Transcription
Nyoka tunakuona Yesu, umona Bana? Tumeona, tumeona, tumeona, tumeona utukufu; tumeona utukufu. Tumeona; tunakua. Je? Biblia inasema sasa macho yangu yatakumbuka na masikio yangu yatasikiza maombi ya watu ambao mahali hapa.
For now I have chosen and sanctified this house that my name may be there forever and my eyes and my heart will be there. Mstari wa 16 unasema sasa nimeichagua nyumba ndio na kuitakasa ili kwamba jina langu lipate kuwapo kwa milele. Pokea zetu, tunakushukuru Yesu. Thank you. Yesu wastahili heshima, utukufu. Yesu wastahili heshima; kipiga e! Yesu astahili heshima na utukufu Mungu. Yesu Yesu heshima na Yesu wastahili heshima na Yesu heshima na heshima na Yesu wastahili heshima. Yesu wastahili heshima na Yesu heshima. Tunainama, tunainuka, tunainuka; tuinue mikono; tunakuabudu. Tunainama, tunainama, tunainuka; tuinue mikono, tunakuabudu. Tunainama, tunainama, tunainuka; tuinue mikono, tunakuabudu. Tunainuka, tunainuka; tuinue, tunakuabudu. Yesu wastahili heshima na Yesu; Yesu astahili heshima na Yesu wastahili heshima na Yesu wastahili heshima. E Yesu wastahili heshima na utukufu; e Yesu wastahili heshima na ah eh! Yesu wastahili heshima na kanisa siwasikii vizuri; come on! Paza sauti! Ah! Mwambie Yesu anastahili sifa na utukufu! Yes! Lilua anasema, pigeni kelele maana nimewapa Joshua. Sita asikie sauti; sh! The Lord has a city.
As you praise him, change a breaking. As you praise him, change a break. As you praise him, change a break. As you praise him, change breaking. As you praise him, change breaking. As you praise him, change breaking. As you praise him, change breaking. Yeshua wastahili heshima na Yesu washili; Yesu wastahili Yesu na eh! Yesu wastahili heshima; heshima! Yesu wastahili heshima na tunaimama, tunainama, tunainuka; tuinue mikono, tunakuabudu. Tunainama, tunainama, tunainuka; tuinue mikono, tunakuabudu. Tunainama, tunainama, tunainuka; tunainua, tunakuabudu, tunakuabudu; tunainama, tunainuka; tuinue mikono, tunakuabudu. E Yesu wastahili heshima na utukufu. Yesu wastahili heshima! Mshangilie Yesu kama anasikiliza! Haleluya! If you have your testimony, kama una ushuhuda, you will register; utaandikisha kuwa mzee wa kanisa; be given anunity to testif; na utapewa nafasi ya kushuhudia mbele za Mungu. Halleluya! Unaweza kuendelea kumshangilia Yesu; can continue; yupo mahali hapa.
Eh Mungu wetu ni wa ajabu. Mungu wetu ni wa ajabu. Mungu wetu ni wa ajabu. Mungu wetu ni wa ajabu. Mungu wetu ni wa ajabu. Mungu wetu ni wa ajabu. Mungu wetu ni wa ajabu. Mungu wetu ni wa ajabu. Mungu wetu ni wa ajabu. Eh Mungu wetu ni wa ajabu. Mungu wetu ni wa ajabu. Mungu wetu ni wa ajabu. Mungu wetu ni wa ajabu. Mungu wetu ni wa ajabu. Ajabu! Mungu wetu ni wa ajabu. Mungu wetu ni wa ajabu. Mungu wetu ni wa ajabu. Wetu ni ananipenda. Mungu wetu ni wa anakupenda. Wetu ni wa ajabu. Mungu wetu ni wa upendo. Mungu wetu ni wa upendo. Upendo! Wetu ni wa upendo. Upendo. Mungu wetu ni wa upendo. Eh Mungu wetu ni wa upendo. Mungu wetu ni wa upendo. Mungu wetu ni wa upendo. Mungu wetu ni wa upendo. Kutoa chini katuweka juu. Katoa chini katiweka juu. Katutoa juu. Katuweka chini juu sana. Mungu wetu wa katutoa chini katuweka juu; katutoa chini kanweka juu juu kanweka juu juu sana; Mungu wetu ni wa hebu cheza sasa mbele zake; twende haya! I don’t see people dancing. Haya twende. Haleluya. Eh Mungu wetu ni wa ajabu. Mungu wetu ni wa ajabu. Ajabu. Mungu wetu ni wa ajabu. Ajabu. Mungu wetu ni wa ajabu. Mungu wetu ni wa ajabu. Mungu wetu ni wa ajabu. Mungu wetu ni wa ajabu. Wetu ni wa ajabu. Katutoa chini katuweka juu; katutoa chini katuweka juu; katutoa juu katuweka juu sana; Mungu wetu ni waja. Katutoa chini katuweka juu; katutoa chini katuweka juu; wetu katuweka juu sana; Mungu wetu ni wa acha! Mungu wetu ni wa upendo; Mungu wetu ni wa upendo; upendo wetu ni wa upendo; upendo wetu ni wa upendo; katutoa chini katuweka juu; katutoa chini katuweka juu; katutoa juu katuweka juu sana; Mungu wetu ni wa upendo. Katutoa chini katuweka juu; katutoa chini katuweka juu; katutoa juu katuweka juu sana; Mungu wetu ni wa upendo; Mungu wetu ni wa upendo; Mungu wetu ni wa upendo; upendo! Upendo! Mungu wetu ni wa upendo. Upendo. Mungu wetu ni wa upendo. Mungu wetu ni wa upendo. Mungu wetu ni wa upendo. Mungu wetu ni wa upendo. Mungu wetu ni wa upendo. Mungu wetu ni wa upendo. Katutoa chini katuweka juu. Tutoa chiniweka juu; katutoa juu juu sana. Mungu wetu ni waombe. Mungu wetu ni wa ajabu. Mungu wetu ni wa ajabu. Mungu wetu ni wa ajabu. Mungu wetu ni wa ajabu. Katutoa chini katuweka juu; katutoa chini katuweka juu; katutoa juu katuweka juu sana; Mungu wetu ni wa ajabu. Toa chini chini katuweka juu; katutoa chini katuweka juu; katutoa juu katuweka juu sana; Mungu wetu ni wa ulinitafuta Kalvari ukanitua na mizigo hiyo; hiyo Kalvari; hiyo Kalvari; ulinitafuta Kalvari ukanitua na mizigo hiyo hiyo Kalvari; hiyo Kalvari; ulinitafuta; ulinitafuta Kalvari; haya eh! Ukanitoa na mizigo hiyo hiyo hiyo Kalvari; hiyo kama ulinitafuta; Ulinitafuta Kalvari ukanitoa na misifo. Hiyo hiyo hiyo Kalvari; hiyo hiyo Kalvari; ulinitafuta; ulinitafuta Kalvari; haya ukanitua na mizigo hiyo hiyo hiyo Kalvari; hiyo Kalvari; hiyo hiyo hiyo hiyo Kalvari; hiyo hiyo Kalvari; hiyo hiyo hiyo hiyo Kalvari; hiyo hiyo hiyo Kalvari; hiyo Kalvari; hiyo Kalvari. Sasa tucheze mbele zake; siwaoni. You can salute him. One, two, two. Hiyo hiyo Kalvari. Hiyo Kalvari. Hiyo hiyo Kalvari. Hiyo hiyo hiyo hiyo Kalvari; hiyo kama hiyo hiyo Kalvari; hiyo hiyo hiyo Kalvari hiyo hiyo hiyo Kalvari; hiyo tupigie makofi; yapige tu hayo makofi kama ya shukrani kwa kazi ya Kalvari. One, two; makofi tena! Vigelegele kwa Yesu; vigaba musicians! C un for you Jesus! Haya one more. Haya haya Jesus cus for you, Jesus! Haya haya haya lif the lif! Shosana to the Lord. Hosana to the Lord; sh the Lord! Hosana; can take! Makofi kwa Yesu! Yesu pigako tu! Njoo njoo njoo njoo! Vigelegele kwa Yesu! Ruka juu, ruka juu! Shout to the Lord. Hosana to the Lord. Shout to my Hosana to the Lord. Shout to the Lord. Hosana to the Lord. Shout to the Lord. Hosana to the Lord. I shout you dance. I shout you dance. I got shout you dance. I go shout you dance. I go shout you dance. I shout you dance. Sh dan! Sh dan! Teremka, teremka, teremka, teremka, teremka! Jina kanikie akili, akili, akili, akili! Wateka jina kanikie akili, akili, akili, akili, akili! Jina kanikie akili! Age ageka jina kanikie akili, akili, akili, akili! Shout! You got sh dance you dan! Sh dan! Sh you dance! Teremka, teremka, teremka, teremka! We day the way we gna we gna! Day by day by day. The way the way the way we gna we gna your name day by day. The way all the way the way we gna hear your name day by day. All the way all the way. We gna hear we your name day by day. The Heluya! Heluya! Haleluya! Nataka tushiriki tu mstari mmoja wa Biblia; Samueli wa Pili; n Samuel wa Pili ah 6 na 14; Samuel 6:14; Samuel 6 from verse 14; ili ambao hawachezi tuwasindikizie na neno hapo; yamkini watacheza na kufurahi. For those not dancing we want to accomplan them with the word maybe they will dance. 2 Samuel 6:14; Samuel 6:14; you can read in Swahili; I’ll be doing in Samueli ya Pili ya s kuanzia mstari wa 14; neno la Mungu linasema Daudi akacheza mbele za Bwana kwa nguvu zake zote na Daudi alikuwa amevaa nguo ya kitani. Yeah. David the Bible says in verse 14, verse 14 then David danced before the Lord with all his mighty. Daudi akacheza mbele za Bwana kwa nguvu zake zote. And David was wearing a linen efford. Na Daudi alikuwa amevaa nguo ya kitani. Bwana Yesu asifiwe! Praise the Lord Jesus. With all his mighty kwa nguvu zake zote. With all his mighty kwa nguvu zake zote. So this kind of praise is called halel. Kwa hiyo namna hii ya sifa inaitwa halel. Oh halal au halal! Undignified kind of worship ambayo inaonyesha namna fulani ya ibada yaani ile ambayo hauja haumuonei aibu mtu yeyote; the one that you are not shameful; you don’t feel shame anybody; ile kusifu na kuabudu ambayo huangalii jirani yako anachezaje; wewe unajiachilia mikononi mwa Mungu; the kind of praise and worship that you don’t look to your neighbor; you just release yourself before the Lord; hasa hasa mwanzo wa mwezi kama huu especially in the beginning of the month like this one; ukiwa unamshukuru Mungu kwa miezi mitano iliyopita when praising and thanking God for the past five months; unasema Bwana nimerudi tena Yesu nakushukuru; wengine sijui ila mimi Bwana nimejua umenitendea; Bwana halel! Bwana nakushukuru. Wengine wengine sijui ila mimi bwana nimefanyaje? Umejua umenitendea Bwana Bwana nimerudi tena Yesu nakushukuru; wengine sijui ila mimi Bwana jua umenitendea; Bwana Bwana Yesu nakushukuru; wengine sijui ila mimi bwana ningejuaitendea bwana; bwana nimerudi ni mimi tena hii jana nimekuja Yesu nakushukuru; sijui mimi bwana jua umenitendea; mwenye ukoma tulikuwa na neno lako sikufungu makosa; wengine sijui ila mimi bwana nimejua umenitendea; wenye dhambi tulikuwa we na damu yako bwana ikanitangaza; wengine sijui ila mimi bwana nimejua umenitendea; utukufu kwako tuina heshima; umefanyaje umenitenda? M umenitenda mema; umenitendea mema; utukufu bahaya; umenitenda mema; itenda mwezi wa kwanza wa pili wa tatu wa nne; utukufu wako mwezi wa tano nimepita eh bwana zako tu umenitenda; wewe umenitenda; wewe umenitendea; we utukufu wako; ninajua hata mwezi wa sita nitapita salama; nitaona uaminifu wako katika nchi walio hata utukufu wako tu haina heshima; ni weweendaitendea wema kwa kinywa chako; tamka wema wa Bwana hata wangu tunakumbuka fadhili zako; nafsi yangu mhimidi Bwana kwa vyote vilivyomo ndani yangu; vilisifu jina lako nafsi yangu; usisahau matendo makuu Bwana amekutendea; Januari; Bwana amekutendea April; Bwana amekutendea Februari; Bwana amekutendea Mei; Bwana amekutendea Machi; a ke nande suve kande leke save m rio sheek lake likato rapande rike lazo shele kande ripe rupe leke lushe shataka iande ripe rupe rike mane bande rua before god; halal before god; usijali aliyekuzunguka; mwambie Mungu nimeleta sifa; nimeleta ibada; nimeleta heshima na utukufu ni kwako ninakushukuru; inadivance; ninajua umenitenda mema; anasema mwanzo wa miezi yenu pigeni tarumbeta; mwanzo wa miezi yenu pigeni tarumbeta kumsifu Bwana; kila mwanzo miezi yenu pigeni tarumbeta; tunaiachilia tarumbeta ya ushindi kupitia kusifu kwetu; release a praise unto you king of great; na ng zinaachia na waliokushikilia wanaachia unapomsifu Bwana; utukufu juu na heshima; umenichenda; umenitengena; umenitengea we utukufu wa heshima; umenitenda m; umenitenda; umenitendea; Bwana nimerudi tena Yesu nakushukuru; wengine sijui ila mimi; w kaaroka pale adakata; bwana nimerudi tena Yesu nakushukuru baba; wengine siju na Bwana akamilishe mambo; umekuwa ukimuomba kwa sababu ya shukrani unayoiachilia kwenye madhabahu ya Bwana. Bwana nimerudi tena Yesu nakushukuru wengine wengine mwadhimishe tu Bwana; mwambie nimerudi na shukrani. Nimerudi na shukrani. Nimerudi na shukrani. Nimerudi na shukrani. Ikiwa ni mwanzo mwezi wa sita nimerudi na shukrani; nimerudi na shukrani kwenye lango la mwezi wa sita; Biblia inasema enter into his gate with thanksgiving; as we enter as we enter in this month of June we are coming in with thanksgiving; we are coming in with thanksgiving in the presence of God; tunaingia na shukrani; tunaingia na shukrani. Tunaingia na shukrani. Capson fellowship. Mshukuru Bwana. Eh nafsi yako imbariki Bwana wala isizisahau fadhili zake zote. Forget not all his benefits. Forget not all his benefits. Forget not all his benefits. Asiyeacha mbu wako usogezweakata. This is how we bring in the ark. This is how we bring in the ark of covenant. Jinsi tunavyoweza kuingiza uwepo wa Mungu kwenye maisha yetu ni kwa kufurahi. Ni kwa kufurahi na kushangilia na kuwepo uweponi wa Bwana. Ndio ndio ndio; bwana nimerudi Yesu nakushukuru; wengine siju; Bwanaukama; Bwana nimerudi tena Yesu ninakushukuru; pengine sijui ila umekuwa nani umetembea nami nimerudi kushukuru Mungu wangu; umekuwa nani umetembea nani nimerudi kushukuru; Bwana nimerudi tena Yesu nakushukuru; wengine sijui wengine nimejua wewe; iende kupa suve nimerud nakushukuru; wengine siju ila mimi ni bwana nimejuma tena. Thank you Jesus. We glorify your holy name. Lord there is no God like you. Hakuna Mungu aliye kama wewe; love you king of kings. Tunakupenda mfalme wafalme. Thank you Jesus. Asante Yesu. Ine sijui nimejua ume; Yesu nimerudi tena Bwana nakushukuru; propria sifa zainy wa chak ripe ibada katikati yako na yeye tumelala kitu kinaitwa ibada mwambie nimerudi tena baada ya mwezi wa kwanza wa pili wa tatu wa nne wa tano umenis Aidia kuingia mwezi wa sita. Nimerudi tena. Mimi ni couns and fellowship. Nimerudi tena. Mimi ni counsel fellowship. Nimerudi tena kukusifu, kukushukuru; kukubariki, kukuheshimu; reak R ya nimerudi tena haijalishi ninapitia nini kwenye maisha yangu; nimerudi tena; kari haitajalisha ni nini kinanisibu. Nimerudi tena; nitarudi tena siku zote za maisha yangu. Ndio ndio ndio; mahune mareti narupa tamaele ambayo hata hujaiipangilia. Break the alabaster box. Break the alabaster box. Vunja hiyo perfumu ya utukufu wa Mungu ndani yako. Uachilia moyo wako mbele za Bwana. Ivunje hiyo perfumu ambayo imejaza moyo wako. Bwana asikie harufu. Bwana asikie harufu. Bwana asikie harufu. Bwana asikie harufu. Bwana asikie. Anushe harufu kutoka Cson Fellowship; anushe harufu nzuri ya manukato ya manukato ya manukato ya manukato ya manukato; badilisha tu atmosphere; Bwana ananiambia wengine mlikuwa mnapambana kupata namna gani ya kuomba; Bwana anakupa Neema mpya ya kimaombi; Bwana anaachilia fadhili zake ben, mzigo wa kumtafuta nguvu za kukaa uweponi mwake muda mrefu. Daudi anasema bless the lord. Neno bless barak the lord unless kwa kupiga magoti ukimwambia kila kitu kijazavyo nafsi yangu kitamwabudu Bwana. Iambie hiyo hali inayokuzunguka imwabudu Bwana wako. Ambie ya kila kitu. Mali zako zote zimwabudu Bwana. Mafanikio yako yote yamwabudu Bwana siku ya leo. Command your soul to bless your God. Command your soul to bless your God. Command your soul. Iamuru nafsi yako imbariki Bwana na vyote vijazavyo ndani yako ikiwa ni mafanikio, ikiwa ni maumivu; iambie leo utamwabudu Bwana Mungu wangu. Yule mwanamke alivunja chupa yake ya manukato. Vunja hiyo chupa inayokuzuia kumwabudu Bwana siku ya leo. Vunja mbele za mpaku. Mwambie haya ndio manukatoacho yangu. Nimeleta hata vipande hivi vya moyo unaanza kuviunganisha na vikuabudu wewe. Ndio. Hamna sehemu nyingine unaweza kuachilia moyo wako kama madhabahuni kwa Mungu. There’s no other place you can release your heart apart from the altar. Kuna wengine wanajisikia kulia kwa kupiga kelele. Piga kelele. Hamna sehemu nyingine unaweza kuuachilia moyo wako. Piga kelele. Release release release. Hamna sehemu nyingine unaweza kusemelea kesi yako zaidi ya uweponi mwa Bwana. Mwambie Yesu nimeleta moyo. Nimeleta moyo. Hii ni ngumu kweli lakini haitazuia mimi kuumwaga moyo wangu kwako. Piga kelele achia ondoa huo uchungu kwa kuachilia moyo. Sana riliz ril ril; achilia achilia achilia; ili sanduku la agano liingie lazima kuwapo na kuiachilia kwa namna kutokuogopa chochote kupiga kelele kama vile hauna heshima lakini hiyo ndio heshima mbele za Bwana; haya mwambie nimerudi. Wengine mlipotea muda mrefu kwenye uwepo wa Bwana; mwambie Mungu nimerudi leo. Asante kwa kunialika. Thank you for inviting me into your presence. Ndio. Ndio. Unafanya vyema. Ndio. That is how you supposed to do. Ndio. Doing it well. Ndio. Ndio. Ndio. Rapaka ndio moyo wangu umekufurahia; sinau ya kuondoka mbele zako; bahari Mungu wako; moyo wangu umekufurahi; si ya kuondoka mbele zako mahali hapa; ni kama nini eh Mungu wangu eh Mungu; uwepo wako moyo wangu umekufurahia tu sina hamu ya kuondoka mbele zako mahali hapa; zuri kama ni eh wangu wa roho; uwepo wako umenifunika; uwepo wako umenifunika; uwepo wako uwepo wako umenifulika; uwepo wako; uwepo wako umenifunika; we glorify you daddy. Nakutukuza eh baba; thank you. Asante. Thank you father. Asante baba. Thank you so much. Asante sana for your visitation kwa ajili ya mtembeo wako. Thank you so much. Asante sana for your voice. Kwa ajili ya sauti yako. We worship you Lord. Nakuabudu eh Bwana; in Jesus name. Katika jina la Yesu. Somebody shout hallelujah. Mtu kele sema haleluya. That was not loud enough. You can shout hallelujah. Ilikuwa haitoshi. Piga kelele sema haleluya! Haleluya! Piga kelele sema haleluya! Healings have taken place; uponyaji tofauti tofauti umetoke; are broken; minyororo imevunjwa; and if the first wave didn’t help you na kama njia ya kwanza kukusaidia; there’s another wave coming; kuna wimbi nyingine inakuja right in this service hapa hapa kwenye ibada hii; I told you after 30 niliwaambia baada ya siku 30; explosiona kuna mlipuko mahali hapa; andning nao ni mwanzo tu; now onward kuanzia sasa na kuendelea; until when god says stop; mpaka Mungu anaposema acha; four times a year mara nne kwa mwaka; four times a year mara nne kwa mwaka; four times a mara nne kwa mwaka; we have something called worship unlimited. Tutakuwa kitu tunaita ibada isiyokuwa na kikomo. Worship unlimited. Ibada isiyokuwa na kikomo. You’ll be in charge of that. Utasimamia hilo. This worship unlimited will happen on Sunday. Hii ibada isiyokuwa na kikomo itatokea Jumapili from morning kuanzia asubuhi. Nonstop bila kukoma; bila kukoma. For hours kwa masaa sita. Nonstop kukoma. No preaching hakuna kuhubiri; just worshipping God ni kumwabudu tu Mungu. Worship unlimited. Ibada isiyokuwa na kikomo. I can even see the branding of it. Neza nikaona hata branding yake; media people you will see me. Watu wa media mtaniona. I already have this is what God has spoken to me as we were worshipping here. Hiki ni kitu ambacho Mungu amesema na tumekuwa tunaabudu hapa. I was standing there. Nisimama pale when I heard that voice. Niliposikia hiyo sauti, worship unlimited. Ibada isiyokuwa na kikomo. Four times a year. Mara nne kwa mwaka. That means every three months inamaanisha kila baada ya miezi mitatu. One Sunday Jumapili moja be worship unlimited. Tutakuwa tuna ibada isiyoko. Minyoloro itavunjika. Sickness will be healed. Magonjwa wataponywa. People have their breakthroughs. Watu wanapata mipenyo yao. Worship unlimited. Ibada isiyokuwa na kikomo. Worship unlimited. Ibada isiyokuwa na kikomo. Worship unlimited. Ubabudu kisiwa na kikomo. Worship unlimited. Kuabudu kisukuwa na kikomo. For six hours masaa sita. So it will be special Sundays. Kakuwa ni Jumapili za kipekee. Somebody shout hallelujah. Mtu mmoja piga kelele sema haleluya; shout el; mtu mmoja piga kelele asema haleluya; rest of the year kwa ho kwa miaka iliyobaki we will plan only two; tutapanga tu mara mbili; because we are almost halfway the year kwa sasa tuna nusu mwaka; but next year lakini mwaka unaokuja four of them mara nne; somebody shout hallelujah; mtu mmoja piga kelele sema haleluya; I need a longer one hallelujahi ndefu zaidi; haleluya; no no no; I need a connecting one; the connecting one; nahitaji ile ambayo inaunganisha; Haleluya. Unapiga unasema haleluya connect that way. Unaunganisha hivyo; let me hear the connecting. Hallelujah. Kuunganisha shout one two th go; haleluya amen; just twice is you connect once; unaunganisha tu mara moja; people connected three times. Unaotunganisha mara tatu. Somebody shout a sheluya. Mtu mmoja apiga kelele haleluya fupi. Sit down please. Naomba ukae tafadhali. Sit down please. Thank you Dr. Ipiana. Asante sana Dr. Ipiana; surprising us kwa kutushangaza. Kwa kutushabaze. Una ratiba ambayo ni ngumu sana lakini nyumbani we appreciate that. Na tunashukuru kwa ajili ya hilo. Hallelujah. Haleluya. Glory be to the Lord Jesus Christ. Utukufu kwa Bwana Yesu Kristo. Please take your seats. Tafadhali naomba mkae. We are going to wave number two. Naenda kwenye wimbi la pili. The children of Israel, wana wa Israeli; they had just crossed the river Jordan. Walikuwa ndio wametoka tu kuvuka mto Yordan. And Joshua is looking at Jericho. Na Joshua akawa anatazama Jericho. He wanted to possess that city. Alitaka kumiliki mji ule. And God delivered a message to him. Na Mungu akampatia ujumbe. Theologians believe it is Jesus who appeared to to Joshua. Wana theology wanaamini kwamba alikuwa ni Yesu aliyemtokea Joshua. You know many people think Jesus started existing when he was born by Mary. Unajua watu wengi wanafikiri Yesu alianza kuishi pale alipozaliwa na Mariamu. He is etal; yeye ni wa milele. Kwa hiyo alikuwepo hata huko mwanzo. It’s only that he was not manifested physically. Ni vile tu kwamba kudhihirishwa kimwili. Are you hearing me children of God? Unanisikia wana wa Mungu? So many people believe it’s Jesus who appear to Joshua. Kwa hivyo watu wengi wanaamini kwamba alikuwa ni Yesu aliyemtokea Joshua. Forabu moja. When Joshua bow down to worship; Joshua aliposujudu kuabudu; he accepted that worship. Aliikubali ile ibada. Many angels in the Bible when they appear to somebody and they want to worship them; kwenye Biblia walipokuwa wakimtokea mtu na huyo mtu alipotaka kuabudu alikuwa anakataa. Angels don’t accept worship. Malaika hawakubali kuabudiwa because they are not supposed to be worshipped. Kwa sababu hawapaswi kuabudiwa. So when you see a manifestation and the one being bowed to is accepting; na ukiona sasa udhihirisho na yule mtu ambaye anasujudiwa anakubali; you might need to think this could be Jesus yeah something like that; na kupaswa ufikiri kwamba huyu inawezekana akawa ni Yesu; so if you believe like me kwa kama unaamini kama mimi; the general of the army of the mighty of the almight; ahemedari jemedari mkuu wa majeshi; who appear to Joshua ambaye alimtokea Joshua; gave him instructions alimpatia maelekezo; that you supposed to take over this city kwamba unapasa kumiliki mji huu; it has been given into your hands umepewa mikononi mwako; but lakini everyone say but kila mtu aseme lakini; say but sema lakini; there are some responsibilities kuna baadhi ya wajib; first and foremost kwanza kabisa awali ya vyote; You need to surround the city seven days. Na kupasawa uzunguke mji huu mara siku saba. The first six days zile siku sita za kwanza. You shall be surrounding the city once. Mtakuwa mnauzunguka huu mji mara moja. And you go back to the camp. Na utarudi katika kambi. And on the seventh day siku ya saba; you shall surround the city seven times. Tuzunguka huu mji mara saba. And the last day of the seven days. Na ile siku ya mwisho ya siku ya saba; when you go around the city. Mji mara saba ile mara ya mwisho; you got to shout inakupasa mpige kelele; shout upasa mpige makelele; and when you shout na kupiga makelele; the trumpets will go ahead of you na wapiga tarumbeta wataenda mbele yenu; when they shout they blow the trumpet wakipiga hizo tarumbeta; and you shout na mkapiga kelele; the city will fall down ule huu mji utaanguka; I declared to you seven days of fighting. Niliwatangazia siku saba za kupigana. Did you hear children of God? Mesikia wana wa Mungu? You did well. Those of you who responded, you did well. Mlifanya vyema nyinyi ambao mliitikia; mlifanya vyema. It wasn’t a gimmick. It wasn’t something that we pretend to do. Haikuwa kitu ambacho tunaigiliza tu kufanya. It is a new season in our church.
Ni majira mapya kwenye kanisa letu. I said it's a new season in our church. Nimesema ni majira mapya kwenye kanisa letu. Maybe, yamkini. You wanted me to say it's a new season for this tent. Ulitaka nilutaka niseme ni majira mapya kwa hema hii. But I said it's a new season for our church. Lakini nimesema ni majira mapya kwenye kanisa letu. And someone is just looking at me. Na mtu anatazama ananitazama tu. Are you not this church? Wewe sio kanisa hili? This tent is not the church. Hema hii sio kanisa. When you hear an announcement, unaposikia tangazo, it's a new season for our church. Ni majira mapya ya kanisa letu, means a new season, kirahisi kabisa, na maisha ni majira mapya kwa ajili yako, celebrated, ndio maana ulipaswa ushereheke; somebody shout hallelujah, mtu mmoja piga kelele haleluya; you not seen anything yet, bado hujaona chochote; we are just beginning, ndio kwanza tunaanza, because it's a new season, kwa sababu ni majira mapya, and God is out and determined to do something in our midst, na Mungu amejitoa na kudhamiria kufanya jambo katikati yetu. When we say it's a new season, na tunaposema ni majira mapya, it is, it has to be entered by fighting. Lazima tuingie kwa kupigana. And we are still fighting. Na bado tunapigana.
Now I never planned that there will be a powerful praise and worship here and Dr. Ipiana being here. Kwa hiyo sikupanga kwamba kutakuwa kunakusifu na kuabudu kwa nguvu hapa na Dr. Piana atakuwepo hapa. Actually I didn't know. I was surprised to see him here. Kikweli kabisa sikujua. Nilishangaa tu kumuona hapa. What does that tell you? Hiyo inakuambia nini? It has been orchestrated in heaven. Imespangiliwa mbinguni. It has been orchestrated where? Imesamuliwa wapi? Mbinguni. The last moment of the battle. Wakati ule wa mwisho wa vita. When you see praise being done, unapoona sifa imekuwa kuu, and the Holy Spirit is putting a tick on it. Na roho mtakatifu anaiwekea tick. You know there is a change in the heavenly. Unajua kuna mabadiliko katika ulimwengu wa roho. You know there is a change in the spiritual. Unajua kuna mabadiliko katika ulimwengu wa roho. In the spiritual, there’s a change. Katika ulimwengu wa roho kuna mabadiliko. Our battles for days is not in vain. Vita yetu kwa siku saba sio patupu. Many of you will have testimony. Wengi wenu mtakuja na shuhuda. We prayed for those who are not following up the program. Tuliombea hata kwa wale ambao walikuwa hawafuatili program. We prayed for you. Tuliombea. Next time, wakati mwingine, join the battle. Ungana katika vita. Somebody shout hallelujah. Mtu mmoja apiga kelele haleluya. Are you ready? We go. Je, uko tayari? Twende? Let's go to the Bible. Twende kwenye Biblia.
I label the month of June, na nimeuweka mwezi wa sita, is the month of battle for our inheritance. Ni mwezi wa vita kwa ajili ya urithi wetu. Battle for inheritance, vita kwa ajili ya urithi wetu. The battle to possess. Vita ya kumiliki. The battle to possess. Vita ya kumiliki. And that's what we are going to do throughout this month. Na hicho ndicho ambacho tunakwenda kufanya kwa mwezi wote huu. Every Sunday, kila Jumapili, will be a battle Sunday. Itakuwa ni Jumapili ya vita. Until the enemy is subdued. Mpaka adui atiishwe. This thing of fighting, you throw two punches and then you begin to defend yourself. No, we are no longer entertaining that. Hili jambo la kurusha ngumi mbili na kisha unaanza kujilinda mwenyewe, hiyo hatutaiendekeza. Hear me, elders, prayer leaders, ministry leaders, nisikilizeni wazee wa kanisa, viongozi wa maombi, viongozi wa huduma tofauti tofauti, the month of June, mwezi wa sita, we are fighting until the enemy is subdued. Tunapigana mpaka pale adui atakapotiishwa. Until the members of this church will begin to see changes. Mpaka washarika wa kanisa hili waanze kuona mabadiliko. Changes in their families, mabadiliko kwenye familia zao, mabadiliko kwenye biashara zao, kwenye huduma zao, mabadiliko kwenye maisha yao, mabadiliko kwenye ndoa zao, mabadiliko kila mahali. I want to see changes. Nataka tuone mabadiliko. In the book of Deuteronomy, kitabu cha Kumbukumbu la Torati, chapter 2:26, all the way to whatever I will tell you later. Sura ya 2:26 utaendelea mpaka pale ambapo nitawaambia. Deuteronomy, Kumbukumbu la Torati. Open your Bible in the book of Deuteronomy. Fungua Biblia yako katika kitabu cha Kumbukumbu la Torati. We are preparing for war. Tunajiandaa kwa ajili ya vita. No messy. Hakuna kuhurumia tena. No mercy. Hakuna kuhurumia mtu. Enough is enough. Inatosha na inatosha tena. What belongs to us? Nini ni cha kwetu? Must come to us. Kile ambacho ni cha kwetu lazima tukipate. What belongs to me, kile ambacho ni cha kwangu, must come to me. Lazima kinijie. Am I speaking to someone here? Je, naongea na mtu hapa? What belongs to you? Kile ambacho ni cha kwako, must come to you. Lazima kikujie. The devil is not allowed to possess it. Shetani haruhusiwi kukimiliki. Are you there? Have you opened your Bible? Je, umefika pale? Umefungua Biblia yako? Verse 26, mstari wa 26, Deuteronomy chapter 2, Kumbukumbu la Torati. And I sent messengers from the wilderness of Kademoth to Sihon king of Heshbon. Oh, that's not where I should start. Happo sipo ambavyo napaswa kuanza. No, no, no. Hapana. Hapana. You won't get the test, the test, hautapata ile maana yake. Ehe, verse 24, tuanzie mstari wa 24. Rise, take your journey, and cross over the river Arnon. Look, I have given into your hand, into your hand, into your hand, into your hand, Sihon the Amorite king of Heshbon and his land, and his land, and his land, and his land; begin to possess it; how? And engage him in battle, by engaging him in battle. Ondokeni, mshike safari yenu, mvuke bonde la Arnon; tazama, nimemtia Sihoni mfalme wa Heshboni mkononi mwako, na nchi yake, na nchi yake, na nchi yake, na nchi yake; anzeni kumiliki; kivipi? Mshindane naye katika mapigano. Rise and take your journey. Ondokeni, mshike safari yenu. When you are told to rise, unapoambiwa inuka, it means apply some effort. Inamaanisha tumia nguvu fulani. You can't rise, huwezi kuinuka, without having to flex your muscles somewhere on your legs. Bila kuweka misuli yako vizuri mahali fulani kwenye miguu yako. When the Bible says rise, Biblia inaposema inuka, it doesn't necessarily mean you were seated somewhere. Haimaanishi iwe lazima kwamba ulikuwa umekaa mahali. And now you have to stand up. Na sasa inabidi usimame. It simply means, rahisi kabisa, inamaanisha begin to prepare. Anza kujiandaa. Begin to do something. Anza kufanya jambo. Because you are about to start a journey. Kwa sababu unakaribia kuanza safari. I’ve learned to read the Bible and appreciate every word. Nimejifunza kusoma Biblia na kushukuru kwa kila neno. Inuka. Mwambie jina lako, inuka. It’s not just a word that is there to fill the Bible. Si tu neno ambalo liko pale eti kukamilisha Biblia. It simply means prepare. Kirahisi kabisa inamaanisha jiandae, uwe tayari. Weka baadhi ya jitihada, jilazimishe mwenyewe usimame hata pale ambapo misuli yako bado imekaza; rise, inuka. Journey, na anza kushika safari. The journey of possession, safari ya umiliki. I’ve given into your hand, nimemtia Sihoni mikononi mwako, the king of Heshbon, mfalme wa Heshboni, and his land, na nchi yake; begin to possess it. Anzeni kuimiliki. But it will cost you, lakini itakugharimu. You have to engage him in battle. Inakupasa umhusishe katika vita. Let me read down, you’ll see something. I’ll show you something. Ngoja niendelee kusoma hapo chini, nitakuonyesha kitu. This day I will begin to put the dread and fear of you upon the nations under the whole heaven; who shall hear, and who shall hear the report of you, and shall tremble and be in anguish because of you. Hivi leo nitaanza mimi kutia utisho wako na kuhofiwa kwako juu ya watu walio chini ya mbingu kila mahali, watakaosikia uvumi wako, na kutetemeka, na kuingiwa na uchungu kwa sababu yako. You know when God says something, unajua Mungu anaposema jambo, children of God, are you ready to follow me? Wana wa Mungu, mpo tayari kunifuata? Are we together? Tuko pamoja? Are we together? Tuko pamoja? Is someone sleeping? Kuna mtu analala? Is someone dozing here? Kuna mtu anasinzia hapa? When God speaks something, Mungu anaposema jambo, he doesn’t waste words, huwa hapotezi maneno. He is very economic in words. Anamaanisha sana kwenye neno. Whatever he speaks, chochote anachosema, will come to pass, kitatimilika. He said this day, alisema siku hii, I will begin, nitaanza, to spread fear among the nations about the nation of Israel. Kusambaza hofu ama utisho kati ya mataifa kwa ajili ya wana wa Israeli. So the nations fearing the nation of Israel, that tiny nation, kwa hiyo mataifa yakaanza kuogopa taifa la Israeli, hilo taifa dogo, it started with that statement, ilianzia na hiyo kauli; today, leo, in history, there are times 60 big nations in this world came together to fight that tiny Israel, kuna wakati nchi 60 kubwa za ulimwengu hapa zilikuja pamoja, zikaungana pamoja kupigana na hiyo nchi ndogo kabisa Israeli; why? Kwa nini? Why would you go to fight that tiny nation there? Kwani mwaende mkapigane na hiyo nchi ndogo pale? What are you afraid of? Unaogopa nini? Nations are trying to build nuclear weapons, mataifa yanajaribu kujenga nuclear, specifically, kimaalum kabisa, with the vision of beating up Israel. Wakiwa na maono ya kuipiga Israel. Why are they scared? Kwa nini wanaogopa? Some of them are too far. They are not even bordering Israel. Baadhi ya hizo nchi ziko mbali sana, hazipakani hata na Israeli. And yet they are worried, na bado zinaogopa; why? Kwa nini? They don’t even border, they don’t have even a border dispute. Hawana hata mipaka. Hawana hata ugomvi wa mipaka. That they are congregating, lakini wanakusanyana, and they are saying, na wanasema, we must destroy Israel. Lazima tuiharibu Israeli. Some of them say, baadhi yao wanasema, Israel, Israel, is like a wound, ni kama kidonda, in the Middle East, katika mashariki ya kati. Israel, Israel, a wound, kidonda; you are far, you don’t even share a border, uko mbali, hampakani hata; how does it become a wound? Inawezaje kuwa kama kidonda? It started this day, ilianzia siku hii, when God said from today, Mungu aliposema kuanzia leo, I begin to spread fear among the nations, nitaanza kusambaza utisho kati ya mataifa, to this day, mpaka leo hii, even nations that are far away, hata mataifa ambayo yako mbali sana, they are scared of Israel, yanaogopa Israeli, and you wonder why? Na unajiuliza kwa nini? Don’t wonder, aah, usijiulize; God said it. Mungu alisema. Are you hearing me, children of God? Mnalisikia, wana wa Mungu? God said it. Mungu alisema, for no apparent reasons. Bila kuwa na sababu yote ya msingi. Nations are declaring themselves enemies of Israel. Mataifa yanajitangaza kwamba ni adui wa Israeli. It’s because they are scared of it. Ni kwa sababu wanaiogopa. Huge nations, mataifa makubwa. It’s because God said, this day I will begin to put the dread and fear of you upon the nations, ni kwa sababu Mungu alisema, hivi leo nitaanza mimi kutia utisho wako na kuhofiwa kwako juu ya watu, nchi, in the Middle East, si tu mashariki ya kati, under the whole heaven, chini ya mbingu yote; who shall hear the report of you and shall tremble and be in anguish because of you. Watakaosikia taarifa zenu, na kutetemeka, na kuingiwa na uchungu kwa sababu yenu. Let me prophesy to you. Ngoja nikutabirie. Do you know that you are the New Testament Israel? Hivi unajua wewe ni Muisraeli wa agano jipya? From today, kuanzia leo, wherever you are, popote ulipo, in your workplace, mahali pako pa kazi, in your business, kwenye biashara yako, in your career, kwenye taaluma yako, the Lord will begin to put fear, Bwana ataanza kuweka hofu, to oppress those who plan to oppress you, kwa wale wanaopanga kukunyanyasa; to scare those who want to harm you, wanaanza kukuogopa; some of them are your bosses, baadhi yao ni mabosi wako; plans against you, uovu kinyume na taaluma yako; from today, kuanzia leo, they will think twice, wanafikiria mara mbili, before attacking you, kama hawajakushambulia; in the spiritual realm, of kwenye ulimwengu wa roho, they look at you, wanakutazama, a giant, kama jitu; those who go to witch doctors, wale wanaenda kwa waganga; consult doctors for witchcraft, kwa ajili ya kuchawi, against you, kinyume na wewe; when they look into their witchcraft satellites, wakitazama kwenye satellite zao za kichawi, they will see a lion, wataona simba; they will see a lion about to eat them, wataona simba anakaribia kuwameza; they will tell each other, wataambiana, you will bewitch everyone, mtamchawi kila mtu, but that one don’t touch, lakini huyu msimguse; that is your portion in Jesus’ name, hiyo ndio fungu lako katika jina la Yesu; is your portion in Jesus’ name. Hilo ndio fungu lako katika jina la Yesu. Nobody shall be able to bewitch you. Hakuna mtu anaweza kukuchawia. In the name of Jesus. Katika jina la Yesu. Hear me, children of God. Nisikieni, wana wa Mungu. Shall we continue reading? Tuendelee kusoma? Verse 26, mstari wa 26. And I sent, now listen to this because now I’m about to tell you something, sasa sikiliza hii kwa sababu sasa nakaribia kukuambia jambo, that many people are doing here, ambalo watu wengi wanafanya hapa. Please listen to me carefully. Tafadhali hakikisha unanisikiliza kwa makini. Fuatilia maandiko. Let me remind you first. Wacha nikukumbushe kwanza. What did God tell Moses? Mungu alimwambia nini Musa? He said, rise, take your journey. Alisema, inuka, shika safari. Cross the river. Vuka mto. I have given you into your hand, Sihon the Amorite, nimempatia mkononi mwako Sihoni Mwamori, king of Heshbon, mfalme wa Heshboni, and his land, na nchi yake. Here, hear this. Sikiliza. God is saying, I’ve given you his land. Mungu anasema, nimekupatia nchi yake. I have given you his, nimekupatia nchi yake. Kumbuka hii ni ya muhimu sana. Remember that, kumbuka hiyo; given you his. Nimekupatia nchi yake. Just like most of you here, kama mlio wengi hapa, you have promises from God, una ahadi kutoka kwa Mungu, to do this and that, Mungu aliyesema kwako, nitafanya moja, mbili, tatu, nitakuinua, make you expand, and your territories will be enlarged. Nitakufanya utanuke, mipaka yako itaongezeka. God spoke to Moses, Mungu alisema na Musa, I put Sihon into your hand, nimemwachia Sihoni mikononi mwako, and I’ve given you his land. Na nimekupatia nchi yake. Now the Bible says, sasa Biblia inasema, begin to possess it, anza kumiliki, and engage him in battle. Na mshindane katika vita. Now, hear what happened. Sasa sikia nini kitatokea. Are we together? Tuko pamoja? Somebody shout hallelujah. Karibu sema haleluya. Now, verse 26, this is what people do. Mstari wa 26, hiki ndicho ambacho watu wanafanya. And I sent messengers from the wilderness of Kademoth to Sihon king of Heshbon with words of peace. Nikatuma wajumbe kutoka bara la Kedomoth kwenda kwa Sihoni mfalme wa Heshboni na maneno ya amani. With words of peace. Maneno ya amani. Did God tell him to go and make peace? Je, Mungu alimwambia akatengeneze amani? What did he tell him? Alimwambia nini? Engage him in battle. Mhusishe katika vita. He told him, his land is given to you. Na aliambiwa, nchi yake nimekupatia wewe. Badala yake, Moses is sending words of peace. Musa anatuma maneno ya amani. Maneno yalikuwa aje? Are you ready? We continue verse 27. Uko tayari? Tuendelee mstari wa 27. Are you ready? Uko tayari? Let me hear somebody say, “I’m ready, pastor.” Nisikie mtu akisema, “Niko tayari mchungaji.” This is what the Bible says: Let me pass through your land. Nipishe katikati ya nchi yako. I will keep strictly on the road. Nitakwenda kwa njia ya barabara. I will turn neither to the right nor to the left. Sitageuka kwenda mkono wa kuume wala wa kushoto. You shall sell me food for money that I may eat, and give me water for money that I may drink. Nawe uniuzie chakula kwa fedha nile, unipe na maji kwa fedha ninywe. Only let me pass through on foot. Ila unipishe katikati kwa miguu yangu, hayo tu. Did you hear that? Umesikia hiyo? There are people who are doing that. Kuna watu wanafanya hivyo. God is telling you, Mungu anakuambia, take over, tawala, miliki. I have given you. Nimekupatia. Fight. Pigana. Take the land. Ichukue nchi. And Moses is sending ambassadors, na Musa anatuma wajumbe, a mission, msafara, with words of peace, akiwa na maneno ya amani. People who are trying to make peace with the devil, kuna watu wanajaribu kutafuta amani na shetani, you can’t succeed, hauwezi kufanikiwa; the devil doesn’t buy peace, shetani yeye si mtu wa amani; he doesn’t like peace, hapendi amani; his nature is not peace, asili yake sio amani; he only understands one language, anaelewa lugha moja tu; do this, fanya hivi. He understands what? Anaelewa nini? One language, lugha moja. Moses, words of peace, Musa akatuma maneno ya, please, please, please, king, tafadhali, tafadhali, tafadhali, mfalme, king, mfalme, Sihon, just allow us to pass through your land, turuhusu tu tupite kwenye nchi yako, we are going to Canaan, tunaelekea kule Kanani; God has said we go to Canaan, Mungu ametuambia twende Kanani. Tutapita tu kwenye barabara. Not go to the left. Hatutaenda kushoto. Or the right. Ama kulia. Is that what God said? Hicho ndicho Mungu alichosema? Are you seeing that? Unaiona hiyo? Many people here, watu wengi hapa, they want to make peace with the devil. Wanataka watafute amani na shetani. They think they are going to receive their inheritance by peace. Wanafikiri wataenda kupata urithi wao kwa amani. So, when we say, let’s fight, unaposema tupigane; spiritual warfare, vita ya kiroho; prayer, kwenye maombi; for them, they are busy negotiating, kwa hiyo wako busy, wanajadiliana; Satan: “Me, I don’t have a problem with you.” Shetani: “Mimi sitaki matatizo na wewe.” When it comes to spiritual warfare, inapokuja kwa habari ya vita ya kiroho, I know you’re looking at that TikTok guy, najua unamtazama yule mtu wa TikTok; I don’t want peace, I want problems; sitaki amani, nataka matatizo. How many of you have seen this? Wangapi mliona hii? I want problems, nataka matatizo; because problems make me who I am. Kwa sababu matatizo yanifanya niwe mimi. When dealing with the devil, unaposhughulika na shetani, you must like problems; lazima upende matatizo; if you don’t like problems, kama hupendi matatizo, you won’t take your land, hautamiliki nchi yako; you won’t possess your position, hautamiliki miliki zako; whatever you want to possess, chochote unachotaka kumiliki; the devil owns it now, shetani ndio anakimiliki sasa. Don’t think, don’t think I’m lying. Usifikiri nakudanganya. Adam and Eve sold it to him. Adamu na Hawa walimuuzia. They sold it to him. Walimuuzia. That’s why he had the confidence and the audacity to go to Jesus. Ndio maana alikuwa na ujasiri wote na udhubutu kwenda kwa Yesu. After Jesus had fasted 40 days, baada ya Yesu amefunga siku 40, Satan was telling him, na shetani alikuwa anamwambia, if you bow to me, ukinisujudia, all these positions, miliki zote, they are under me, ziko chini yangu; you’ll get them, utazipata; I’ll give them to you, nitakupatia. Jesus did not say, “You are a liar!” Yesu hakusema, “Wewe ni muongo!” Aah, aah, because it is the fact, kwa sababu ndio uhalisia; it used to belong to us, vilikuwa ni vya kwetu; Adam and Eve sold it, lakini Adamu na Hawa wakaviachilia, by falling into sin, kwa kuanguka kwenye dhambi. Now, if you want to recover it, ukitaka urejeshe, you must fight, lazima upigane; if you want to recover it, ukitaka urejeshe, you must fight, lazima upigane. That’s why believers don’t understand, ndio maana waamini hawaelewi; they say, pastor, wanasema mchungaji; to say, pastor, wanasema mchungaji; pastor, mchungaji; is that why, since I gave my life to Jesus, kwa nini kwamba sasa tangu nitoe maisha yangu kwa Yesu, things are hard? Mambo ni magumu? Pastor, mchungaji, that I’m not breaking through? Kwa nini sipendi? When I was not a Christian, pale ambapo nilikuwa sio Mkristo, I used to have an easy life. Maisha yangu yalikuwa mepesi sana. Because you belonged to that kingdom. Kwa sababu ulikuwa kwa ufalme ule. But now, lakini sasa, you’ve crossed the border. Umevuka mipaka. You belong to a different kingdom. Upo kwenye ufalme tofauti. If you want what belongs to that kingdom, ukitaka kile ambacho ni cha ufalme ule, sleep? Ambao ndio gockima, piga tek! In the name of Jesus, katika jina la Yesu. You must get it by fighting. Lazima ukipate kwa kupigana. Do you understand what I’m telling you? Unaelewa ninachowaambia? Somebody shout hallelujah. Tumepiga kelele, sema haleluya. Don’t make the mistake that Moses made. Usifanye kosa ambalo Musa alifanya. God is saying, Mungu anasema, go and fight, nenda kapigane, and he sends envoys, naye anatuma wajumbe, ama msafara; king, mfalme; son, tafadhali, we beseech you, tunakusihi, in the name of God, katika jina la Mungu, please, tafadhali, allow us, turuhusu, we promise we will not provoke you, tunakuahidi hatutakuchokoza; even your water we will have to buy, hata maji yako tunapasa tununue; why would you buy what God says is yours? Kwa nini ununue kile ambacho Mungu amesema ni cha kwako? Even when we want food, ukitaka chakula, we will buy it from you. Tutanunua kutoka kwako. Why would you buy what God says is yours? Kwa nini ununue kile ambacho Mungu amesema ni cha kwako? When you possess the land, the food and water on that land belongs to you. Unapomiliki nchi, inamaanisha chakula na maji ya hiyo nchi ni ya kwako. Huwezi kumiliki nchi na ukasema eti maji si ya kwako. The food grown on that land is yours too. Chakula chote kilichopandwa kwenye hiyo nchi ni cha kwako pia. I’m speaking to someone here. Naongea na mtu hapa. Can I hear a long hallelujah? Nisikie haleluya ndefu. Glory be to the Lord Jesus Christ. Utukufu kwa Bwana Yesu Kristo. So what happened? So nini kilitokea? What happened? Nini kilitokea? Verse 29, mstari wa 29. Just as the descendants of Esau who dwell in Seir and the Moabites who dwell in Ar did for me until I cross the Jordan to the land which the Lord our God is giving us. Kama walivyofanya hao wana wa Esau waketi Seili na hao wa Moabi waketi Ar hata nivuke Yordani niingie nchi tupewayo na Bwana Mungu wetu. Verse 30, mstari wa 30. How many of you are there? Wangapi mpo pale? You read with me, whether in Swahili, English, Chaga, whatever, Shimboni, just read. Unasoma; mwenyewe, Kiingereza, Kiswahili, moja, mbili, twende. Lakini sio, ni mfalme wa Heshboni, hakutuacha kupitia kwake, kwa kuwa Bwana Mungu wako alimfanya mgumu roho yake, akamtia ukaidi moyoni mwake, apate kumtia mkononi mwako, kama alivyo hivi leo. Somebody shout hallelujah. Mtu mmoja piga kelele haleluya. Do you understand now? Unaelewa sasa? Why things are hard? Kwa nini vitu ni vigumu? The principle of inheritance and position in the kingdom is fighting. Kanuni ya urithi na umiliki katika ufalme ni kupigana. Not diplomatic negotiation. Si kwa ajili ya majadiliano ya kidiplomasia. Even if you try to negotiate with your…
Enemy. Hata ukijaribu kujadiliana na adui yako. And the Lord has told you, fight. Na Bwana amekuambia pigana. What will happen? Nini kinatokea? God himself. Mungu mwenyewe will make sure your enemy is not accepting any negotiation. Anahakikisha adui yako hakubali majadiliano yoyote. Because he wants you to fight. Kwa sababu anakutaka upigane.
When Joshua was about to start leading the nation of Israel, Joshua alipokuwa anakaribia kuanza kuongoza taifa la wana Israel. In Joshua chapter 1, Yoshua sura ya kwanza, someone read for us, take a microphone. Mtu mmoja tusomee, chukua microphone from verse 1 all the way to verse 9, kuanzia mstari ule wa kwanza mpaka tisa. Don't worry, usijali, you need to get that spirit, inakupaswa upate hiyo roho. Because today, kwa sababu leo, before you go home, kabla hujaenda nyumbani, I will make you fight. Nitakufanya upigane. You have to fight. Inakupasa upigane, because that's the only way you going to receive your inheritance. Kwa hiyo ndio namna pekee utaenda kupokea umiliki wako. And begin to fight, na utaanza kupigana. This whole month, mwezi wote huu, is a month of war. Ni mwezi wa vita. Is kings war. Kuna nyakati ambazo za wafenda vitani. This is our time. Huu ndio wakati wetu. Somebody shout hallelujah. Mtume umepiga kelele, sema haleluya. Are you there? Je, umefika pale? Are you there? Umefika pale? Do we have someone with a microphone? Yes.
After the death of Moses. After the death of Moses, the servant of the Lord, Mh. It came to pass that the Lord spoke to Joshua the son of Nun, Moses’ assistant, saying, mh. Ikawa baada ya kufa kwake Musa mtumishi wa Bwana, Bwana akamwambia Yoshi mwana wa Nuni. Mtumishi wa Musa akasema, Moses my servant is dead. Now therefore arise, go over this Jordan, you and all these people, to the land which I am giving to them, the children of Israel. Musa mtumishi wangu amekufa. Haya basi ondokeni, vuka mto huo wa Yordan wewe na watu hawa wote mkaende hata nchi ni wapayo wana wa Israel. Arise means take action. Inuka inamaanisha fanya baadhi ya vitu. Mhm. Every place that the sole of your foot will tread upon, I have given you as I said to Moses. Kila mahali zitakapokanyaga nyayo za miguu yenu nimewapa nyinyi kama nilivyomwapia Musa. From the wilderness and this Lebanon as far as the great river, the river Euphrates, all the land of the Hittites, and to the great sea toward the going down of the sun shall be your territory. Tangu jangwa hili na mlima huu Lebanon mpaka mto ule mkubwa mto wa flat, nchi yote ya Wahiti, tena mpaka bahari ile kubwa upande wa macheo ya jua, hapo ndipo patakapokuwa mpaka wenu.
Listen carefully, sikiliza kwa makini. We continue from where we reached. Tutaendelea kutokea pale tulipofikia. Nisikilize, there are people, kuna watu, who have this kind of ignorance, ambao wana ujinga wa namna hii, they go a place, wanaenda mahali, and they put their feet, they remove their shoes, wanatoa viatu vyao na wanakanyaga kwa miguu yao, na wanakanyaga pale, take over this place, wanasema napapateka mahali hapa, and they scripture, na wananukuua andiko hili. That is not bad. Hiyo sio mbaya. But it is 0.1% of the job. Lakini ni 0.1 ya kazi. It's not just doing that. Si tu kufanya hivyo after that. Baada ya hapo, you have to engage whoever possesses that land. Inakupasa umhusishe yeote anayomiliki hiyo ardhi. In your prayers, kwenye maombi yako. Don't be ignorant. Usiwe mjinga. Don't abuse prophecy. Usitumie vibaya unabii. And they have stepped in many places. Na wamekanyaga mahali pengi. Including lands they want to buy. Pamoja na ardhi ambazo wanataka kununua. But because they didn’t do anything after that. Lakini kwa sababu hawakufanya chochote baada ya hapo. Don’t forget that statement. Usisahau ile kauli. Because they didn’t do anything after that. Kwa sababu hawakufanya chochote baada ya hapo. To this day, mpaka leo hii, they have not possessed those lands. Hawajamiliki hizo ardhi. Someone else has it. Mtu mwingine ndio anayo. It's not enough. Hiyo haitoshi to put your feet there. Kuweka tu mguu wako pale. And say as the Bible says. Na kusaka Bibilia inavyosema, wherever my the souls of my feet shall tread. Popote nyo za miguu yangu itakapokanyaga. That place belongs to me. Mahali hapo nipa kwangu. That is true if you have faith. Hiyo ni kweli kama una imani. But your faith will be tested. Lakini imani yako itajaribiwa. And when it is tested, ataribiwa, comes next, nini kinafuata? Fighting. Mapigano. Fighting. Mapigano. Now hear what happened? Sasa sikia nikiokea? Continue reading. Endelea kusoma. Verse 5. Verse 5. Ehe. No man shall be able to stand before you all the days of your life. As I was with Moses, so I will be with you. I will not leave you nor forsake you. Mstari wa tano. Hapatwa mtu yeyote atakayeweza kusimama mbele yako siku zote za maisha yako. Kama nilivyokuwa pamoja na Musa ndivyo nitakavyokuwa pamoja na wewe. Sitakupungukia wala sitakuacha. Do you do you hear that? Umikia hiyo?
When the Bible says no man shall be able to stand before you, Biblia inaposema kutakuwa hakuna mtu yeyote atakayeweza kusimama mbele yako. It doesn’t mean no man shall try. Haimaanishi kwamba hakuna mwanadamu ambaye atajaribu. Ahah. They will try. Watajaribu. They will try. Watajaribu. They will try to oppose you. Wanajaribu kukupinga. They will try to take your job. Wanajaribu kuchukua kazi yako. Try to kill your business. Wanajaribu kuua biashara yako, wanajaribu kuua ndoa yako, wanajaribu kufanya kila kitu kibaya, they try, watajaribu, only that, ni vile tu, they will not succeed, hawatafanikiwa, if, kama, you will do what comes next, utafanya kile ambacho kinafuata, in the scriptures, subsequent scriptures, kwenye maandiko ambayo tunayasoma, let’s continue, tuendelee, verse 6, be strong and of good courage, for to these people you shall divide as an inheritance the land which I swore to their fathers to give them. Uwe hodari na moyo wa ushihujaa, maana ni wewe utakowarithisha watu hawa nchi hii niliwaapia baba zao ya kwamba nitawapa. Only be strong and very courageous, that you may observe to do according to all the law which Moses my servant commanded you. Do not turn from it to the right hand or to the left, that you may prosper wherever you go. Uwe hodari tu na ushuja mwingi. Uangalie kutenda sawasawa na sheria yote aliyokuamuru Musa mtumishi wangu. Usiache kwenda mkono wa kuume au wa kushoto upate kufanikiwa sana kila uendako.
Listen carefully, sikiliza kwa makini, that you may prosper wherever you go, kwamba ili ufanikiwe kwa kote utakwenda, so that you may prosper wherever you go, ili ufanikiwe kwa utakwenda, so that you inherit, ili kwamba uweze kurithi, and begin to possess the land, na uanze kumiliki nchi, there’s a condition, kuna sharti, you must be strong, lazima uwe hodari, be courageous, lazima uwe na mshujaa, that, inamaanisha nini? If someone says, kama mtu anasema, you are going to Bocco, unaenda Bocco, when you get to that river, ukifika pale kwenye ule mto, you must be courageous, lazima una ujasiri, and you must be strong, na lazima uwe shujaa, what does that mean? Hiyo inamaanisha nini? Does it mean you are going to meet people with pilau at the river? Je, inamaanisha unutana na watu wenye pilau hapo mtoni? What does it mean? Hiyo inamaanisha nini? When somebody tells you you must be courageous, mtu anapokuambia ujasiri, and you must be strong. Na uwe hodari. What does it mean? Hiyo inamaanisha nini? Does it mean you meet people giving you bread? Inamaanisha utakutana na watu wanakupatia mkate. That means only one thing. Hiyo inamaanisha jambo moja tu. Get ready to fight. Uwe tayari kupigana. And be fearless. Na usiwe na hofu. To be courageous is to be fearless. Kuwa na ujasiri ni kutokuwa na hofu. This is what is lacking in people. Hiki ndicho ambacho kinakosekana kwa watu. They think in Christianity, wanafikiri kwenye ukristo, you just take hallelujah, unachukua tu, ha, I receive, napokea, I receive, napoke, after you declare you are receiving, baada ya kuwa umetangaza kupokea kwako, between your declaration, kati ya tamko lako, physical, na un, kupokea kabisa kim, kupokea kabisa kimwili, river, kuna mto, that river requires courage, na huo mtu unahitaji ujasiri, fearlessness, kutokuogopa, strength, nguvu, power, nguvu, aggressiveness, usongo, where you press forward, ambapo unasonga mbele, push forward, unasukuma kwenda mbele, you receive beatings, I need people with muscles here so I can beat, unapokea vipigo, Jeremia yuko wapi? No, sit down, sit down, kaa kaa tu, listen, sikiliza, in the walk towards your success, katika kutembea kwetu kwenye ukristo kuelekea mafanikio, maybe I need you, come come come. But this one is too tall. Lakini wewe mrefu sana. I need one short. Nataka mfupi. Peter, Peter, Peter, Peter, come and help me to preach, Peter. Njoo nisaidie kuhubiri. I see like your shoulders can carry. Listen, in Christianity, kwenye Ukristo, I’m not going to push you. I’m going to beat you. Siendi kusukuma. Naenda kukudunga. And you’re not supposed to resist your pastor. Na haupaswi kumpinga mchungaji wako, in Christianity. Kwenye ukristo, beat, wanakupiga. You hear some beatings. Unasikia baadhi ya mapigo. You feel pain. Unaskia maumivu. But you are pushing forward. Lakini unasukuma kwenda mbele, it’s not like when you’re fighting you’re not, you will not get some pain here and there. Siko eti kwa sababu unapigana basi hautakutana na maumivu hapa na, pain will be there. Maumivu yatakuwepo. But be strong. Lakini uwe mwenye dari. Are you hearing me, children of God? Unanisikia wana wa Mungu? There are some people, when they receive one punch, wakipokea tungu mimoja, go back, they begin to complain, wanaanza kulalamika, they begin to draw back, wanaanza kurudi nyuma, hii kwa kweli mi siiwezi, for me I can’t, hii ni ngumu sana, this is too hard for me, wananionea, they are just tormenting me, wananionea, wananionea, they’re unfair to me, strong, wananionea, unfair to me, wananisemea vibaya, speaking bad things against me, wewe unataka wakuseme vizuri, for them to speak about, Yesu alisema vibaya, wewe nani? Jesus spoke, people spoke against Jesus, who are you? Especially you ladies, kimaalum kabisa nyinyi wanawake, yaani unafikiri shetani ataangalia makeup zako aseme huyu hapa? You think the devil considers your makeup, then we say this one, hamna kitu kama hicho, there’s nothing like that, you must fight, lazima upigane, in the realm of the spirit, katika ulimwango wa roho, hamna cha mwanamke wala mwanaume. There’s not the issue of being man or woman. I think by now you know what I’m saying. Nafikiri mpaka sasa unajua ninachosema. Because there are people who think, kwa sababu kuna watu wanafikiri, the devil is a gentleman. Shetani ni mstaarabu. Because they are ladies. Kwa sababu ni wanawake, will see how dressed they are in red. You know, wat nam gani walivyovaa, wametupia nyekundu, wenyewe wa kueleweka. And then, pepo, mwacheni huyu kidogo, tutafute ambaye hana makeup. Let us look for somebody. There’s nothing like that. Hear me, ladies. Nisikilizeni wanawake. Be fighters. Mwapiganaji. Are you hearing me? Mnanisikia? Be fighters. Mwapigani. Do you remember a lady in the Bible who fought and killed the enemy? What’s the name of that lady? Nakumbuka yule mwanamke kwenye bibilia aliyepigana akamuoa adui, jina lake ni nani? He saved, she saved the nation. Aliokoa taifa. Who was it? Alikuwa ni nani? Good. One of the judges in the book of Judges, kati ya waamuzi katika kitabu cha waamuzi, men were there, wanaume walikuwepo, but this lady said, nobody takes our nation, lakini huyu mwanamke akasema hakuna anachukua nchi yetu, be a fighter, uwe mpiganaji. The Bible says, Bibilia inasema, “I give you the land.” Nawapatia nchi. But for you to inherit it, Lakini weweze kuirithi. To begin to eat the fruits of the land. Ili uanze kula matunda ya nchi, be strong. Lazima uwe hodari. Must be fearless. Lazima usiwe na hofu yoyote. Lazima una ujasiri. People don’t want that. Watu hawataki hivyo. They want cheap inheritance. Wanataka kurithi kwa rahisi rahisi. You know, I’ve encountered people, unajua nimekutana na watu, they are living in poverty, wanaishi kwenye umaskini, and they are complaining, na wanalalamika, mchungaji, pastor, baba yetu alipofariki, when our father died, alituachia urithi, he left us an inheritance, mashamba, farms, sijui nini, a lot of things, lakini wajomba zetu wamechukua, but our uncles have taken them, sijui nani amechukua, this one also, to, ndio maana unaona tunahangaika, that’s not fighting, hawapigani, take action, piga hatua, they are not fighting, hawapigani, so they will continue to be in poverty, kwa hivyo wataendelea kuwa kwenye umasikini. You have an inheritance from the father. Unaurithi kutoka kwa baba. He said you shall not be poor. Alisema utakuwa masikini. You shall be rich. Utakuwa tajiri. You shall inherit life. Utarithi uzima. You shall enjoy life. Utafurahia uzima. But you’re not willing to fight. Lakini hauko tayari kupigana. You shall have long life. Utakuwa na maisha marefu. That doesn’t mean someone will not try to kill you. Sasa haimaanishi mtu hatajaribu kukua. If you come to attack my family, ukija kushambulia familia yangu, even if they are stronger than me now, but they are still my children. Hata kwamba kwa sababu sasa wana nguvu kuliko mimi lakini bado ni watoto wangu. If you try to attack them. Kujaribu kuwashambulia. Yes, I will use the name of Jesus. Ndio nitatumia jina la Yesu. But also, someone says, but also. Lakini pia mtu mmoja asema lakini pia. Men, are you here? Wanaume mpo? Let the men say, but also. Wanaume waseme lakini pia. Men, are you here? Wanaume mpo hapa? Men sayo. Wanaume sema lakini pia. You know what that means? Unajua inamaanisha nini? I use the name of Jesus, but also. Nitatumia jina la Yesu. Lakini pia. But also. Lakini pia. But also. Lakini pia. I fulfill the words of Jesus. Nitatimiliza maneno ya Yesu. Who said, from now on, ambaye alisema kuanzia sasa na kwenda, doesn’t have a sword. Yote asiyekuwa na upanga. Let him sell his tunic. Auze vazi lake, and buy one. Na anunue mmoja hapo. Jesus, not me, Jesus. Yesu sio mimi, Yesu. Are you hearing me? Mnanisikia? Probably you heard me say before. Yamkini ushaw kunisikia nikisema huko kwanza. People went to arrest Jesus. Watu wenda kumkamata Yesu. And he was supposed to be arrested and be killed. Na alipaswa kukamatwa na auwe. But one man whom I like. Lakini mtu mmoja ambaye anampenda, Peter, mtume Petro, he was in, remember they were in the, the garden of Gethsemane, kumbuka walikuwa katika bustani ya Gethsemane, they were praying, walikuwa wanaomba, in the garden of Gethsemane, katika bustani ya Gethsemane, that’s where they went to arrest Jesus, ndiko walikwenda kumkamata Yesu, Peter had a sword, lakini Petro alikuwa na upanga, in the garden, bustanini, in a prayer meeting, mkutano wa maombi, Peter had, Petro anafikiria, alikuwa mkuli, alikuwa ar, Jesus, alipomkamata Yesu, he took out, aliutoa, someone’s ear was cut down, jicho, sikio la mtu lika limeang, prayer meeting, kutana na maombi, hu, in the garden of Gethsemane, bustani ya, this is in the Bible, hii iko kwenye bibilia, if you want to stone me, go stone the one who, mipige mawe, kampige mawe, aliandika bibilia, and now there are men who don’t have weapons in their houses, na kuna wanaume hawana silaha kwa nyumba zao, ni mimi ni mkristo nashughulika na mapepo na roho mtakatifu hairuhusiwi kumiliki upanga, me, my wife knows, mimi mke wangu anajua, I have a weapon, mimi nina silaha, I tell her, namwambia, where I come from, nakotokea, men’s weapons must be kept where they are, silaha za wanaume zinapaswa kutunzwa kwako, usiondoshe pale nilipoweka, emitokea, weon, najua yangu iko wapi, nowhere, the Bible says, hakuna bibilia inaposema, I’m not preaching violence, it’s in the Bible, sihubiri vurugu jamani, iko kwenye bibilia, men must defend your families, wanaume mnapaswa kutetea familia zenu, so what happened after Peter slashed the ear of that guy, so nini kilitokea baada ya kuwa Petro amekata sikio la yule mtu? Took the ear, Yesu akachukua akalirudisha, dideter, lakini alimwambia nini, Petro, return your sword in its place, rudisha huo upanga wako mahali pake, he didn’t say you, iwambia, we, Petro, nakut tupa mbali upanga huo, you just abused it, umeutumia tu vibaya, you didn’t use it in the right way, haukutumia katika njia sahihi, but return it there, lakini urudishie pale, in other times, kwa wakati mwingine, when it is needed, ikuhitajika, it is available, upatikane. Justin, shout hallelujah, Justin piga kelele sema haleluya. Dogs, keeping dogs is okay, kufuga mbwa, but ah, but also, kufuga mbwa ni sawa lakini pia, somebody shout hallelujah, mtume umepiga kelele, sema haleluya. Nisikizeni wana wa Mungu. Are you ready to fight for your position? Tayari kupigania umiliki wako? Can I have the worship team coming here? Timu ya kuabudu mkuje hapa. Are you ready to fight for your position? Uko tayari kupigania milik yako? And this month of June, mwezi huu wa sita, mpaka kieleweke. Mpaka kieleweke. Mpaka kieleweke. Until we get results. We push, tunasukuma. On Fridays, siku za Ijumaa, battle, vita. On Sundays, Jumapili, battle, vita. Don’t miss any midweek meeting. Usikose mkutano wote katikati ya wiki. Don’t miss. Usikose. Because your deliverance has come. Kwa sababu kufunguliwa kwako kumekuja. Please stand up where you are. Tafadhali simama ulipo. It is time to fight. Ni wakati wa kupigana. Many of you have blessings awaiting you. Wengi wenu ziko baraka ambazo zinawangojea. You have promises from God. Una ahadi kutoka kwa Mungu. I don’t know why. Sijajua kwa nini. But every time I talk around this subject, kila wakati nikiongelea somo hili, Justin, Justin, I have a feeling you’re way behind your schedule in the eyes of God. Ninahisi kwamba uko nyuma sana kwa ratiba za kimungu. I don’t know why, but this is not the first time. Sijui kwa nini lakini si mara 10. Probably the 10th time. Nafikiri ni mara ya 10. I think I’ve mentioned you probably twice only. Lakini nafikiri nimekutaja mara mbili tu. Nisikieni wana wa Mungu. There are people here. Kuna watu hapa, by now, mpaka sasa, you’re supposed to have a national influence. Mnapaswa kuwe mna ushawishi wa kitaifa. National influence. Ushawishi wa kitaifa. Your influence must be felt across the nation. Ushawishi wako inabidi uwe kwenye taifa zima. But you are cowards. Lakini waoga. You are afraid. Mnaogopa. You’re not taking steps. Hampigi hatua, not willing to push, hampo tayari kusukuma, not willing to fight, hamko tayari kupigana, ukienda kupeleka ka application, once you go to do application, kakarani kamoja tu pale ofisini kanakuzingua, just one second in that office, we be disturbing you, unatoka pale, siku hizi corruption, siku hizi, nowadays corruption, pigana, find a way, there must be a way somewhere, tafuta njia, kuna mahali kutoka, kuna njia, am I speaking to someone? Je, naongea na mtu? Not watu wengi wafanye hata biashara, days, siku ificita leseni, corrupt, na sasa nini? Do you want them to give you that? Unakaupe tu kila, tafuta namna ya kupigana mpaka upate, when we came here, tulipokuja hapa, afterwa tumenunua ardhi, I went to the local government to introduce myself. Kwenye serikali za mitaa kujitambulisha. I said I am Pastor Peter Makongo. Nikamwambia mimi ni mchungaji Peter Makongoa. And for me, na kwa mimi, I do not entertain corruption. Siendeki rushwa. I don’t give. I don’t bribe. Sitoi rushwa. So when you see me here, kwa utakaponiona hapa, that’s me, hiyo ndio mimi. Until today, mpaka leo hii, when I walk in there, nilipoingia pale, respect me, wananiheshimu. I announced, nilitangaza, if someone wants to go that way. Kama mtu anataka apite hiyo njia, then he must be ready to face me, basi awe tayari kukabiliana na mimi. But I don’t bribe. Lakini sitoi rushwa. And I told them. Na niliwaambia, if I bribe anybody, nikimtoa rushwa kwa yeyote, how can I preach in my church? Nitahubiri vipi kwenye kanisa langu kivipi? How can I preach against corruption? Nitahubiri vipi kinyume na rushwa? Now these days, saa siku hizi, when they want anything to do with me, wakitaka chochote cha kufanya na mimi, wanajua, they say that pastor is not like others, wanasema mchungaji yule si kama wengine, he is like this, amenyooka kama lula, he’s straight like this, amenyooka kama lula, don’t be a coward, useme, mogaoga, don’t be afraid to face corrupt people, usiogope kukabiliana na wararushwa, fight your battles. Pigana vita zako. Find a way. Tafuta njia. There must be a solution somewhere. Lazima kuna suluhisho mahali. Be a fighter. Uwe mpiganaji. Be a warrior. Uwe mpambanaji. Don’t say you know me by nature. Useme mimi kwa asili. Kwa asili. I am a peacemaker. Mimi ni mtu wa kupenda amani. Moses was like that. Musa alikuwa hivi. Didn’t we read the Bible? Somea Bibilia. He was told. Aliwaambia, pigana. And he said, please allow us to. Tafadhali turuhusu tupite, from today, kuanzia leo, I declare you a fighter in Jesus’ name. Nakutangaza kwa mpiganaji katika jina la Yesu. Fighter in Jesus’ name. Nakutangaza kwa mpiganaji katika jina la Yesu. In the mighty name of Jesus. Jesus, in the name of Jesus, I don’t see people who are declaring victory. Sione watu wanaotangaza ushindi. Jesus’, mighty name of Jesus, victory, victory is my victory, in the mighty name of Jesus, in the mighty name of Jesus, in the mighty name, I declare, I declare victory, victory, victory, in the mighty name of Jesus, in the mighty name of Jesus, mighty, in the mighty name of Jesus, I declare victory. I declare victory. Victory. In the mighty name, in the mighty name of Jesus. Mighty name, in the mighty name of Jesus. I declare, I declare victory. Victory is my victory, in the mighty name, in the mighty name of Jesus. Victory, victory, victory, in the mighty name, in the mighty name of Jesus, mighty name, in the mighty name of Jesus, mighty name, in the mighty name of Jesus, mighty name, in the mighty name of Jesus, mighty name, in the mighty name of Jesus, mighty name of the, in the mighty name of, in the mighty name of Jesus, in the mighty name of Jesus, I declare victory. Victory. Mighty name of Jesus. Mighty name of Jesus. I declare in the mighty name of Jesus. Vitwi kwa jina lake, kwa jina lake Yesu, kwa jina lako, kwa jina lako Yesu, natangaza, natangaza ushindi, nikitoka asubuhi, ushindi kazini kwangu, kwa jina, kwa jina lako Yesu, kwa jina lako, kwa jina lako, kwenye biashara, natangaza ushindi, ushindi, ushindi, ushindi, kanisani kwangu, kwa jina lako Yesu, kwa jina lako, natangaza ushindi, natangaza ushindi, kwa familia yangu, ushindi kwa jina.
Lako kwa jina lako Yesu, kwa jina lako Yesu. Angaza ushindi, ushindi, ushindi. Si kwa majeshi wala silaha, ni kwa roho, ni kwa roho. Nguvu za giza zimeshindwa kwa jina la Bwana, Bwana Yesu. Nguvu za giza, nguvu za giza zimeshindwa kwa jina, kwa jina la Bwana Yesu. Nguvu za giza zimeshindwa, zimeshindwa kwa jina, kwa jina la Bwana Yesu.
Lift up your right hand and feast like this. Nyosha mkono wako wa kuume na kun…of ishara ya vita. Everyone shout Jesus, produce a cry by the name of Jesus. Shout Jesus! Say, “Oh Lord, Lord, I am willing, niko tayari to go forward, kuendelea mbele to take what you’ve given me, kuchukua kile ambacho umenipatia.” I refuse, nakataa to be a slave, kuwa mtumwa. I refuse, nakataa to be oppressed, kuwa kuteswa in the name of Jesus. Kwa jina la Yesu. Oh Lord. Eh Bwana. Thank you. Asante. Oh Jesus. Oh Yesu. Thank you. Asante for giving me a chance, kwa kunipatia nafasi to fight back, kupigana. In the name of Jesus. Katika jina la Yesu.
Raise your voice and pray now. Endelea kuomba sasa. Fight every enemy you know in your life. Pigana na kila adui ambayo kwenye maisha yako kwa jina la Yesu. Every evil spirit, kila pepo that taking position, umechukua miliki zetu in the name of Jesus, katika jina la Yesu, evacuate now, toka sasa, evacuate now, toka sasa. Every evil spirit, kila pepo that you spreading sin, ambao mnatambaza dhambi in this church, kwenye kanisa hili, evacuate now, toka sasa in the name of Jesus, kwa jina la Yesu. Every evil spirit, kila pepo that you affecting our economy, kama mnaathiri uchumi wetu, we fight you, tunawapinga, we fight you, tunawapinga in the name of Jesus, katika jina la Yesu, in the name of Jesus, katika jina la Yesu. Fight, pigana, pigana, pigana whatever is torturing you, chochote kinachokutesa, whatever is oppressing, kama ni ugonjwa, shambulia ugonjwa, to mwambie, achie mwili wangu, pigana, pigana, pigana, pigana. In the name of Jesus, katika jina la Yesu. Every sickness in our mid, kila ugonjwa katikati yetu, I command you, naamuru, toka out, toka out, toka out, toka out, toka. Tambua tatizo lako, identify tatizo lako, fightana. Angalia ni changamoto gani uliyoayo, pigana kwenye hilo eneo, that area. Leo ni siku ya urejesho. In the name of Jesus, katika jina la Yesu. Kila pepo that rising against our church, uka kinyume na kanisa letu, we command you. Tunakuamuru. Go down. Anguka. Go down. Anga, go down. Anguka. In the name of Jesus Christ. Katika jina la Yesu Kristo. There is no God like you. Hakuna Mungu kama wewe, you are the only one worthy to be praised. Wewe pekee unastahili kusifiwa. Evil spirit of sexual immorality. Mapepo ya zinaa. We command you. Tunakuamudu. Evacuate. Toka out. Achia. Out. Achia. Out in Jesus. Katika jina la Yesu. Spiritual blindness, upofu wa kiroho, we command you. Tunakuamuru. Get out of this church. Toka kwenye kanisa hili. Get out of this church. Toka kwenye kanisa hili. Get out from our ministry. Toka kutoka katikati yetu. In the name of Jesus Christ. Katika jina la Yesu Kristo. Spirits of chronic disease. Roho ya magonjwa sugu. Spirit of chronic disease, roho ya magonjwa sugu. That you’ve come to kill people. Kama umekuja kuua watu this morning, we attack you. Asubuhi ya leo tunawashambulia in the name of Jesus. Katika jina la Yesu. Out. Toka. Out. Toka. Get out of our bodies. Achia miili yetu. Get out of our bodies. Achia miili yetu. In the name of Jesus. Katika jina la Yesu, leave our children. Achia watoto wetu. You evil spirit, nyie mapepo, our children. Achia watoto wetu. Leave our children. Achia watoto wetu. In the name of Jesus. Katika jina la Yesu. In the name of Jesus. Katika jina la Yesu. Leave our children. Achia watoto wetu. Leave our children. Achia watoto wetu. Leave our children. Achia watoto wetu. Take off your hands. Toa mikono yenu. From our children. Kutoka kwa watoto wetu. In the name of Jesus. Katika jina la Yesu. Evil spirit. Nyie mapepo of darkness. Ya umbumbumbu of sicknesses. Magonjwa of poverty, umasikini of rejection, kukataliwa. We command you. Tunaamuru. Get out in Jesus. Achia katika jina la…in the mighty name of Jesus, katika jina la Yesu. Father, baba, release our inheritance, achilia urithi wetu, release our inheritance, achilia miliki zetu, bwana, release our inheritance, achilia urithi wetu, e baba, we bese you by your grace, tunakusihi kwa neema yako, in Jesus name. Katika jina la Yesu. In Jesus name. Katika jina la Yesu.
Somebody shout amen. Piga kelele sema amen. Shout amen. Piga kelele sema amen. There are two things. Kuna vitu viwili that I began to share. Ambayo nilianza kushirikisha. But today you here, I just say one, lakini leo hapa nitasema tu kimoja and I say it in a limited manner. Na nitasema katika namna yenye mipaka yake. If we do not preach the gospel, kama hatutahubiri injili, there are blessings that we might be hindering from coming to us. Kuna baraka zinaweza zikazuiliwa kutujia. When you fighting the enemy, unapompinga adui, you don’t just fight. Haupigani tu, you also defend yourself. Lakini pia unajitetea. And part of defending yourself. Na sehemu ya kujilinda mwenyewe is to block all the entrances. Ni kufunga milango yote. That the enemy might get in through. Ambay adui anaweza akapitia. And steal your blessings. Na kuiba baraka zako. Now, sasa, refusal to preach Jesus to people. Kukataa kumhubiri Yesu kwa watu is a serious problem, ni tatizo gumu sana. More than what people can think. Zaidi ya vile ambavyo watu wanaweza wakafikiri. Neglect to preach the good news to people. Kupuuzia kuhubiri habari njema kwa watu can cause a serious problem. Inaweza ikasababisha tatizo ambalo ni serious sana. Open the door for the enemy to come in and begin to destroy people. Inaweza ikafungua mlango kwa adui kuingia na kuanza kuharibu watu. This day, siku hii, I want everyone to refuse. Nataka kila mtu akatae this negligence. Hii habari ya kupuuzia. Declare before God, tangaza mbele za Mungu. Tell him from today, Lord. Sema kuanzia leo Bwana. I want to serve you. Nataka nikutumikie. You are my God. Wewe ni Mungu wangu. I was saved by this same good news. Niliokolewa kwa habari hii njema. And I am willing to share it to others. Na niko tayari kuwashirikisha wengine. Forgive me for my negligence in the past. Nisamehe kwa kupuuzia kwangu huko nyuma. Are you hearing what I’m telling you? Unaskia ninachoambia? Are you following? Mnafuatilia? Are you sure you following? Unahakika unafuatilia? Forgive me for my past negligence. Nisamehe kwa kupuuzia kwangu huko nyuma. But from now onward. Lakini kuanzia sasa nakuendelea…please your position was there right? Don’t move from your position. I know what I’m doing. We are fighting. Tunapigana. Tell him, Lord, mwambie Bwana, forgive me for my past negligence, nisamehe kwa kupuia kwangu, but from now onward, l kuanzia sasa nakuendelea, make me a winner, nifanye kuwa mtu wa kuwaleta, give me the courage, nipe ujasiri, give me the wisdom, nipe hekima, and when you pray those things, utakapoomba mambo hayo, God will answer you, Mungu atakujibu. I repeat again, narudia tena, Lord, Bwana, forgive me for my past negligence, nisamehe kwa kupuze kwangu nyuma for not telling people about you, kwa kutokuambia watu habari ya wewe, but now, lakini sasa, I’ve changed my mind, nimebadilisha mtazamo wangu, to serve, nataka nikutumikie, give me the wisdom, nipe hekima, give me the courage, nipe ujasiri to invite people to you, kualika watu kwako. Are you hearing me, children of God? Unanisikia, wana wa Mungu? And rebuke the spirit of fear, na kemea roho ya hofu, because it is fear that causes people not to preach the gospel, kwa sababu ni hofu inayosababisha watu wasihubiri injili. If I were to ask all of you, nikawauliza nyinyi nyote hapa, hakuna mtu atasema hapana, hakuna mtu anasema mimi sitaki, every say I’m ready, kila mtu anasema niko tayari, but what is causing you not to do it? Lakini nini kinakusababishia usifanye? Fear, hofu. So throughout the month of June, kwa mwezi wote huu wa sita, as the spirit willing, sasa na roho wa Bwana inavyompendeza, nakuwa nikiwafundisha how to bring people to Christ, namna gani ya kuwaleta watu kwa Yesu, also fight, tutapigana pia in the spiritual, katika ulimwengu wa roho. One of the most deadly spirit that you don’t need to invite in life, moja kati ya roho hatari kabisa kuliko zote ambazo haupaswi kuziariki kwenye maisha yako is the spirit of fear, ni roho ya hofu. The spirit of fear has caused people to die, roho ya hofu imesababisha watu kufa. Spirit of fear has caused people to be poor, roho ya hofu imesababisha watu kuwa masikini. Spirit of fear has caused people to lose jobs, roho ya hofu imesababisha watu wapoteze kazi. Spirit of fear has caused so many problems, roho ya hofu imesababisha maadizo mengi sana, overcome that spirit, nakupasa uishinde hiyo roho. Your pastor is not fearful. Mchungaji wako hana hofu yoyote. So follow my footsteps. Kwa hiyo fuata hatua zangu. I don’t like fear. Sipendi hofu. And when I discover it is encroaching in me. Na nigundua kwamba inanikaribia, I purposely put my life online. Kwa kudhamiria kabisa naweka maisha yangu sawasawa. Because I don’t want it to come to me. Kwa sababu sitaki nijie. Fear, hofu can kill. Inaweza ikaua. Do you understand prayer request? Umeelewa hilo ombi? Lord, forgive me for my negligence in the past. Bwana nisamehe kwa kupuze kwangu huko nyuma. What negligence are we talking about? Puuzia gani tunakozungumzia? Not inviting people. Kutokualika watu. To come to the kingdom of God. Kuja kwenye ufalme wa Mungu. That negligence, hiyo kupuuzia. It is an order from God. It’s not a request. Ni amri kutoka kwa Mungu, sio ombi. Then you say, Lord. Na kisha utasema, Bwana, changed. Sasa nimebadilika. Nisaidie kuanzia leo. I want to be inviting people to Jesus. Nataka niwakaribishe watu kwa Yesu. I want to be inviting people to church. Nataka niwakaribishe watu kanisani. Every week. Kila wiki. Give me the wisdom. Nipe hekima. And give me the strength. Na nipe nguvu. The third part. Sehemu ya tatu. Rebuke the spirit of fear. Kemea roho ya hofu. Did you understand? Umeelewa? Do you need a chus to pray a song? Je, unahitaji wimbo wowote? How many of you need a song so that you can pray? Wataka wimbo wowote ili tuimbe. The worship team is here. Timu ya kaburiko hapa. They can sing for you. Wanaweza wakakuimbia. If you need a song so you can pray, raise your hand. Kama unahitaji wimbo ili tuweze kuimba, nyoosha mkono. So all of us can pray. Kwa wote tunaweza tukaomba. How many of you believe you can pray? Wangapi mnaamini mnaweza mkaomba? So when I say pray. Kwa hiyo nikisema omba. Begin to pray. Anza kuomba. One, two, three…let’s go! Moja, twende, tuombe! Father, in the name of Jesus, baba katika jina la Yesu Kristo, we thank you, Lord, and we magnify your holy name. Nakushukuru, Bwana, natukuza jina lako takatifu. There is no God like you. Hakuna Mungu kama wewe. You are the only one worthy to be praised. Wewe ndiye pekee unastahili kusifiwa. Father, baba, this morning we come as a church, asubuhi ya leo tunakuja kama kanisa, individual, na kama watu binafsi. Binafsi, tumepuuza kuhubiri injili, forgive us, samehe eh Bwana, for us, almighty Father. Samehe, baba mkuu. I don’t hear people pray. Siwasikie watu wakiomba. Please pray. Tafadhali omba. You promise you’ll pray. Uliahidi utaomba. If you don’t pray, you will not receive. Kama hauombi, hautapokea. Father, Baba, give us the spirit of courage. Tupe roho ya ujasiri. Give us wisdom. Tupe hekima. From today, kuanzia leo, we’ve changed our minds. Tumebadilisha mtazamo wetu. We refuse to be negligent. Tunakataa kupuuzia. We want to preach the gospel. Tunataka kuhubiri injili. We want to invite people to church. Nataka tuwakaribishe watu kanisani. Usikose baraka zetu. Father, give us wisdom. Tupe hekima, give us the audacity, tupe udhubutu, a new spirit of fear, roho ya hofu, we rebuke, tunakukemea in the name of Jesus, katika jina la Yesu, in the name of Jesus, katika jina la Yesu. Evil spirit of fear, we, pepo wa hofu, in the name of Jesus, katika jina la Yesu, out, toka, we rebuke you, tunakukemea, get out of our church, toka kutoka kwenye kanisa letu, get out of individual, toka katika kila mtu, in Jesus name, katika jina la Yesu, and somebody shout amen, na tupige kelele sema amen. Give the Lord a big, big hand clap! Mpe Bwana makofi makuu makuu.
One day, siku moja, the children of Israel cried. Wana wa Israeli walilia. They were slaves. Walikuwa ni watumwa. And then God heard their cry. Na kisha Mungu akasikia kilio chao. Moses, akamwita Musa, told…na akamwambia, “The cry of my people Israel has reached me.” Kilio cha watu wangu Israeli kimenifikia. Now therefore, na kwa hiyo, go and take them out of the hands of Pharaoh. Nenda ukawatoe katika mikono ya farao. So Moses went, kwa hiyo Musa alienda. It was a battle. Ilikuwa ni vita that lasted for several days, ambayo ilikaa kwa siku kadhaa. And Pharaoh wouldn’t let the children of Israel go. Na farao hakuwaacha wana wa Israeli waende. After all the miracles have taken place. Baada ya miujiza yote kufanyika. Terrible miracles. Miujiza ya ajabu. Scaring miracles. Miujiza ya kuogopesha. But Pharaoh didn’t give in. Lakini farao hakukata tamaa. And God said, “There’s still one.” Na Mungu akasema, “Bado iko moja.” One thing. Kuna jambo moja. After that one, baada hiyo, he will let you go, atawaruhusu mwaende. So he told Moses, kwa hiyo alimwambia Musa, “Go and kill a lamb, nenda uchinje mwanakondoo, tell the children of Israel, nawaambia wana wa Israeli, in every household, katika kila nyumba, let them slaughter a lamb of one year, wachinje mwanakondoo wa mwaka mmoja, from the goats or from the sheep, atoke kwenye mbuzi yaondoo wa kondoo, without blemish, mwanakondoo asiyekuwa na mawazi, and then let them roast the meat, na waweze kuchoma hiyo nyama, and eat, na wal…lakini damu must be applied on the doorsteps, iweke kwenye miimo ya milango. I’m going to release destruction, nitaenda kuachilia uharibifu, in every house, kwenye kila nyumba, where I don’t see that blood, ambapo sitaona hiyo damu, I destroy, nitaiharibu, in every house where…kila nyumba ambayo nitaona damu, I pass over, nitairuka hiyo nyumba.” Me children of God, nisikieni wana wa Mungu, that was the day of judgment, hiyo ilikuwa ni siku ya hukumu, because God, kwa sababu Mungu alisema, “I’ve decided to bring judgment on the gods of Egypt.” Nimeamua kuleta hukumu juu ya miungu ya Misri. Now we are going for the holy communion. Sasa tunaelekea usharika mtakatifu, time around, wakati huu. It’s the holy communion for judgment. Ni ushirika mtakatifu kwa ajili ya…judgement on the gods of Egypt. Hukumu juu ya miungu ya Misri. Judgment upon your oppressors. Hukumu juu ya wale wanaokugandamiza. Judgment upon your challenges. Hukumu juu ya changamoto zako. Judgment upon every demon. Hukumu juu ya kila pepo. There has been commission to come and attack you. Ambalo limeachiliwa kuja kukushambulia. By the holy communion we are taking today, kupitia usharika mtakatifu tunaochukua leo, everything shall change. Kila kitu kitabadilika. It’s a holy communion of deliverance. Ni usharika mtakatifu wa ukombozi. Deliverance from bondage. Kufunguliwa kutoka kwenye vifungo. Deliverance from slavery. Kufunguliwa kutoka kwenye utumwa. And that’s what is going to happen in your life. Na kitatokea kwenye maisha yako. In the mighty name of Jesus. Katika jina la Yesu. After this holy communion. Baada ya ushirika huo mtakatifu. Hautakuwa tena kuwa kwenye kifungo. Uhuru wako umekuja. Because God is about to judge all the demons. Kwa sababu Mungu anakaribia kuachilia hukumu kwenye kila mapepo. Challenges wanapa changamoto maisha yako. Father, in the name of Jesus. Baba katika jina la Yesu. We commit the bread. Tunakabidhi mkate. And the cup in your hands, na kikombe kwenye mikono yako. We pray, oh Jehova. Tunaomba Jehova. As your children will be taking. Watoto wako watakuwa wanashiriki, would you release your anointing? Achilia upako wako. Would you release the power of deliverance? Achilia nguvu zako za ukombozi. The power of healing, nguvu za uponyaji. The power of freedom. Nguvu za uhuru. Freedom in their bodies. Uhuru kwenye miili yao. Freedom in their minds. Uhuru kwenye akili zao. Freedom in business. Uhuru kwenye biashara zao. Kila mahali inapozunguka maisha yao. In the mighty name of Jesus. Katika jina la Yesu. In the mighty name of Jesus. Katika jina la kuu la Yesu. In the mighty name of Jesus. Katika jina la kuu la Yesu. Today as we partake this holy communion. Leo tunaposhiriki usharika mtakatifu, let there be freedom. Kwa hiyo kuna uhuru. Let there be deliverance. Kuna ukombozi. Let healing, kwa hiyo kuna uponyaji. Let…kuna kumiliki in the mighty name of Jesus, katika jina kuu la Yesu. Every demon, na kila pepo, is al lenga changamoto mtu yeyote hapa, wanaotazama mubashara, demon, kila pepo, we challenge, tunakupa changamoto kwa damu ya Yesu, in Jesus name, katika jina la Yesu, defe, ushindwe, defe, ushindwe, appr, uondoshwe, holion kwa ushirika mtakatifu. Every evil spirit, kila pepo responsible for torturing the children of…nika kutesa wana wa Mungu in this church, kwenye kanisa hili, tunakuamuru evacuate, toka katika jina la Yesu. Father, we thank you, baba asante, we thank you for the bread, asante kwa ajili ya mkate, asante kwa ajili ya kikombe, in Jesus name, katika jina la Yesu. Everyone say amen. Na kila mtu aseme amina. A big hand clap to Yesu Kristo! Makofi makuu kwa Yesu Kristo! Before you partake, kabla hujashiriki…Do we have anybody in our mid you never given your life to Jesus? Tuna mtu yeyote katikati yetu ambaye hajawai kutoa maisha yako kwa Yesu? Because that’s the only way you will be welcome here. Kwa hiyo ndio namna pekee yawe kukaribishwa hapa. This is a covenant food. Hiki ni chakula cha kiagano. For the children. Kwa ajili ya watoto. And you are invited to be among the children. Na unakaribishwa kuwa kati ya wana. If you are there, you’ve never given your life to Jesus. Kama uko pale, hujawahi kutoa maisha yako kwa Yesu, please walk forward. I will meet you here. Tafadhali sogea hapa mbele, nitakutana na wewe hapa mbele. And I pray for you. Na nitakuombea. And you’ll be free to partake of the holy…na utakuwa huru kushiriki usharika mtakatifu. I invite you now. Come! Nakukaribisha sasa, njoo! If you want to give your life to Jesus. Kama unataka kuokoka, don’t fear. Usiogope. We’ve just broken the spirit of fear in our mids. Tumetoka tu kuvunja roho ya hofu katikati yetu. If there isn’t any who wants to give your his life to Jesus. Kama kuna mtu anataka kutoa maisha yake kwa Yesu, you are free. Uko huru. To partake of the holy communion. Kushiriki usharika mtakatifu. Some people go there. Baadhi ya watu wataenda pale. Those who sit on that side of the church. Wale mnaokaa upande wa kule wa kanisa, on this side of the church. Wale upande wa kanisa, upande wangu wa kulia, you find the holy communion at that side. Mtapata ushirika mtakatifu upande ule. And those who are in the middle section, na ambao hapa katikati, come right here. Mtakuja hapa katikati. Father, in Jesus name. Baba katika jina la Yesu, bless your people. Bariki watu wako. Amen. Amen.
Worship team: Nguvu, nguvu, nguvu ya damu ni kwa Yesu. Wa Yesu ipo nguvu, nguvu, nguvu ya ajabu ndani mwa mwanao. Unaweza, unaweza, uweza, uweza wa ajabu mwa Yesu. Unaweza, uweza, uweza wa ajabu dhambi mwa mwanakondoo. Kuna nguvu, kuna nguvu, nguvu, nguvu, nguvu. Ajabu taudi mwa Yesu. Kuna nguvu, nguvu, nguvu ya ajabu mwa mwanakondoo. Unaweza, unaweza, weza, uweza, uweza wa ajabu damu ni wa Yesu. Kuna unaweza wa ajabu tamifu mwa mwana kondoo. Nguvu, nguvu, nguvu ya damu, damu ni kwa wa Yesu. Ni Mungu, Mungu, nguvu, nguvu ya Daudi mwa mwanaondoo. Kijito cha utakaso ni damu ya Yesu. Bwana ana uwezo kunipa wokovu. Kijito, kijito cha utakaso ni…zamekosha. Namsifu Bwana kwa hiyo nipendelea kuomba. Ukirudi, endelea kuomba. Endelea kuomba. Osha bwana, nimepata utakaso. Oh kiji, kijito cha utakaso, umofu bwana kwa hiyo nimepata utakaso. Kwa kijikarifa, kito cha utakaso, kuoshwa umbo, bwana, nimekata…endelea kuomba, endelea kuomba. Kijito cha…oshwa na msiba na kwa hiyo hata utakasa wa kijito cha utakaso izumo na kwa hiyo nimepata utakaso. Namsifu Bwana! Namsifu Bwana kwa hiyo nimepata uchazo. Namsifu Bwana, Bwana, Bwana kwa hiyo nimepata utakaso. Namsifu Bwana, Bwana kwa… Asante utakaso. Asante Yesu kwa utakaso nazimu kwa kusimu na kwa hiyo nimepata utakasa. Bwana nakusifu, bwana, bwana kwa hiyo nimepata utakaso. Nakusifu Bwana! Namsifu Bwana kwa ulio hata utakaso. Kijito, kijito cha utakaso, nisame kuoshwa umbo. Namsifu Bwana kwa hiyo nimefuata utakaso.
Please stand up. Tafadhali, naomba usimame. It ni salama kwako. It ni salama kwako katika jina la Yesu. Let me pray for you. Ngoja nikuombee. Father, in the name of Jesus. Baba katika jina la Yesu, I commit your children in your hands, Lord, nawakabidhi watoto wako mikononi mwako, Bwana, in this month of June, mwezi huu wa sita, father, baba, stretch out your mighty hand, nyosha mkono wako hodari, defend them, watetee, fight their battles, oh Lord, pigana vita zao eh Bwana, give them the spirit of a warrior, wape roho ya upambanaji. Father, Baba, remove fear from everyone of us, ondosha hofu kutoka kwa kila mmoja wetu. Father, Baba, let your children encounter, wafanye watoto wako wakutane na upendeleo, in the name of Jesus, katika jina la Yesu. Every disease, kila ugonjwa is attacking anybody here, unamshambulia mtu yeyote hapa, including those that are watching online, pamoja na wanotutazama mubashara, in Jesus name, katika jina la Yesu. I declare your freedom, natangaza uhuru wako. I declare your freedom, natangaza uhuru wako. I declare your healing, natangaza uponyaji wako, in the name of Jesus, katika jina la Yesu. Huo ugonjwa…glorify God! Amtukuza Mungu! Because it shall not kill you, kwa sababu hautakuwa…rising from…unainuka tena from the bed of your sickness, kwenye maumivu ya magonjwa, wakise…in the name of Jesus, inuka katika jina la Yesu, kutoka mahali ulipo. Rise in the name of Jesus, inuka katika jina la Yesu, from that…kutoka kwenye hicho kiti. Rise in the name of Jesus, inuka katika jina la Yesu. Rise in the name of Jesus, inuka katika jina la Yesu. I rebuke the spirit of death, nakemea roho ya mauti, from you, kutoka kwako, in Jesus name, katika jina la Yesu. Jesus…katika jina la Yesu…in Jesus name…jina la…father, we thank you, baba asante, we magnify your holy name, natukuza jina lako takatifu, we worship you, Lord, tunakuabudu.
Wewe bwana, in the mighty name of Jesus, katika jina la Yesu. And everyone say, Amen. Useme, Amen. Somebody, sh, Amen. Piga kelele, sema, Amen. Please prepare your offering. Tafadhali, andaa sadaka zako. While they are giving announcements, you sit down and prepare your offering. Wale wanatoa matangazo, kaa chini, naandaa sadaka yako.
Welcome for announcements. Karibu kwa ajili ya matangazo. Me nisikilize. From Thursday, kuanzia siku ya Alhamisi, 6:30 in the evening, saa 12:30 jioni, we have Pastor Samson Zakaria here. Tutakuwa na mchungaji Samson Zakaria hapa, for the Holy Spirit seminar, kwa ajili ya semina ya Roho Mtakatifu. Clap your hands to Jesus. Piga makofi yako kwa Yesu.
From Thursday, kuanzia Alhamisi, 6:30 in the evening, saa 12:30 jioni. Friday, Ijumaa, 6:30. Saturday in the evening, saa 12:30 jioni. But on Saturday, lakini siku ya Jumamosi, on Saturday it's different. Jumamosi ni tofauti. You come early. Utakuja mapema. You'll come here at 4:00. Utakuja hapa saa 10 kamili ya jioni. 4:00 saa 10 kamili ya jioni. 4:00 saa 10 kamili ya jioni. 4:00 in the evening. Saa 10 kamili ya jioni.
Alr, sawa. Wait, wait, wait, wait, wait, wait, wait, wait. Ngojea, ngojea. I want to ask someone a question. Who wants to answer that question? Nataka nimuulize mtu swali. Nani anataka ajibu hilo swali? Volunteer. Jitolee. Everyone can answer that question. Mtu yeyote anaweza akajibu hilo swali. I just want someone to volunteer. Nataka tu mtu ajitolee. Who wants me? Thank you. Stand up. Stand up. Announce the seminar and the time. Shalom church. Shalom kanisa. On from to, that's the test now. Okay.
So, okay, I'll remind you from Thursday. Okay. Pastor Samson will be here from Thursday. Mchungaji Samson ato hapa kuanzia Alhamisi. And the service will start around 6:30 PM. Not around, exactly, exactly 6:30 PM. Na ibada itaanza saa 12:30 kamili jioni. And on Saturday it'll be different. Jumamosi, here around 4 pm, na jumamosi itakuwa tofauti, 4 pm tutaanza saa 10 kamili jioni. And then we finish on Sunday, that one I didn't say, and we finish on Sunday, thank you. Tutamalizia Jumapili. With us for the first time, wageni ambao wamekuja nasi kwa mara ya kwanza, go ahead, greet someone. Endelea mbele, salimia mtu. Go ahead, greet someone. Salimia mtu. Praise, praise Lord, everything that praise the Lord, praise the Lord, praise in the praise on the mountain. Amen.