka yako iwe tayari. So that ashers will only be giving to those who came late. Ili kwamba hudumu waweze kuwapatia wale tu ambao wamechelewa. But even those who come late. Lakini hata wale ambao mmekuja kukuchelewa, by the door and you find the envelopes there. Piteni pale mlangoni mtakutana na bahasha pale. Take and package your offering. Chukua na weka bahasha yako vizuri. So that when we are giving we don't waste time. Ili kwa muna pototo usipoteze muda. Hallelujah. Halleluya. In the mighty name of who? In the mighty name of Katia jina la nani? In the mighty name of who? Katika jina kula la nani? In the mighty name of who? Katika jina kula la nani? You are declaring word. Unatangaza nini? You declaring word. Natangaza nini? Kwa jina la; you sing in two versions. You understand Swahili, English? Let's go. Let's go. Let's go. I declare victory, victory, in the mighty name, the mighty name, of the mighty name. The mighty name. I victory, victory. Oh victory. [Muziki] might [Muziki] victory, victory, victory, kwa jina la Yesu, kwa jina lako Yesu, kwa jina lako, kwa jina lako; natangaza, natangaza, ushindi, ushindi, ushindi, kwenye yangu, kwa jina lako Yesu, kwa jina lako, kwa jina lako; natangaza, natangaza, ushindi, eh ushindi, ushindi, kwenye ndoa yangu, kwa jina lako Yesu, kwa jina lako, kwa jina lako; natangaza, natangaza, ushindi, ushindi, ushindi, oh, in the mighty, mighty name, in the mighty name, in the mighty name; I declare victory, I declare victory, oh victory, victory, in the mighty name, in the mighty name of Jesus, in the mighty name, the mighty name of Jesus; I declare, I declare victory, victory, victory, in the mighty name, in the mighty, in the mighty name, in the mighty name; I declare victory. I declare victory. Victory [Muziki] in the mighty name, in the mighty name, in the mighty name, in the mighty name; I declare victory. Victory. I declare victory. Yes. Oh victory. I declare victory. Oh victory. I declare victory. Come on, say victory. We declare victory. Yes. I declare victory. I declare [Muziki] Oh, natangaza ushindi. Oh, natangaza, mimi natangaza dili ya magonjwa, natangaza dili ya kuduma, natangaza, oh, natangaza [Muziki] natangaza, natangaza, oh yes, I declarare [Muziki] I declare, I say I declare, I declare, I declare, in the mighty name, in the mighty name, in the mighty name; I declare victory [Muziki] as, as we wind up, naomalizia, and we continue celebrating, anaendelea kusherekea, if you have a handkerchief that you want to go and use it as a mantle. Kama una leso ambayo unataka kama ni to a particular sick person, kwenda kuitumia kwa ajili ya mtu fulani ambaye ni mgonjwa maalum. Now I can do this another Sunday. Sa ikaifanya hii jumapili nyingine. So don't bring just anything. Umeshapengea kamasi ndio ulete. Usilete tu hata kama kitu ni kichafu. But if you desire, kama unatamani, there someone who is not here, kuna mtu ambaye hayuko hapa, and you want them to be touched by this move of the holy ghost that has taken place here, nataka waguswe na huu mtembeo wa roho mtakatifu ambao umeendelea hapa, maybe for healing, yamkini kwa uponyaji, you can bring your handkerchief here as we continue to, unaweza ukaleta leso yako hapo unapoendelea kusherekea; I will anoint, naipanga mafuta, and you go and lay it on those people, na utaenda utawekea utawaweka juu ya watu; use it craft, usitumie kana kwamba ni jambo la kichawi. Don't use it to snatch other other women's husbands. Ah usiende kuibia waume za watu. You think I'm joking. Unafikiri natania? I heard it from somewhere. Niliskia kutoka mahali; mtu ameenda kwa mtumishi wa Mungu, someone has gone to a man of God, kwenda kuomba, to go apakwe mafuta, so that she can be anointed, ili mume wa mtu fulani akimuomba, so that somebody's husband, once he sees her, amchukue huyo mwanamume, has to take that, that will not happen here, hiyo itatokea hapa, in the mighty name of Jesus, katika jina la Yesu. So if you need, kwa ho kama unahitaji, you come forward with your huaeso yako na nitaiweka mafuta. I declare victory. Victory. Oh, I declare victory. Yes, I declare, yes I declare, oh yes, I declare, Mimi natangaza. Mimi natangaza, Mimi natangaza, oh natangaza, oh, I declare, oh yes, I declare, oh yes, I declare, oh yes, I declare, in the mighty name, in the mighty name, in the mighty; I declare victory, kwa jina lako, kwa jina lako Yesu, kwa jina lako, jina lako, natangaza, natangaza ushindi [Muziki]. Someone is saying, I don't have a handkerchief, m nimeshaipengea makamasi, kuna mtu anasema mimi sina leso ya kwangu, already used it. If you are willing, kama uko tayari, to go, kwenda, to that person, kwa huyo mtu maalum, and lay your right hand on them, na ukawekee mkono wako wa kuume. You come here, I anoint that particular hand, njoo nikuwekee mafuta kwenye huo mkono maalum, just for that person, kwa ajili tu ya huyo mtu, inus katika jina la Yesu, in Jesus name, jina la Jesus, continue. Continue. Victory. I declare victory. Oh victory, in the mighty name, in the mighty name, in the mighty name, disclaimer. Disclaimer, yang hear me, nisikilize. This is for going to lay hands on someone. Hii ni kwa ajili ya kwenda kumwekea mkono mtu. Hii sio, sio, sio nini wanaita, hii sio ngekewa; this is not, we are not playing witchcraft here, hatufanyi masala ya kichawi hapa; if you are going to lay your hands on someone, kama utaenda kumwekea mkono mtu, and pray for them, na ukawaombea, for whatever need, kwa uhitaji wowote, that is causing them problem, ambao unawasababishia matatizo, this is what I'm doing here, hiki ndicho ambacho nafanya hapa; when you come, ukija, you are telling me, unachoniambia ni, God to lay hands on those people. Utaenda kuwekea mikono hawa watu. Are we together? Tumeelewana? You are going to lay hands on those people. Nenda kuwekea mikono ha watu. If you know you know you're not going to lay hands on anybody. Kama unajua hauendi kumwekea mkono yeyote, don't come here. Usije hapa. Are we together children of God? Tumeelewana wana wa Mungu. Is it clear? Imeeleweka. Is it clear? Nimeeleweka. Wewe unaenda kumwekea mkono nani? Asha nisaidieni basi mko wapi? Songea hapa sijakusikia. Unaenda kumwekea mkono nani? My my auntie called called Matembe in the matembe. You want to go and lay hands on her? Yes. Good. Good. Bring your hand. I want children like this one, receive in Jesus name. Pokea katika jina la Yesu. In the mighty name of Jesus. Katika jina la Yesu. In the mighty name of Jesus. Katika jina k Yesu. Jesus. Katika jina la Yesu. Jesus. Katika jina la Yesu. Katika jina la Yesu. Jesus. Katika jina la Yesu. Jesus. Katika jina la Yesu. In the mighty name of Jesus. Katika jina la Yesu. Are you going to lay on someone? Mnanisaidia kuwauliza msimamishe hapa. I declare victory. Oh victory. I declare victory. Oh ushindi natangaza ushindi. Receive in Jesus. Pokea katika jina la Yesu. Ushindi. Haleluya. Haleluya. Eh ushindi natangeza. Natangaza oh natangaza mimi natangaza oh natangaza natangaza natangaza ushindi natangazindi oh natangaz [Muziki] declare victory, I declare victory. Victory. I declare victory. Victory. [Muziki] Listen to me carefully. We are about to close. Nisikize kwa makini karibia kufunga. I just want to clarify. You can sit down if you're tired. Unaweza ukakaa kama umechoka. Those of you are not tired, you can stand like me. Nyi hamjachoka mnaweza mkasimama kama mimi. But don't judge anybody. Lakini usimhukumu yeyote. Hear me very well. Nisikilize vizuri. What we are doing here is biblical. Tunachokifanya hapa ni jambo la kibiblia. Material cloth, material. Vitambaa ama nguo, has been used in the Bible to perform miracles. Imetumika kwenye Bibilia kufanya miujiza. From Old Testament, kwenye agano la kale, to. Mpaka agano jipya. Including Jesus himself used it. Pamoja na Yesu mwenyewe alitumia. Someone touched his cloth. Kuna mtu aligusa vazi lake. And was healed, na aliponywa. The apostles did it. Mitume walifanya hivyo. They sent chiefs like here. Walituma leso kama hivi. And when they were laid on sick people. Na zilipowekwa juu ya watu wagonjwa waliponywa. So don't be deceived by the devil. Kwa usidanganywe na shetani. Thinking this is not biblical. Ukaafikiri jambo hili si la kiblia. Anointing oil is in the Bible. Mafuta ya upako kwenye bibilia. Old Testament and New Testament. Agano la kale na agano jipya. Are we together children of God? Tuko pamoja na Mungu. I could have used even water. Ningeweza kutumia hata machi. It is also in the Bible. Pia iko kwenye Biblia. Old Testament and New Testament. Agano la kale na jipya. In the Old Testament, ni agano la kale. Water was used to perform miracles. Majitumika kufanya miujiza. In the New Testament, kwenye agano jipya. Let me mention about the general of the army of Assyria. Naman. Nizungumze yule mkuu wa majeshi wa Shamu Naman. He went to the prophet of God to pray. Aenda kumtumishi Mungu nabii wa Mungu kuombewa. The man of God didn't even come out of the house. Mtumishi wa Mungu hakutoka nyumbani kwake. He just said, tell him to go and wash himself in Jordan. Akamwambia nendeni mwambie akajisafishe mtoe Yordan. Seven times, mara saba. And he got healed from leprosy. Na akaponywa kutoka kwenye ukoma. In the New Testament. Kwenye agano jipya, people went to wash themselves with water. Wanaenda kujisafisha nyi. And they got healed. Na wakaponywa. These things are in the Bible. Mambo haya yako kwenye Biblia. So don't be biblically primitive, kwa usiwe mshamba wa kibibilia; they are in the Bible, yapo kwenye bibilia; tell your neighbor these things are in the Bible, mwambie jirani yako mambo haya yako kwenye bibilia. Somebody shout hallelujah, mtume piga kelele sema haleluya. Now I want to bless you, can stand or sit, that's nataka nikubariki unaweza ukasimama ama ukakaa, wewe tu navofunga mkutano wetu, it is up to you, ni wewe tu; lift up your right hand, nyosha mkono wako kuume, and say, oh Lord, sema eh bwana, thank you for my freedom, Asante kwa ajili ya uhuru wangu. Thank you for my freedom. Asante kwa ajili ya uhuru wangu. Thank you for my breakthrough. Asante kwa ajili ya mpenyo wangu. Thank you for the breakthrough of those that have prayed for. Asante kwa ajili ya mpenyo wale ambao nimeombea. I give you all the glory. Nakupa sifa zote. In Jesus name. Katika jina la Yesu. Amen. Amen. May the Lord God bless you. Bwana Mungu awabariki. May the Lord God expand you. Bwana Mungu nawatanue. May the Lord God enlarge your territories. Bwana Mungu atanue mipaka yenu. May the Lord God enlarge the strengthen the cords of your tens. Bwana apanue nyoa za hema zenu. May favor go ahead of you everywhere you go. Upendeleo uende mbele yako kote utakwenda. May you receive favor everywhere you go. Upendeleo kote utakwenda. May the Lord preserve your life. Bwana atunze maisha yako. May the Lord bless your going out and you're coming in. Bwana akubariki utokapo na uingia hapo. May the Lord raise people and tribes of people for your sake. Bwana ainue watu na kabila za watu kwa ajili yako. You blessed and nobody will curse you. Umebarikiwa na hakuna mtu atakulaani. Protected and nobody can kill you before your time. Na hakuna mtu ambaye atakuua kabla ya wakati wako. In the mighty name of Jesus. Katika jina la Yesu. Favor is your name. Upendeleo ndio jina lako. In the mighty name of Jesus. Katika jina lako la Yesu. Pursue you. Urajiri utakufuatilia. Not listed among the poor. We si haupo kwenye orodha ya watu masikini. Is among those who help others. Lakini jina lako lipo kwenye wale ambao watasaidia wengine. In the mighty name of Jesus. Katika jina la Yesu. Sorrow is not your portion. Huzuni sio fungu lako. May the spirit of joy overwhelm you. Roho ya furaha na ikujaze. May the spirit of joy overwhelm you. Roho ya furaha ikujaze. In the mighty name of Jesus. Katika jina lako la Yesu. I call you favor. Nakuita upendeleo. I call you blessed. Nakuita umebarikiwa. We shall live long life. Utaishi maisha marefu. Every arrow from your enemies. Bila mshale kutoka kwa maadui zako, commander, naamuru urudi kwa waliotuma, in the name of Jesus Christ, katika jina la Yesu Kristo. We thank you, baba, asante, for blessing your children, kwa kubariki watoto wako, in the name of the Father, katika jina la baba, and the Son, na mwana, and the Holy Ghost, na roho mtakatifu, and everyone say, amen, sememe amen; somebody shout amen, iga sema amen; give a big hand clap to the Lord, makofi makuu kwa Bwana; haleluya, haleluya. Now sit down. Sa naomba ukae.