Transcription
Hoya makumbusho gari ishafika hapo ndio
mwisho wa gari hapo piga chini abilia
>> hapo ndio mwisho
>> ndio mwisho hiyo ndio makumbusho hiyo
acha ushamba
Nubiri ngoja kwanza tumsome lazima
tumsomee kwanza tumtomee lada kwanza
Amani kwanza
>> Subiri kwanza hii mipango inatakiwa
iandik
>> unataka uende wapi?
>> Niache babuu.
>> Eh
>> nijue wewe
>> Rajabu Mwanyege sindio? Eh m hunijui
mimi ni nani? Mimi ni babako wa kambo.
>> Mamako wa kambo anaendeleaje kwanza?
Kijana naona dada zako waliolewa wote.
Vipi wewe? Ushaolewa? Naskia uliolewa
bwana.
>> Tulia tulia tulia.
>> Mume wako biashara yake ya nguvu za
kiume zile ilikufa dawa akaanza
kuzitumia mwenyewe. Anaendeleaje?
Eh ujanja wote umeisha. Eh shenzi
tulia tulia. Umeona unavyolia hivo m
ningeibiwa hili begi ningelia hivyo.
Shenzi.
Ah.
Dogo anajifanya jini mshenzi mshenzi
huyu ngoja nitampata tu mimi tena luata
ni wa hili jiji
huna hela
Kibla unayo hela weka hapa nyumbani
weia hizi ngapi hizi ngapi
hela babu hela poa
>> baby usiniache nitolee na mimi
>> tulia sogea hapa
>> sabla bwana sitaki hadi nitoe siri
>> tulia wewe
>> we si nimetoka kukupa hapa laki muda sio
mrefu tua 10,000 tuondoke
kaa chini pale
subiri kwanza
mtumba kumbe una laki muda wote
>> acha pochi
>> huu niacheni mimi mdogo umekaa kimya
mdogo wetu alfu unachukulia baridi wewe
cha kupiga denda kuga denda
>> pembeni wewe
Hi
hi
ha hi
naitwa Dola sorry naomba unisaidie
kunishikia hii mara moja nataka
njirekebishe
upepo umenani wig yangu
Oh miki mwanangu hii nje huku uongo
>> huku
>> eh huu uongo tupite
>> m naonekana tungepita huku
>> ahah huku pabaya huku
>> huku sio
>> huku pabaya huku
>> kwetuingie hivi
>> sikia nataka nikupe kazi
>> ah sorry sitaweza kukupokea kazi yako
kwa sababu haraka sana
>> eh
>> ah sikia yaani Yaani kuna vijana ha
cheki njoo njoo kuna vijana wawili pale
sawa waambie kuna binti mrembo anawaita
kwenye kona
>> namtaka yule mwenye begi yule
>> sikiza kakangu nikuambie sawa
>> nina interview sasa hivi asubuhi ina
haraka natakiwa nifike muda huu hapa
ninaongea na wewe ndio maana nilikuwa
njiweke
>> sawa naelewa lakini na mimi nina haraka
namtaka mwenye begi yule tu basi na
haraka naye. Asante kwa kunisaidia. Sawa
>> kwa kunishikia hivi vitu.
>> Naomba naomba
naomba
>> nini?
>> Naomba naomba hiv
>> sikiliza sikiliza sikia hizi karatasi
nitaondoka nazo mimi usiponisaidia.
>> Hivi wewe una akili timamu wewe
>> nisaidie nikusaidie.
>> Hebu naomba karatasi zangu.
>> Hapana
>> nikie kato. Sikiliza
>> wewe
>> nitakuchangia. Hebu nikie vitu vyangu.
Nikie vitu vyangu. We unajua
unanichelewesha sa hivi asubuhi nina
haraka. mimi mwenyewe nina haraka sikia
nimekupa
>> we nikuambie nikiikosa interviewenda
kuifanya na wewe wefutie
vatu vyangu
yake
wewe
ondoka
samahani
Mjoma twende basi Eh
Nipo na ndugu yenu mweu hapa amevaa
mashati makubwa makubwa mshamba hivi.
Ah sawa.
mjomba twende
>> wapi
>> nyumbani.
Wango hapa ndio nilipoambiwa nikulete
>> hapa
>> ndio
Huyu mwenyeji wako muuni mwanangu mbona
hapokei simu?
>> Hapokei.
>> Ndio
>> hapokei simu kabisa.
wanipe nauli yangu
ujua nitakuzingua ujue sa sikia
tutazunguka na wewe siku nzima leo mpaka
ndugu zako wataponipa hela yangu au
kupokea simu zangu
>> sikia sikia sikia bwana mdogo wewe huyu
unajua unaongea na nani hapa unaongea na
saifil mtafya mtengenezaji na msambazaji
wa kondom afrika nzima babako alihitaji
kama dazan tatu hivi nikamwambia hapana
tulia zaa ndio amekut Nani umezaliwa?
Heshimu
>> unasemaje?
>> Ah ukipanic ni kweli bwana. Relax relax.
ngoja kwanza tulia nikuonyeshe
shika hii ukienda popote ukahitaji
mafuta tumia hii kadi
>> kweli
>> ah dakika sufuri
m
>> alafu hiyo sasa unaweza ukampa hata mkeo
kwa sababu mafuta laini kwa hiyo
yanasaidia nani yanaondoa harara nini
miwasho sijui upel
>> mbona haya ni mafuta ya ngozi haya sijui
ni jeli
>> sindio jeli tom nini ndio hivyo hiv kwa
sio mafuta ya bajaji
>> eh ya kupaka
>> nipe nauli yangu
sasa sikia hapa penyewe nilipokuleta sio
ambavyo nilivyoelekezwa mwefu
>> unaondoka kweli
jamani
jamani nikombezaa
miogo
samahani bwana huu mtaa unaujua vizuri
hu
>> eh
>> huu mtaa unaujua vizuri
>> wewe unaujua
>> m sijui kama naujua ila nahisi naujua
panaitwaje huu mtaa huu
>> karibu
>> karibu
ah asante sawa nakubali ila Sasa huu
mtaa hujaniambia unaitwaje?
Karibu
huu mtaa unaitwa karibu.
Na hapa niliposimama hapa paniitwaje?
>> Karibu
>> jamani pombe.
>> Sikia unamjua mtu anaitwa nani? Anaitwa
>> nani?
Dogo.
Nipombeze
>> nifuate. Mimi ndio mwenyeji wako.
>> Nikufuate wapi?
>> Nyumbani mjomba.
>> Mjomba. Mimi ni mjomba wako
>> umenisahau.
>> Ah umepungua siku hizi.
Twende twende
Mashaka jamani ndugu wangu
hujawahi kukonda dadangu
>> naanzaje kwanza
>> sasa mashaka jamani
>> mbona umekuwa mwest kiasi hichi na
wakati reb aliniambia jamani huku mdogo
wako anakula kama nguruwe
>> ule mkufi umeshanichoma sasa
>> naona mgeni amekuja ghafla hana begi
hana zawadi au hakai sana sindio
Mashaka ndugu wangu.
>> Haya nguo umeziacha wapi na begi lako?
>> Begi asijali atavaa nguo za mwanangu.
Kipusa si anakaa siku mbili tatu. Siku
mbili
kipusa
we kipusa wewe
mtoto huyu kaa utumbo kipusa
kipusa huyu ni mjomba wako anaitwa
mashaka sijui umenielewa lakini
kichosheka kidogo hakiko sawa sasa hapo
alipo huyu bwana hana begi hana nguo
hana kitu chochote umeona hivo hivyo
hivyo ila utampa nguo zako avae kwa
muda. muda na hana muda mrefu wa kukaa
hapa anakukaa siku chache tuongo mume
wangu
>> ni kweli kabisa
>> eh tumeelewana
tumeelewana
>> ndio mama
>> mh
>> haya
unampeleka wapi sasa
si huku ndio nini sasa unampeleka wapi
sikiliza mpe sturi akae bwana huyu
ukitoka hapo fanya kazi zako zote
ukimaliza kanichemshe maji mwekee bafuni
aoge ndio aingie ndani akapumzike.
>> Usije ukamuogesha tu.
>> Ah mkubwa huyu anamwogesha wa nini?
Umenielewa? Eh shida.
>> Sitaki akae muda mrefu juani
>> kama mzee wa kikongwe
tumeelewana?
>> Ndio mama. Haya
nani?
>> Haya mjomba wako wewe.
>> Ah jamani nimefurahi bonge
>> ulimikuta kwenye hali gani bwana huu?
>> Eh
bwana mdogo.
Kwa hiyo ina maana hizi hela zote
ulikuwa unazihifadhi humu humu ndani?
>> Hizi hela za kibamba kwa usha damu,
kibambo kausha damu wewe mwenyewe unajua
tumechukua ili tume tutakiwa turishe
maisho ya watu.
>> Mjomba taratibu mjini unga unauzwa. hizo
pesa zisiporudi mimi mikononi mwangu au
pale pale mlipozikuta mtu azipeke pesa
zangu humu nitakachokifanya mtu atakuja
kukisahau maishani pake
ehe
si niliwaambia memwangalia huyu huyu
ndio mwizi mimi si niliwaambia na nyie
mmeona
>> eh unyama sana eh ah eh moto wetu maji
yetu kudadeki unyama mwingi mpo vizuri
>> tungatungua tuonyeshe kwanza mwizi wa
hela za mama kipusa
>> ndio tuna shida naye sisi
>> hayo mavi yake kweli babu ushavuta mavi
yake
>> wewe unavamia kimbu za watu hujui sheria
>> unamjua fambo kimtambo wewe eh unamjua
kile dudu unamfahamu wewe ny hamna yote
hawezi kuniambia chochote
huu ni ujinga tena ni upuzi
>> ujinga vipi wakati chupa amekupainti
wewe ndio mwizi we ndio mwizi
>> wewe unapiga teke mizimu H