📱

Get Our Mobile App

Take your business learning on the go!

Download on the App StoreGet it on Google Play

The Power in the Blood of Jesus by Adam Rassa | 19th April, 2025

Capstone Fellowship Churches1:02:14

Transcription

Somebody worship God. Somebody thank him. Hallelujah. Hallelujah. Can you all praise Lord Jesus? Wote tuombe. Say Lord Jesus. Sema Bwana Yesu. Say Lord Jesus. Sema Bwana Yesu. I thank you. Nakushukuru. Because I'm your child. Kwa sababu ni mtume mtoto wako. Nakushukuru, the promise of life. Kwa ahadi ya uzima ndani yako. I thank you. Nakushukuru for the covenant. Kwa agano ambalo ninalo pamoja na wewe, agano la uzima wa milele. Asante baba mwema, kwa sababu wewe ni mwema, for na rehema zako ni za milele, nakushukuru kwa jioni season, nakushukuru kwa kipindi kich, kwa sababu jambo ku jambo zuzuri linatokea kwenye maisha yangu, kwa watoto wangu, kwa familia yangu, kwa hatima yako katika jina la Yesu. Asante baba, mwana, nakuabudu. Amen. Naomba tukae kidogo. You can take your seats quickly. [Muziki] Bwana asifiwe. Praise the Lord. I hope I hope we will finish by 6. Natumaini tutamaliza saa 12 kamili. I hope. Natumaini. Amen. Amen. Praise God. Mungu asifiwe. Mnaweza mkakaa pole, nimewatesa. [Muziki] hizo ndio nyimbo sisi zili sisi sisi wazee wa zamani tulikuwa tunaziimba hizo. Though they are the songs we used to to sing, these songs or Don Moin, nyimbo za Don Mo is good all the time. He put his song of praise in this heart of mind. God is good all the time. Through the darkest night his light will shine. God is good. God is good. They were the songs. Amen. But for JZ, you have to learn. Praise God. Mungu asifiwe. Praise God. Mungu asifiwe. Father, speak to us. Baba sema, in a language that we can understand. Kwa lugha ambayo tunaweza kuielewa. Asante baba mwema, katika jina thamani la Yesu. Amen.

I want us to read two scriptures. Nataka tusome maandiko mawili. These ones we will read. Haya tutayasoma. And the rest I think I'll do my level best just to mention. Na mengine nitafanya tu juhudi kuhusu kwa sababu ya muda. Today we just learn the we learn the power in the blood of Jesus. That is that is the thee really. Leo tutajifunza nguvu ambayo ipo kwenye damu ya Yesu. Na hicho ndio kitakuwa lengo kuu la leo. And objectives number one, just for you to know what is in the blood. Na lengo la kwanza ni kujua nini ambacho kipo ndani ya damu. What is in the blood? Nini ambacho kipo ndani ya damu? Number two, what can blood do to you? Jambo la pili, damu inaweza kukufanyia nini? Because you need to increase your faith. Kwa sababu unapaswa kuongeza imani yako. In the blood of Jesus. Katika damu ya Yesu, and through understanding, na ni kupitia uelewa, that your faith becomes strong, kwamba imani yako inakuwa imara zaidi. A wise man is a man of understanding, increases in strength, mtu mwenye hekima na nguvu ndio mtu mwenye hekima anaongeza nguvu zake. Hallelujah. So you increase your faith. Kwa hio unaongeza imani yako. Through increasing your understanding, kwa kupitia kuongeza ufahamu wako. Hallelujah. Hallelujah. So we read the book of John chapter 20 and 17. Kwa hiyo tutasoma kitabu cha Yohana 20 na ule mstari wa 17. May we start from verse 16. Tuanzie mstari wa 16. And then 17. Na kisha mstari wa 17. When Jesus got a rose from the dead. Yesu alipofufuka kutoka katika wafu. You say, "And Jesus said unto Mary, she turned herself and she" sorry, Jesus said unto her, "Mary," and she turned herself and said unto him, Raboni, which is to say, master. Yohana 20:1 Yesu akamwambia Mariamu, yeye akageuka akamwambia kwa kikia Raboni, yaani mwalimu wangu. Jesus said unto her, touch me not, for I am not yet ascended to my father, but go to my brethren and say unto them, I ascend unto my father and your father and to my God and your God. Mstari wa 17 Yesu akamwambia, usinishike, kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba, lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, ninapaa kwenda kwa baba yangu, naye ni baba yenu, kwa Mungu wangu, naye ni Mungu wenu. I want us to read again slowly verse 17. He sayakaus unto her, touch me not, for I am not yet ascended to my father, but go to my brethren and say unto them, I ascend unto my father and to your father and to my God and your God. Nataka tusome mstari wa 17 taratibu. Yesu akamwambia, usinishike, kwa maana sijapaa kwenda kwa baba, lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, ninapaa kwenda kwa baba yangu, naye ni baba yenu, kwa Mungu wangu, naye ni Mungu wenu. Jesus saying to Mary, I am ascending to my father. Yesu anamwambia Mariamu kwamba ninapaa kwenda kwa baba. Not a will. I am now going. So don't touch me. Sio sasa nitapaa, lakini usiniguse sasa. Because I am not yet I want to I am ascending to my father. Kwa sababu bado sijapanda, nataka sasa nipae. You know in the Bible uh Jesus ascended openly uh before 500 disciples. Unajua kwenye Biblia Yesu alipaa kwenda mbinguni wazi kabisa mbele ya wale mitume 500. At the mount of Olives. Pale katika mlima wa Olive. And that's when he told them, wait here. Ndio palipowaambia, mngoje hapa. Until you are enjoyed with power from on high. Mpaka mkajazwe nguvu kutoka juu. It was on his ascension. It was on his final ascension. Ilikuwa ni katika nyakati zake za mwisho kabisa za kupaa. Kupaa kwake kwa mwisho. Kulikuwa ni kupaa kwake kwa mwisho. Showing you it is not the first time Jesus had ascended to heaven. Kwa hiyo ilikuwa sio mara ya kwanza tu kwamba Yesu kupaa mbinguni. And now he's telling Mary, do not touch me. Sasa anamwambia Mariamu, usiniguse. Why, do not touch me? Kwa nini usiniguse? Because I am not yet ascended to my father. Kwa sababu bado sijapaa kwa baba yangu. So he had ascended to his father. Kwa hiyo alikuwa amepaa kwenda kwa babake. The same verse, if the same chapter, if you read. Sura ile ile ukisoma, he appeared to disciples. Aliwatokea mitume. And they were doubting. Na walikuwa wanajiuliza, je ni mzimu? They say, I'm not the ghost. Akasema, mimi sio mzimu. And he allowed Thomas to touch him. Na akamruhusu Thomaso amguse. Touch and feel my skin. Akamgusa na kuihisi ile ngozi yake. Feel my bones. Akiishika mifupa yake. Why didn't he allow Mary to touch him the first time? Kwa nini hakumruhusu Mariamu amguse kwa mara ya kwanza? But now he allowed people to touch him. Lakini mara hii anawaambia watu wamguse. Hallelujah. Hallelujah. Hallelujah. I come back to that. But let us read from Hebrews chapter 9: 10 to 12. Nitarejea hapo, lakini tusome Waebrania 9 kuanzia mstari wa 10 na 12. We do quick bible study and then we will proceed. Tunafanya shule ya biblia haraka, kisha tutaendelea. Verse 9: 10 to 12 says, which stood only in means of drinks and diverse washings and canal ordinances imposed on them until the time of reformation. Hebrews 9: 10 to 12. Waebrania 9 kuanzia mstari wa 10. From Hebrews 9 chapter 10 to 12, I mean chapter chapter 9: 10 to 12. Waebrania 9:10 Kwa kuwa ni sheria za jinsi ya mwili tu, vyakula na vinywaji na kutawadha kwingine kwingine, zilizoamriwa hata wakati wa wa matengenezo mapya. But Christ being come a high priest of good things to come by a greater and more perfect tabernacle not made with hence this is to say not of this building. Neither by the blood of goats and calves but by his own blood he entered in once into the holy place having obtained eternal redemption for us. Mstari wa 11. Lakini Kristo akishakuja, aliye kuhani mkuu wa mambo mema yatakayokuwapo, kwa hema iliyo kubwa na kamilifu zaidi isiyofanyika kwa mikono, maana yake isiyo ya ulimwengu huu, wala si kwa damu ya mbuzi na ndama, bali kwa damu yake mwenyewe aliingia mara moja tu katika patakatifu akisha kupata ukombozi wa milele. Haleluya. Haleluya. So in heaven there is a tabernacle. Kwa hiyo pale mbinguni kuna madhabahu. There is a tabernacle. Kuna madhabahu, is not made with. Biblia inasema haijatengenezwa kwa mikono ya wanadamu. It is not made with the hands of men. Haijatengenezwa kwa mikono ya wanadamu. Eternal tabernacle. Ni madhabahu ya milele. And say Jesus entered to that tabernacle. Na anasema Yesu anaingia kwenye hiyo madhabahu. Obtained redemption for us. Akiwa amechukua ukombozi kwa ajili yetu. Aliingia kwenye ile madhabahu. So when he rose again from the dead. Kwa hiyo alipoinuka tena, alipofufuka katika wafu, he carried his own blood. Alibeba damu yake yeye mwenyewe, toena akaingia kwa damu yake mwenyewe kwenye hiyo madhabahu ya mbinguni. See the same idea I think in verse 17 etc. Utasoma idea hiyo kwenye mstari wa 17 na kuendelea, the same, the same Hebrews. Kwenye kitabu kile kile cha Wahibrania, say Jesus carried his own blood. I nasema Yesu alibeba damu yake mwenyewe, enter the tabernacle of heaven. Na akaingia katika madhabahu ya mbinguni. And we see here whatever was happening in the old testament. Na tunaona hapa chochote ambacho kilikuwa kinatokea kwenye agano la kale, make the tabernacle I showed you in heaven. Musa alikuwa anaambiwa, itengeneze madhabahu namna ile ile ambayo nilikuonyesha mbinguni. So Moses peeped to the heavens. Kwa hiyo Musa alichungulia mbinguni. Saw one in heaven. Aliiona ile madhabahu ya mbinguni, na aliifanya kama vile vile hapa duniani. But the Bible says that was just a picture. Lakini Biblia inasema hiyo ilikuwa ni picha tu ya vitu halisi. But when Jesus died on the cross. Lakini Yesu alipokufa msalabani, went to fight the devil in hell. Alipoenda kumshinda shetani kuzimu, na alipofufuka tena alibeba damu yake mwenyewe kwenda kwa baba, in that heavenly tabernacle. Kwenye ile madhabahu ya mbinguni. Praise God. Mungu asifiwe. Mungu asifiwe. Na akamwambia Mariamu, usiniguse. Because I have not yet. Kwa sababu bado sijapaa. Because I have not yet. Kwa sababu bado sijapaa. If Mary could touch Jesus. Kama Mariamu angemgusa Yesu, he is the only one who could benefit from that blood. Yamkini Mariamu pekee ndio angepata manufaa ya ile damu. But this blood had to be presented to the heavenly tabernacle. Lakini hii damu ilipaswa kuwakilishwa kwenye madhabahu ya mbinguni. It is there for everyone that believes in Jesus. Inakuwepo pale kwa kila mmoja anayemwamini Yesu. Is there eternally forever. Inakuwepo pale milele na mile. When the Bible says Jesus is making intercession for us without seizing. Pale ambapo anasema Yesu anatuombea pasipo kukoma, truly it is his blood that is praying for us. Kiukweli ni damu yake inayotuenea pale mbinguni. Halleluya. Haleluya. Hallelujah. Haleluya. So here the major idea here. Kwa hiyo idea kuu hapa, when the blood was shed in Calvary. Pale damu ilipomwagika Kalvari, only the ground. Haikugusa tu ardhi. Spiritually it was taken by Jesus himself. Kiroho ilibebwa na Yesu mwenyewe, na iko pale mbinguni. Iko pale mbinguni. Ni agano, ni kwenye madhabahu ya milele. Ndio maana mpaka kesho unapoitia hiyo damu, inakuwa hai, inafanya kazi kwa sababu ipo mbinguni, imewakilishwa na Yesu mwenyewe. Do you understand? Mnanielewa? Haleluya. Haleluya. Haleluya. Haleluya. Haleluya. Haleluya. So what is in the blood? Kwa hiyo nini kipo ndani ya damu? What is in the blood? Nini kipo ndani ya damu? The Bible says, Biblia inasema, the blood speaks. Damu inasema au inazungumza. The blood speaks. Damu inasema au inazungumza. Every blood you see. Kila damu unayoiona, it has a voice. Ina sauti. It has a voice. Ina sauti. Hebrews 14, 12: 24. Waebrania 12:24. He said, "You have come to the blood of sprinkling." Amesema, mmekuja kwa damu ya kunyunyizwa, speaks better things than the blood of Abel. Inenayo mema kuliko ile ya Abili. Not spoke, speaks. Sio kwamba ilisema, inasema. The blood of Jesus continually speaks. Kwa hiyo damu ya Yesu inaendelea kusema. The word there says he speaks better things than the blood of Abel. Biblia inasema pale, hunena mema ya dhabihu ya Abili. He speaks better things than the blood of Abel. Inasema mema kuliko damu ya Abeli. It means the blood of Abel is still speaking. Inamaanisha kwamba damu ya Abeli bado inasema. But the volume is too low. Lakini sauti yake iko chini sana. The blood of Jesus, his volume is too high. Damu ya Yesu, sauti yake ni kubwa sana. Maybe my evening there is speaking. Yamkini Evin pale anasema, but because I am using mic. Lakini kwa sababu natumia kipaza sauti, my voice is too high. Sauti yangu inakuwa juu zaidi. You can hear. Hamwezi kumsikia Ev. Mtanisikia mimi tu. Hallelujah. So the blood of Abel is still speaking according to the Bible. Damu ya Yesu, damu ya Abeli bado inanena kulingana na Biblia. Blood of witches that they they shed, it is speaking. Zile damu za wachawi ambazo wanazimwaga bado zinasema, the blood of Jesus. Lakini damu ya Yesu is louder, ina sauti kubwa, more intensity, ina nguvu zaidi, the one that matters more than all the bloods. Ndio inayojalisha sana kuliko damu zingine zote. Halleluya. Halleluya. Halleluya. Halleluya. Halleluya. Halleluya. Halleluya. Halleluya. Halleluya. Halleluya. Don't you know there are people? Haujui kama kuna watu? Are people? Kuna watu, before the sun sets. Kabla jua halijachomoza. The sun sets. Kabla jua halijazama, they speak things. Wanasema vitu. To the moon. Kwenye mwezi. To the stars. Wanasemesha nyota. And before the sun rises. Na kabla kabla jua halijachomoza, they speak things. Wanasema vitu. So that when the sun comes. Ili kwamba jua linapochomoza, litavidaka vile vitu. But by the blood of Jesus. Lakini kwa damu ya Yesu sasa mnaweza toea. Na kwenda na kubadilisha. And say whatever you want to say. Na kusema chochote unachotaka kitokee, because it speaks better things. Kwa sababu hiyo damu hunena vitu bora zaidi kuliko damu zote. The reason the altars of your fathers have no power over you. Ile sababu kwamba madhabahu za babu zako hazina nguvu juu yako, not because they don't offer sacrifices. Sio kwa sababu hawakufanya dhabihu. But the blood does not have potency. Damu yao haina nguvu kama damu ya Yesu. Sema kingereza, like the blood of Jesus. Hallelujah. Hallelujah. So the blood speaks. Kwa hiyo damu hunena. Damu huaga, inasema. The blood always speaks. Na damu ya Yesu sauti yake, potensi yake ni kubwa kuliko damu zote. And the blood of Jesus, his voice is higher than any other bloods. Praise God. Mungu asifiwe. Praise God. Mungu asifiwe. Praise God. Mungu asifiwe.

Number two, truth to know about the blood. Jambo la pili, ukweli kujua juu ya damu. In the blood is life. Kwenye damu kuna uhai. In the blood is life. Kwenye damu kuna uhai. Life is in Leviticus 17: 11. Uhai kwenye, and Genesis 9 and 4. Walawi 6, Leviticus 17: 11, Walawi 17: 11, Genesis 9: 4. Na Mwanzo 9:4, he says, life is in the blood. Anasema, uhai upo kwenye damu. Life is in the blood. Uhai upo kwenye damu. The blood of Jesus. Kwa hiyo damu ya Yesu, it carries the life of Jesus. Inabeba uhai wa Yesu. That's why when you go to witch doctor. Ndio maana unapoenda kwa waganga, they will want your blood. Watataka damu yako. Once they have your blood. Watakapokuwa na damu yako, they have your life. Wana maisha yako. But if you are born again. Lakini ukiokoka, msinitolee macho kama hivi, ndio ukweli. Don't look me with that devil devil devil. Does not create anything, they they copy from the bible. Shetani hajatengeneza chochote, yeye anafanya tu kopia kwenye biblia. The blood of Nehemiah carries the life of Nehemiah. Damu ya Nehemia imebeba maisha ya Nehemia. So if I can get his blood. Kwa hiyo kama naweza kuchukua damu yake, I can manipulate his life. Naweza nikayachezea maisha yake. That's why you don't go to witch doctors. Ndio maana haupaswi kwenda kwa wachawi. Kwa given your life to those spirits. Kwa sababu unakuwa umetoa maisha yako kwenye hizo roho. You will be have given your life to those spirits. Utakuwa umetoa maisha yako kwenye hizo roho. Because life is in the blood. Kwa sababu maisha yapo kwenye damu. When you call the blood of Jesus. Unapoita damu ya Yesu, the life of Jesus. Maisha ya Yesu, is contained in that blood. Inakuwa ndani ya ile damu, it does not come empty. Haiji bure. That's why it can do things that are very wonderful, you you see in the minute because it is a living blood. Ndio maana inaweza kufanya vitu vya ajabu sana, unaweza kuona ndani mara zote unaposhiriki mtakatifu, usichukue ile j, unachukua yale maisha halisi ya Yesu kwa sababu maisha yapo kwenye damu. Life, uhai upo kwenye damu. Somebody says, my blood cannot have HIV. Mtu mmoja aseme, damu yangu haiwezi kuwa na HIV. Cannot have malaria. Damu yangu haiwezi kuwa na malaria, been taking. Kwa sababu ni damu ya Yesu nimekuwa naichukua. That is the vaccination. Hiyo ndio kinga. For many things. Kwa vitu vingi. For vitu vingi. Kwa vitu vingi. The life is in the blood. Uhai upo kwenye damu. So the blood of Jesus. Kwa damu ya Yesu. The blood of Jesus. Damu ya Yesu inanena juu ya maisha yako, it surpasses other bloods. Inazipita damu zingine zote. Number two, it has life. Jambo la pili, hiyo damu ina uhai. What can it do to you? Damu inaweza kufanya nini kwako? 1 John chapter 1 and: 7. Yohana wa Kwanza: 7. And Hebrews chapter 9 and: 14. Na Waebrania 9: 14. The Bible says the blood of Jesus cleanses us from all sin. Biblia inasema damu ya Yesu inatusafisha kutoka kwenye dhambi zote. And Hebrews 9:14 it says almost everything is sanctified, is set apart by the blood, and without blood there's no atonement. Na kwenye Waebrania anasema, basi zaidi ya damu ya Kristo ambaye kwamba kwa roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na mawaa, itawasafisha dhamiri zenu na matendo mafu, mpate kuabudu kumwabudu Mungu aliye hai. Kuna kusamehewa, there is a forgiveness, na kuna kusafishwa. And there is cleansing to be transformed. Kubadilishwa. The cleansing is done only by the blood of Jesus. Kutakaswa kunafanyika kwa damu ya Yesu pekee. Old, ndio maana kwenye agano la kale, person could. Mtu angeweza kuiba, and come to repent. Na akaja kutubu, and in the old testament actually. Na kwenye agano la kale, we see in number two now. Jambo la, they will come to the priest. Wangekuja kwa kuhani, and repent their sins. Na watubu dhambi zao, and because the wages of sin is death. Na kwa sababu mshahara wa dhambi ni mauti, you you put your hand over the lamb that you have brought. Unaweka mkono wako juu ya yule kondoo ambaye umemleta. And that lamb carries all your sins. Na yule kondoo anabeba dhambi zako zote. That lamb is slain. Na yule kondoo anachinjwa. And God is now pleased. Na Mungu sasa anapendezwa. But in the New Testament. Lakini kwenye agano jipya, the perfect blood of Jesus. Ile damu nzuri ya Yesu, gives you forgiveness. Inakupa msamaha. But it does not stop there. Lakini haishii pale. It does what is called cleansing. Inafanya kile tunachosema utakaso, kama unavyoosha chombo, like you are cleaning. Kama unavyoosha chombo, like you are cleaning. Kikaondoa madoa yote, and remove all the stains. Damu inayotakasa, it does cleansing. Inafanya utakaso. And not only, we don't have time. And not only of your spirit. Na sio tu kwa roho wako. Inatakasa roho yako, inatakasa nafsi yako, inatakasa mwili wako, inafanya utakaso. When you get born again. Ndio maana unapookoka, not only forgiven. Hausamehewi tu, lakini unabadilishwa, kwa sababu ni damu ya Yesu pekee ambayo ina nguvu ya kutakasa. Ina nguvu ya kukutenga. Moses symbolically. Musa kwa alama, when you read the book of Leviticus. Unaposoma kitabu cha, some some some utensils to be used in the altar. Alipotaka kuvitenga baadhi ya vitu vitumike madhabauni, he did not do that without blood. Hakufanya hivyo bila damu. He would he would he would paint some blood. Angevivinyunyizia damu, to set them apart. Kuvitenga. To set them apart. Kuvitenga. To set them apart. Kuvitenga. That's why by the blood of Jesus. Ndio maana kwa damu ya Yesu, hakuna dhambi ambayo itang'ang'ania kwenye roho yako. Kwa damu ya Yesu, should cling to mind. Hakuna mawad ambayo yakae ndani yako, kwa damu ya Yesu. Hakuna magonjwa maovu ambayo yanapaswa kukaa kwenye mwili wako. Inafanya utakaso. Kama ingekuwa ni leo, say detoxification, tungesema kwamba inaondoa sumu. Detox. Inatoa sumu, nyinyi mnaondoanga vitambi. Detox. Remove. Big B detox, ya ukweli ni damu ya Yesu kuondoa sumu. Truly the blood of Jesus, inafanya detox in your spirit, it does detoxification. Kwenye nafsi yako na kwenye mwili, wakasema Mungu wa amani atakutaka, soul and body. Roho, nafsi na mwili. Spirit, soul and body. Roho, nafsi na mwili. That's what the blood does. Hicho ndicho damu inafanya. Haleluya. Haleluya. Haleluya. And number two, the blood, what it does. Na jambo la pili damu inachofanya, is forgiveness of sin. Ni msamaha wa dhambi. Matthew 29, Mathayo 29, 26, 27-28. Mathayo 26:27. But also uh you can read Hebrews 9: 28. Lakini unaweza kusoma Waebrania 9: 20. In Matthew, Jesus says, this is the blood of of my covenant. Kwenye Mathayo Yesu anasema, hii ndio damu ya agano langu, forgiveness of sin. Kwa ajili ya msamaha wa dhambi. Forgiveness of sin. Kwa ajili ya msamaha wa dhambi. As remember. Unapokumbuka, the wages of sin is death. Kwamba mshahara wa dhambi ni mauti. And pastor used to explain it well. Na mchungaji alikuwa anaelezea hili swala vizuri sana. God was trying to reconcile his two his two characters. Mungu alikuwa anajaribu kuweka sawa hizi tabia zake mbili. God is righteous. Mungu ni mwenye haki. God is God of justice. Mungu ni Mungu wa haki. But God is the God of love. Lakini Mungu ni Mungu wa upendo. At the God of righteousness. Kama Mungu wa haki, every sin must be punished. Kila dhambi lazima ipate adhabu. Every sinner must die. Kila mwenye dhambi lazima afe. The God of love. Lakini upande wa Mungu mwenye upendo anapaswa kuwasamehe watu. Anapenda kuwasamehe watu. Kwa hiyo damu ya Yesu was saying to the justice of God. Ililipwa kwenye haki ya Mungu. So that he will reconcile his two characters. Ili aweze kuzipatanisha zile sifa zake mbili. Because now the justice will say, now yes. Kwa sababu ile haki imesema, sasa, died. Ameshakufa. I am satisfied. Kwa hiyo nimeridhika. I am satisfied. Nimeridhika. I am satisfied. Nimeridhika. He did not pay to the devil. Hakulipa kwa shetani, alijilipa yeye mwenyewe. Halleluya. Haleluya. Halleluya. Halleluya. Hallelu. Hallelu. That's why no matter how God loves you, he will not change his principles. Ndio maana haijalishi namna gani Mungu anakupenda. Hawezi kubadilisha kanuni zake. Will pay. Ni bora alipe damu yake mwenyewe, kupatanisha, kujipatanisha yeye mwenyewe. Offend. Kwa hiyo mara zote unapohisi umemkosea Mungu, forgive, una nafasi ya msamaha kwa damu ya Yesu. Yesterday when we read Ephesians. Jana tuliposoma kwenye kitabu cha Waefeso, kulikuwa kuna mstari ambao ni mzuri sana. He says uh, ile hati ya kukushtaki. Who is a lawyer here? There's no lawyer today. Kabu msaidie mke wako, huyu hana upuo pako, hamna kitu hapo. What what do you call it when when somebody is someone to the court? Unahitaje kwamba pale mtu anapoitwa mahakamani? There is a de, huyu ni mhaini, ni kitu gani gani, that thing. Kuna hii hati ya mashtaka. The Bible says, hati ya mashtaka imegongolewa pale msalabani. The the blood of the Bible says, the de to your that deed which was recording your sins has been nailed on the cross. Ile hati iliyokuwa imeandikwa mashtaka yako imetundikwa pale msalabani. So the moment you trust in Jesus. Kwa hiyo mara tu unapomwamini Yesu, all those areas, there, that book that an angel was recording his sins. Kile kitabu ambacho malaika alikuwa ananukuu dhambi zake, labda counterbuku zishajaa hata msingi kabla hajaokoka, maybe a lot of counter, all of that, they are nailed on the cross. Zote ziliangikwa pale msalabani. So there is nowhere to write. Kwa hiyo hakuna mahali pa kuandika. That's why you offend the Holy Spirit. Ndio maana unapomkosea Roho Mtakatifu, this sin and its consequences. Hii dhambi na umbea wake inaenda pale. Sasa jamani amefanya hivi. Amefanya hivi. He has done this, but there's nowhere to write. Lakini hamna sehemu ya kuandika. And it comes back to you. Na inarudi kwako. Holy Spirit says, please. Roho Mtakatifu anakuwa anakuambia, tafadhali, hebu tubu. Tubu. There's no place. Hakuna mahali. Before then, kabla counter books zilikuwepo, the counter book. Settled, zikiandikwa, sasa hakuna mahali pa kuandika. Hallelujah. Back, kwa hiyo inakurudia wewe mwenyewe, na unaanza ku, bwana unirehemu, na ile damu inakutana, umepokea msamaha. That's why when you disobey that prompting of the Holy Spirit. Ndio maana usipotii ile hamasa ya Roho Mtakatifu, ya ndani, asupazae shingo linavunjika hapo. Baba eh, praise the Lord. Bwana asifiwe. Praise the Lord. Bwana asifiwe. You have access to forgiveness. Kwa hiyo una nafasi ya fursa, ku, record. For if you have done any wrong. Hakuna kumbukumbu yoyote inayoonyesha kama umefanya mabaya. Nini ambacho kimewezesha jambo hili? Ni damu ya Yesu. Ni damu ya Yesu. Ni damu ya Yesu. Halleluya. Haleluya. Number three. Jambo la tatu. Blood of Jesus is the blood of covenant. Damu ya Yesu ni damu ya agano. All covenants must have blood. Maagano yote lazima yawe na damu. You see from Genesis 15: 9 to 21. Unaona katika kitabu cha Mwanzo 15:9, when God was cutting his covenant with Abraham. Pale Mungu alipokuwa anaweka agano lake na Ibrahimu, there was blood. Kulikuwa na damu. You see the Old Testament. Unaona agano la kale. And let me be very clear here. Na mimi niwe halisi sana. May we should read so that we remove the confusion. Sasa labda tusome ili tuondoe mkanganyiko. Old Testament does not mean the books before Matthew. Ah, agano la kale haimaanishi kwamba kitabu kabla ya Mathayo. There was a true testament. Kulikuwa kuna agano la ukweli. There was a true testament. Kulikuwa kuna agano la

Ukweli. That God entered with the people of Israel. Ambalo Mungu aliingia na wana wa Israeli. And it was it was ratified by the blood. Na lekkwa muhuri na damu. Exodus 24 and: 8. This one let us just read.

Because some people they say I am born again I live under grace I don't read Leviticus I don't kutoka sura ya 24 those are all covenant hayo ni maagano ya kale principles of God are forever kanuni za Mungu ni za milele. They don't change. Hazibadiliki. They are just books. Ni vitabu tu with a 10 of principles in them. Vikiwa na kanuni za milele ndani yake. Hallelujah. Hallelujah.

So Exodus 24 and 8 he said wa kitabu cha kutoka 24: N inasema, "And Moses took the blood and sprinkled it on the people." Musa akaitoa ile damu akawanyunyizia watu. And said, "Behold the blood of the covenant." akasema the lord has made with concerning all these words akema hii ndio damu ya agano alilolifanya bwana pamoja nanyi katika maneno hayo yote so ver the 10 commandments kwa hiyo mstari wa 20 walipokea zile amri 10 sura ya 20 walipokea zile amri 10 had received the 10 commandments walikuwa wamezipokea zile amri 10 and now they were sealing this covenant by the blood sasa walikuwa wanatimiliza bila agano kwa damu without blood there's no covenant bila damu hakuna agano Jesus when he wanted to make a new covenant Yesu alipotaka kufanya agano jipya he somebody has to die mtu lazima ape so he chose to die himself kwa alichagua yeye mwenyewe kovenant ndio maana anasema hii ni damu ya agano jipya haleluya haleluya haleluya Haleluya. Haleluya. Haleluya. Haleluya. Haleluya.

I don't want to to repeat again what I just said. Sitaki kurudia kile ambacho nimeshakisema.

So when people they go to which doctors. Kwa hio watu wanapoenda kwa wajanga take their blood na wakachukua damu zao. It is a covenant relationship they are entering. Yanakuwa ni mahusiano ya kiagano wameingia. And sometimes when they want to to go so everything they took from the Bible. Kwa hiyo kila kitu amenukuu kutoka kwenye Biblia. For example if you poor you will take just parrots njiwa. Kwa mfano ukiwa maskini utachukua labda njiwa. And that blood could be enough. Na hiyo damu itatosha tu. And sometimes they will want goat. Mara nyingine wangehitaji mbuzi. And sometimes they want a bull. Na mara nyingine wangehitaji ng'ombe depends on the intensity of what thing you desire. Inategemeana ya uzito wa kile kitu unachokih. Some they want blood of human beings. Wakati mwingine wanahitaji damu ya mwanadamu. Wale wanaojipeleka kwa chale. Those who send themselves by and you know people who even kill their children. Unajua kuna baadhi ya watu hata wanaua watoto because they want heavy transactions. Kwa sababu wanahitaji miamala mikubwa.

Listen. Whatever you covenant you enter by the blood. Sikiliza agano lolote unaloingia kwa damu it becomes an everlasting covenant. linakuwa ni agano la milele. And it is a sign that everything in that covenant must happen. Na ni ishara kwamba kila kitu kwenye hilo agano lazima kitokee. God will go distance even to change genetics to ensure the covenant he has stands. Come again. Mungu atabadilisha mpaka hata vinasabant. Kama hiyo inaweza kufanya agano lifanye kazi. Because whatever blood covenant God enters with his people. Kwa sababu agano lolote la damu ambalo Mungu anaingia na watu wake happen as linapaswa kutokea kama lilivyo. He say the covenant of day and night my covenant with David will not change. Ah usiku na mchana agano langu na Daudi kama halitakoma. At the covenant of day and night. Nina agano la usiku na mchana. So when you wake up in the morning kama agano la usiku na mchana unapomka unapoamka asubuhi sun na unaona jua linachomoza and you see in the evening it goes down. Na unaona jioni linaanza. It is so because there's a covenant of night and day. Inakuwa hivyo kwa sababu kuna agano la usiku na mchana na biblia inasema namna ile ile agano langu sitalivunja. Jacob was walking under the covenant of his grandfather Abraham. Yakobo alikuwa anatembea na agano la babu yake Ibrahim. when time came for the promise of the covenant to be fulfilled ah wakati ulipofika wa agano kutimilika god had to change the genetic makeup of the cattles. Mungu alipaswa kubadilisha vinas vya wale mifugo. Just to ensure my covenant stands. Kuhakikisha tu agano lake linasema biology. Alibadilisha bioloia. He aled the DNAs. Alibadilisha vile vinasaba, the mitochondria and everything. Eh hivyo vitu vyote to confuse you. So when Laban had black cows and white cows. Kwa hiyo Laban alipokuwa na ng'ombe weupe na weusi. And Jacob says. Na Yobo akasema ng'ombe yenye madoa madoa ndio wa kwangu. The car with shades are mine. Eh umejitahidi? So God had to obey the covenant. Kwa ho mungu alipaswa ati hilo agano na kutoka kusikojulikana. Kutoka kusikojulikana. give birth to the ndama wenye wenye madoa madoa. Sasa ng'ombe wakaanza kuzaa those cows with sheds. That's why I'm saying there's no genetic disease. Ndio maana nasema hakuna magonjwa ya ambayo inaweza kusimama. Hakuna mambo ya alin ambayo yanaweza yakasimama kinyume na damu. By then genetic engineering was not yet. Hata hivo elimu ya vinasaba haikuwepo. But but God covenant engineering was there. Lakini uhandisi wa kiagano labda tuseme uhandisi wa kiagano ulikuwepo.

You know I keep hearing in Nigeria you know they have se cell there. Unajua nimekuwa nikisikia tu kwa wanigeria wanakuwa na hii se cell. Actually in Nigeria you cannot marry if you don't test cell disease. Hata hivyo Nigeria hauwezi kuoa bila kupima ile so if you have SS it means you are sick cell patient. If you have as or AA it means you don't have SE cell. Kwa hiyo kama una SS wewe unakuwa una hiyo se cell lakini ukiwa na SA na nyingine unakuwa hauna. in Tanzania actually is fourth country in terms of seell burden in the world but just awareness is not there. Na Tanzania ni nchi ya nne tu ulimwenguni kwa takwimu za watu wenye seell selimundu. So I would hear from Oyed aa SS stand AA. Nilikuwa namsikia askofu David Oyedepo akisema SS isimame kama SA imebadilika imebadilika come with testimonies na watu walikuwa wanakuja na shule kutoka mahaba last week they were SS wiki iliyopita walikuwa aa wiki wako SA yaani kama mimi nina T ndogo labda ndio maana niko mrefu kidogo wewe una TT zote ndio nikapime last week ni TS short this week nakuwa TT those things happen. Hivyo vitu vinatokea vilitokea kwenye biblia vinatokea leo. That's why there is nothing that can stop the covenant. Ndio maana hakuna ambacho kinaweza kuzuia agano. Haleluya. Haleluya. Haleluya. Haleluya. Haleluya. Haleluya. Haleluya. Haleluya.

There are people they enter into relationships. Kuna watu wanaingia kwenye maagano, kwenye mahusiano sh blood na wanabadilishana damu. They shade blood. wanabadilishana damu and some years go some years pass by na miaka kadhaa iliyopita then they have issues wanakuwa na vitu all demons of that boy's family they come to youep because in covenant you are already joined mapepo yote yaliokuwa yule mvana yanakuja kwa huyu kwa sababu ya ile damu of kwa sababu ya ile damu but you have chance to reverse everything lakini una nafasi ya kubadilisha kila kitu aen kwa agano lililo bora kwa agano lililo bora BL kwa agano lililo bora unaweza ukavunja agano kwa kutumia damu ila katika jina la Yesu Kristo. Katika jina la Yesu Kristo.

Number four. Jesus does. Jambo la nne damu ya Yesu inaweza kufanya nini? Blood of Jesus is for our preservation. Damu ya Yesu ni kwa ili sisi tutunzwe. Actually the Easter the really language is called Pesac. Ah hata hivyo kipindi cha Pasaka kinaitwa Pesak. Pesak. Yaani kama Pasaka. kama pasaka that is the correct world for Easter. Hilo ndio neno sahihi la msimu wa pasaka and it means passover na inamaanisha kwamba passover in Exodus 12 and 13 kwa sababu kwenye kutoka 1213 the Bible says Bibia inasema when I see the blood upon your houses nitakapoiona damu I will pass over you nitapita the destroyer will not come to destroy mwbu hatakuja kuharibu destroyer will not come to destroy mwaribu hatakuja kuharibu Toya will not come to destroy. Mharibu hatakuja kuharibu. You are in the car. Mpo katika in the bus going to Longwe. Upo kwenye basi unaenda Lilong. I see the blood upon you. Nitakapoiona damu juu yako mwaribu hatapita pale in the flight going to Dubai. Umepanda ndege Dubai. Nitakapoiona damu. Don't wake up and go to office just like that. Usiamke tu na kwenda ofisini namna hiyo. Sprinkle the blood of Jesus upon yourself. achilia damu ya kunyunyizwa juu yako ofling inaitwa damu ya kunyunyiza there are many people who are getting saved they don't get accident because you are in that vehicle kuna watu wengi sana wanaokoka hawapati ajali kwa sababu upo kwenye hiyo gari foration ni kwa ajili ya wewe kutunzwa ni kwa ajili ya wewe kutunzwa when i pray actually I'm not only praying for myself in the evening ninapoomba mara zote sijiombei mimi tu even for neighbor hata kwa majirani my house should become a no fly zone yaani Yaani nyumbani kwangu inatakiwa ni no fes unajua kwenye vita kuna ukanda ambao huruhusiwi kuruka na ndege. So wherever you are popote ulipo when you call upon the blood of unapoitia damu ya Yesu becomes a no inakuwa ni ukanda ambao hamna mtu kupita. Mnaijua dawa ya expel? Do you know the expell moscute? All mosquitos they go down mbu wote wanaanguka. It is for your preservation. Damu ni kwa ajili ya wewe kutunzwa. It is for your preservation. Ni kwa ajili wewe kwa ajili yako wewe kutunzwa. I learnt ito. Nilijifunza hivo zamani sana daladala hata kwenye daladala. Doing out of out of fear. Na sifanyi kwamba naogopa. But I have to cover myself. Lakini napaswa kujifunika and everybody dereva na kila mtu kwa damu ya Yesu. I kwa sababu unapofanya hivyo there's a cover kunakuwa kuna there is a cover of protection. kunakuwa kuna ulinzi. Ngoja nisiongee nitaongea na watu was there are some days you should even cover your eyes. Lakini kuna baadhi ya siku unapaswa hata kufunika macho yako nafsi yako kwa damu ya Yesu. Jesus kwa damu ya Yesu. You fa to do that. Ukishindwa kufanya hivyo mtumishi sevant unaweza ukajishangaa hiyo siku. You can wonder mbona leo nipo hivi? Why am I like? Kumbe nafsi yako iko naked. This is because your soul is naked. You are not covered. Haujafunikwa. You are not covered. Haujafunikwa. Your thoughts are not covered. Mawazo yako hayajafunikwa. So use the blood of sprinkling. Kwa ho tumia damu ya kunyunyiza. You go to your farm. Unaenda kwenye shamba lako. Pray over your farm. Ombea shamba lako. Do the blood of sprinkling. Fanya ile damu ya kunyunyiza. I remember one person. Namkumbuka mtu mmoja. not born again hajaokoka. He had taken over the farm of another person. Alikuwa amechukua shamba la mtu mwingine. And he called a wit doctor. Na akamwita mchawi. And they say we are going to put a snake here. Wakasema tunaenda kumweka nyoka hapa. So that when that guy comes ili kwamba yule jamaa akija hapa he will see the snake. Atamuona nyoka and will run from the property. Na atalikimbia lile sha. And then he will agree to sell it to you. Na yeye atakubali kuliuza kwako. And that's what they did. Na ndicho walichokifanya. And the guy really got the land very cheap. Na yule jamaa aliuza ile ardhi kwa bei ya chini sana. So now maybe I'm just saying maybe now you have plots there. Sasa yamkini nasema tu yamkini and you come to testify una eneo pale na unakuja kushuhudia Mungu asifiwe. God has given me plot in mabwepande. Mungu amenipa ardhi mabwepande. Originally with that. Lakini ilikuwa imepatikana kwa namna hiyo. You must apply the blood of lazima utumie damu ya Yesu. Halleluya. Haleluya. Haleluya. Haleluya. Haleluya. Because whatever was done there. Kwa sababu chochote kilichofanyika pale hased a to the from the hell kimefungua shimo kutoka kuzimu na product za kule ndio zinatoka and all the product from you bu your house there kwa h utapojenga nyumba yako pale sickness does not leave that house magonjwa yanakuwa hayatoki hapo miscourage not leave that house kuharibu mimba kunakuwa moment you shift to another place mara tu utaondoka kwenda sehemu nyingine bat hizo vita zinaisha kumbe something was done there. Ah kumbe kuna kitu kilifanyika pale. And what you could have done. Na nini ambacho ulipaswa kufanya? Sprinkle the place with the blood of Jesus. Ni kunyonyiza tu damu ya Yesu pale iko pale mbinguni. Iko pale mbinguni. Mariamu alavungen. Yesu aliileta mbinguni kwa ajili yako wewe na mimi ambapo sasa unaweza kukaingia patakatifu kwa damu yesu. Unaweza ukaingia pale kwa imani na kutumia damu ya Yesu kwa ajili ya kutunzwa. kwa ajili ya kutunzwa kwa ajili ya kutunzwa kwa ajili ya kutunzwa ili yule mwaribu asiweze kugusa katika jina ku la Yesu Kristo 5 minutes to our time tumebakiwa na dakika tano just the last thing jambo la mwisho and then we are going to pray kisha tutaenda kuomba the blood of Jesus is for our deliverance damu ya Yesu ni kwa ajili ya kufunguliwa kwetu is for deliverance ni kwa ajili ya kufunguliwa kwetu for our deliverance ni kwa ajili ya kufunguliwa kwetu 9 11 Zakaria 9 na ule mstari wa ukifika hapo you can start to read even in Kiswahili. Zakaria 9: 11 Na kwa habari zako wewe kwa sababu ya damu ya agano lako, nimewatoa wafungwa wako katika shimo lile lisilo na maji. And for thee also by the blood of thy covenant I have sent forth thou prisoners out of the pit wherein is no water. I have sent forth the prisoners. So this these prisoners were not in the jail. Kwa ho hawa wafungwa hawakuwa jela. Hawakuwa keko. Hawakuwa keko. Wala segerea. Not even Segerea. Not even in Ganamo Bay. Hata kule Gontanamo haweko. They were in the pit. walikuwa kwenye shimo and in that there was no water. Na kwenye hilo shimo kulikuwa hamna maji. What made it possible for them to be delivered? Nini kiliwafanya wao waweze kufunguliwa? It is the blood of Jesus. Ni damu ya Yesu. It means every root. Inamaanisha kila njia ya uovu. Every root kila njia bitter ya kila njia ya kushindwa kwako canach. Damu inaweza kufika hapa. Damu inaweza kufika hapa. The reason people are getting delivered. Ndio sababu watu wanafunguliwa. So when you see intercessors they use the blood of Jesus kwa unapoona wana maombi wanasema damu ya Yesu scriptural backup to whatever they are doing kuna andiko linaloapa nguvu kwa ajili ya hicho anachokifanya so there is no there is no chain that is supposed to remain in you kwa hiyo hakuna mnyololo unaopaswa kubakia kwako. You know when I was young in my Christian life unajua nilipokuwa mchanga kwenye maisha yangu ya kikristo every time they call people to be prayed for mara zote walipokuwa wanaita watu waje waombewe even before the pastor finishes kabla mchungaji hajamaliza I would be in the front nilikuwa niko pale mbele tayari I'm not saying you should not do that siwaambii kwamba msifanye hivy do it if it is the Lord fanya hivyo kama ni lazima the power of the blood that you carry lakini kama unajua nguvu ya damu unayoibeba I have a friend na rafiki Sihitaji jina. I'm not mentioning his name unamjua. Always he thinks he is demon possessed. Mara zote anadhaniana na mapepo. He he has CPA. So you know him. Ana CPA. Unamjua Katanga? Anamjua. Every time he thinks he believes I am possessed demons are chasing me. That is the mindset that they have. Mara zote ye ania ana mapepo. Mapepo yanamfuatilia. It is not possible to be under bondage. When you understand the blood of Jesus. Haiwezekani kuwa chini ya mkwamo unapoelewa nguvu ya damu ya. Haiwezekani. Hata kama uko kwenye shimba. Hata kama shimen anasema kwa damu ya agano langu nitawafungua wafungwa kutoka kwenye ile shimo. It is not possible. Haiwezekani. Haiwezekani. There's no distance the blood cannot reach. Hakuna umbali ambayo damu haiwezi kufika. So there are people like that they in the church. Kwa hiyo kuna watu wa namna hiyo wapo kanisani but they think last Sunday prayer we are not enough wanadhania ah maombi ya wiki iliopita ya kutosha kwa hiyo kwa mwezi mzima even when you want fruit of the womb kama unahitaji uzao come I pray for you njoo nikuombee and you are a man na wewe ni mwanaume comeak not for me na wanajhtukia pale ah kumbe sio mim listen whatever what sets you free nisikilize kinachokuweka huru ni ufahamu wako says bibia inasema You shall know the truth. Utaujua ukweli. And the truth shall set you free. Na huo ukweli utakuweka huru. And you shall be free indeed. Na wewe utakuwa huru kweli kweli. I like in kiswahili. Napenda kwa kiswahili. He says anasema nanyi mtaijua kweli when you know the truth na kweli itwaweka huru and that truth will set you free. Nanyi mtakuwa huru. And you will be free. Kweli. Free indeed. Kweli indeed. So kuna level tatu za uhuru. So there are three level of freedom. Kuna uhuru kweli there's freedom. Kuna uhuru. There's freedom. Kuna uhuru kweli is true freedom. Una uhuru kweli kweli and there is freedom indeed. It is depending on the level of your knowledge. Inategemeana na hatua ya uelewa wako. That's why even if you are prayed for Ndio maana hata ukiombea and you don't put the word of God inside Na hauweki neno la Mungu ndani yakes. Haujui nguvu the power of the blood of Jesus. Haujui nguvu ya damu ya Yesu wala jina la Yesu. Those demons may truly come back. Hayo mapepo kiukweli yanaweza yakakurudia. Because they find the place empty. Kwa sababu yanaputa sehemu mpako wazi. But if you feel the word of God in you, Lakini ukijaza neno la Mungu ndani yako unaelewa nguvu ya neno la Mungu. Unaelewa nguvu ya damu ya Yesu. As if the devil does not exist. Utaishi kana kwamba shetani hayupo. I tell people there's no place I don't sleep. Niliwaambia watu hakuna mahali ambapo siwezi kulala. Even if they say they are wiches for me I will just get sleep and siogopi. Hata wakisema kwamba kuna wachawi mimi nitapata usingizi pale and I'm not afried anywhere. Ali popote I slept in Namyerere Nyamanyerere is in Sumbawanga. Nimelala pale na Nyamerere Sumbawanga. I had very good sleep. Nilikuwa na usingizi mzuri. Sleep usingizi mzuri. I slept in the bushes. Nimelala polini ne Mozambique border karibu na boda ya Mziki. Tulikwama na gari. We were stuck with wakaa nikawa na usingizi mzuri zamani I used to be ile unakabwa. Ah jina la Yesu I don't have those things again. Previous I used to be chocked lakini siku hizi sipati hivy vitu and I think it's because I understand. Na nadhani ni kwa sababu ninaelewa. Not because I pray sio kwa sababu naomba. Though I pray but that's not the reason. Hata hivyo ninaomba lakini sio sababu. Peopar kuna watu wanaomba tu wakiwa na hofu. But when you have understanding Lakini ukiwa nauelewa unakuwa huru you become free. Ukielewa zaidi unakuwa huru kweli. When you understand ukielewa zaidi unakuwa huru kweli kweli. You become freedom free indeed. Amen. Amen. Naomba tusimame. May we stand up. Damu ya Yesu sijaimaliza hapa baba. Ni muda wetu tu umetisha.

I truly like you to go and open your Bible and read. Kiukweli napenda uende ukafungue bibilia yako na usome. Read the word of God. Soma neno la Mungu. Increase your understanding. Ongeza maarifa yako. There are people who are moing. Kuna watu ambao wanakebei. They say blood of Jesus just to forgive sin. Wanasema damu ya Yesu ni kusamehe tu. Not do anything else. Haifanyi kingine chochote. So bad one of that person died died in sleep in in January. Ni mbaya sana. Mmoja wao wa hao watu amefariki mwezi wa kwanza. He was born again. Alikuwa ameokoka. Very athletic. akiwa na ni yaani ana mwili mzuri hana ugonjwa wowote he has no kind of disease and unfortunately he just died na kwa bahati mbaya amekufa tu and he was very young na alikuwa ni mdogo I'm not saying anything but is those in the kind of he believed in this new gospel sisemi chochote lakini yeye alikuwa ni mwamini wa hizi injili mpya hizi that the blood does not protect kwamba damu hailindi. Just forgiveness and that's over. Ni kwa ajili tu ya msamaha na hivyo tu. But you have seen from the Bible. Lakini umeona kutoka kwenye Biblia. And I want you to be the student of the Bible. Na nataka wewe mwanafunzi wa Biblia. Because the blood provides cover for you. Kwa sababu damu inaleta ulinzi kwa ajili yako. Itroys every other covenant. inaharibu maagano mengine yote. You know your father you are giving money every every every month and he is not born again. Unajua baba yako unampa pesa kila mwezi na yeye hajaokoka. Maybe he is bringing those money to each doctors. Labda anazipeleka hizo pesa kwa waganga. Na wewe hujui whatever they do there. Chochote anachofanya pale it has no effect on you. Hakina madhara kwako. If you know the blood of kama unaijua damu ya Yesu. Na kama unatumia damu ya Yesu. Sijui niwaambie. I don't know whether I can tell you. There was a time kuna wakati I'm trying to find better to do me undering so that but there was a time really uh there was a time that we had a I'm not saying a court case but something to do with property ownership. Kuna huu wakati tulikuwa tunakaribiliwa na jambo linalohusiana na umiliki wa ardhi. So we had gone to a court. Kwa hiyo tulikuwa tumeenda mahakamani to ensure that thing is resolved. Kuhakikisha jambo hilo linasuluhishwa. But the other side that was in that case they came late maybe 40 minutes late. Lakini upande wa pili wa wale watu ambao tulikuwa tunaenda kusuluhu nao walikuja kwa kuchelewa kama dakika 40. But the thing went well. Lakini jambo lilienda vizuri worked on our favor. Na ikayafanyika kwa upendeleo wetu. And when we got back home Na tuliporejea nyumbani we saw there was a blood. Tuliona kuna damu at the gate pale mlangoni sprinkled imenyunyizwa. I'm not saying it is them. Sisemi kwamba ni wao. Definitely somebody did it. Lakini kiukweli kuna mtu alinionyeza. Lakini ilikuwa haina madhara. It had no effect. Ilikuwa haina madhara. Praise God. Mungu asifiwe. Praise the lord. Mungu asifiwe.

As we are going for election here. Tunapoenda kwa ajili ya uchaguzi ha. You will not die like chicken in the mighty name of Jesus. Hautakufa kama kuku katika jina la Yesu. Hautakufa kama kuku katika jina la Yesu. You know some people in their villages. Unajua kuna baadhi ya watu vijijini kwao. When the elders say we want to eat cow. Wale wazee wanaposema tunataka tule ng'ombe long time we have not eaten cow. Kwa muda mrefu sana hatujala ng'ombe. It means one person has to die so that they will slaught a cow. Inamaanisha mtu mmoja inapaswa no. ndivyo walivyo watu ambao hawana ulinzi the one chen kwa hiyo ni wale wanaochaguliwa but you are under the blood lakini wewe uko chini ya damu you under the blood uko chini ya damu you will not be choosen hautachaguliwa they will not even have access to you hawatakuwa hata na nafasi juu yako they don't have access to hawana nafasi juu yako because you under the blood kwa sababu umefunikwa na damu see the blood nitakapoiona damu nitapita mwbu hatagusa maisha yako hatagusa watoto wako wako hatagusa mwizi wako hatagusa maisha yako katika jina la Yesu katika jina k Yesu Kristo nataka tuuishe ile nguvu ya damu juu ya watoto wetu juu ya miaka yetu 100 leo yetu kesho yetu mpaka tumuone Bwana hakuna mwalimu atakayegusa maisha hakuna mwalimu atakayekusa katika jina la Yesu Kristo we don't read here because of time hatujasoma hapa kwa sababu ya mud the blood inafanya inaleta upatanisho. The blood brings the reconciliation. Kwa hiyo kuna baadhi ya familia wana migogoro kitakacholeta huo usuluhisho ni damu. Hebu sema kwa damu imnyunyize damnyize damu katika jina la Yesu. God kuna baadhi ya watoto hawamfuati Mungu na unadhani wamepotea. Lakini sio kwa damu. Sema kwa damu ya agano kwenye shimo lolote ambalo wapo. Tunaipeleka hiyo damu. Tunaipeleka hiyo damu. Nawachukua kutoka kimo katika jina la Yesu katika jina la Yesu katika jina la Yesu sijui saf nini lakini nataka uombe nataka uombe na utamilie kwamba maisha yangu itaishi chini ya damu watoto wangu watahisi chini ya damu katika jina la K Yesu Kristo hakuna ukwama unaorusiwa kwenye maisha yangu kwa jina la Yesu nataka uombe nataka uombe nataka uombe. Omba kwa wewe dadako, omba kwa wewe peke yako, omba kwa mume wako, kila shimu ambayo yupo kwa damu ya Yesu. Tunawatoa kwenye mashimo. Tunawatoa kwenye mashimo. Tunawatoa kwenye haimo. Katika jina la Yesu. Katika jina la Yesu. Katika jina la Yesu. Katika jina la Yesu. Katika jina la Yesu. Katika jina la Yesu. damu ya Yesu juu ya nyumba yako juu ya watoto wako, juu ya katika jina la Yesu katika jina la Yesu nataka uombe nataka uombe mimi pia na mambo yangu kwa h wewe omba omba omba usipomba wewe sema nanyunyu juu ya maisha yangu oh juu ya watoto wangu juu ya hao yangu juu ya kwa jina la Yesu kwa jina la Yesu omba kwa jina la Yesu ya Yesu kwa damu ya Yesu Kwa damu ya Yesu. Kwa damu ya Yesu. Kwa damu ya Yesu. Kwa damu ya Yesu. In the mighty name of Jesus Christ. Say every covenant. Sema kila agano that was entered. Ambalo niliingia by myself mimi mwenyewe au wazazi wangu kutumia damu yangu au damu ya wanyama. Leo kwa damu ya Yesu ninatangaza sasa haifanyi kazi ninavunja hilo agano kwa damu ya Yesu kwa damu ya Yesu kwa damu ya Yesu nina ninajitoa kwenye kila mapepo kwenye kila uchawi kwa damu ya Yesu natangaza niko huru natangaza mimi sio mfungo tena kwa jina la Yesu re pasaka ukikumbuka chochote itia damu repa repa navunja kwa damu ya Yesu navunja kila agano niloingia kwa kujua reak madhabahu ambayo na damu yanguaka Father sema baba Jesus kwa jina la Yesu kwa jina la Yesu navunja naharibu incartation kila manuizi kila neno lilosemwa kinyume na maisha yangu kinyume na watoto wangu kinyume hatima yangu kwenye mwezi kwenye nyota kwenye jua hapa duniani na kwenye uumbaji wote kwa damu ya Yesu kwa damu ya Yesu kwa damu ya Yesu nanyunyiza damu ya Yesu juu ya maisha yangu juu ya watoto wangu juu ya hatima yangu juu ya hatima yangu kwa jina ku la Yesu kwa jina la Yesu kwa

Jina ku la Yesu, kwa jina ku la Yesu. Kuanzia leo, ninatangaza mwezi shall notite me, hautanifunika; shall not smite me, hautanimeza; hautanipiga; hautanipiga. Usiku najua halita, halitanipiga kwa mchana. Katika jina ku la Yesu Kristo, nimebarikiwa. Nimebarikiwa, na siku zangu zote zimebarikiwa. Siku zangu zote zimebarikiwa. Ninatembea katika agano la Yesu, hata kwa damu; katika jina la Yesu. Endelea na uombe, in the mighty name of Jesus Christ. Asante Bwana Yesu. Thank you Jesus.

Naomba tuombee ibada ya kesho. May we pray for tomorrow. Bwana Yesu ututembelee. Tell God, may you visit us. Ututembelee. May visit us. Tutembelee. Ututembelee. Ukatuhuishe tena kwa jina la Kristo Yesu. Kwa jina la Yesu wa Nazareti, omba tu kwa ajili ya ibada ya K. Acha uwepo wake uje na ufanye tofauti. Uwepo wake uje na ufunike ushindi wetu. So just open your mouth and begin to pray. Fungua tu kinywa chako na uanze kuomba. Pray from your heart. Omba kutoka moyoni mwako. Muombee kila mtu atakayekuja hapa; wafunike kwa damu ya Yesu. Wapokee injili; kuja kwao kuwe salama. Kurudi kwao kuwe salama. Na Mungu awatunze; na Mungu awatembelee katika jina la Yesu Kristo. Tunashukuru, kwa sababu tunashukuru, in the mighty name of Jesus, amen. Katika jina la Yesu, we have reached the end of our service.

Tumefikia mwisho wa ibada yetu, lakini endelea kuomba; endelea kumtafuta Mungu; endelea kukaa katika uwepo wake. Every time we invoke the blood of Jesus, mara zote unapotumia damu ya Yesu, presence of God comes down. Uwepo wa Mungu unashuka down speedly. Unashuka kwa kazi. Remember when Solomon had given an offering of a southern bulls? Unakumbuka Suleiman alipotoa dhabihu ya ng’ombe? When God saw that blood of bulls, Mungu alipoona ile damu ya wale ng’ombe, the presence of God feed that temple. Uwepo wa Mungu ulifunika ile, na hakuweza kuhudumu tena. Hakuweza kuhudumu tena. The blood is the attraction to the spirits. Damu huvutia roho. Any any spirit, but the blood of Jesus now, lakini damu ya Yesu sasa, attracts the presence of God. Inavutia uwepo wa Mungu. So ensure that you pray for the service. Kwa hakikisha unaombea ibada. You cover this place with the blood of Jesus. Tunafunika mahali hapa kwa damu ya Yesu. We just need his presence tomorrow. Tunahitaji tu uwepo wake hivyo tu. Amen. Amen. Kama una sadaka, you can bring; otherwise, God bless you so much. If you have your offering, you can give. Mungu awabariki. Mungu awabariki.